Wengi hawana ANTENNANakuelewa sana tu hio kauli nimeshasikia kama wanne wanaisema
Hukusema kama yapo au la!!Wembamba wa Reli hubeba mizigo mizito mno hutaamini.Sasa toothpick inaweza beba kontena?
[emoji23][emoji23][emoji23]La babati ni lile sugu,
Atatushushia uzi mzito wenye magadi😂😂
Nina mmuduAtatushushia uzi mzito wenye magadi😂😂
😂😂Nina mmudu
Au Mwamire, Eyamango na Endakiso.Nani amesema mapesi imesaliwa Tanga?, Mapesi imesaliwa huku Hanang Katesh, Babati ndani ndani Gallapo huku kwa kina prepetua Geheri
EndakisoMamire nakule Gijedabung......
Na sheria itakushughulikia haswa ingawa huku kujiachia ni kwa raha zako 24 hrs per week. Kikubwa usivunje sheria za nchi.Kule duniani ukimuita mtu Homo maana yake shoga.
Yap. humo ndo utakutana na pisi ?Bashinet Coach
Kupo kupo tu. Enzi za mashamba ya NGANO/NAFCO kumilikiwa na Wacanada/Serikali ilikuwa moto. Hiyo ilikuwani late 1980,s hadi 1990,s.Dah....umenikumbusha mbali sana ..MULBADAW ... nlienda mwaka wa 2000 .... sikupita tena ile njia cjui Leo pakoje
[emoji3][emoji3][emoji3]Nimemuonesha mke wangu hii sms kanitukana kwa hasira ahahahah
Kwenu kuna lami?Hivi huko kote ni lami tupu?
Uongo kwa % kubwa.-Chukua koti kwa sababu ni baridi
-Kama unatoka mbali na utafika babati jioni nashauri ulale babati asubuhi panda gari za kwenda huko zamani kama 2014 hivi kulikua na basi linaitwa manday sijui kama bado lipo
-Jiandae kupita milimani
-Jaindae kusalimiwa kiirak kila upitapo kwa sababu wanajua kila mtu ni muirak
-kua makini na mabinti manake wakiona mgeni watakuchekea lengo ni pesa zako
-ukiwa kiboeo dinda utarudi na kaswende na kisonono kwa mkeo
Kila la heri mkuu
Baridi ni kali huko jo inatandika
Mwingine kasema miguu kama spoku, nami nikauliza makalio je? Huku makalio wanayakimbia. Vimbau mbau ndio habari mjini.Unapenda sana makalio?
Kahama ni mji uliochangamka, hivyo kuna dizaini za kila aina tofauti na kwenu Kyerwa kijijini huko.Wanawake wa aina hii, nakutana nao Simiyu(Bariadi) nna week tatu sasa , lakini nakutana na mademu wabovu tu... bora nilipopata safari ya Kahama ndo nimekutana na pisi kali....