Wewe utakua muhenga Kama Mimi. PAM Ni sindano za gono miaka ile ya 80s huko.Upo sahihi kabisa. Lilinipata ndio kisa cha mimi kuwa mtumiaji mzuri wa ndom maana nilikumbana na sindano iitwayo Pam sijui ndivyo inavyoandikwa kisha dokta akaniuliza gono tunakutibu je ingekuwa ukimwi? Toka siku hiyo mimi na ndom tu nikiwa na mechi za nje ilikuwa 2006
Siku zile hakuna vidonge vya gono.
Ni shusha suruali hala kesho Tena uje. Maumivu yake Sasa.