Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 25,912
- 70,684
😂😂Mh hapana huku sipoUnaweza kuwala tu kwan unashindwa kuwala mademu wenzako khaaaaaah?!
😂😂Mh hapana huku sipoUnaweza kuwala tu kwan unashindwa kuwala mademu wenzako khaaaaaah?!
Sielewi kiukweli, kama ni mroho waweza kula bibi watoto mpaka wajukuu na wasione km ni ajabu,Kwanini wako hivyo, maana hata wa mjini nao wako hivyo
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Kuna uhuru pia na champion pasaka inarudi ni mwendo wa bata batani, ila kwenye msimu wa mavuno kuna hela sana babatiFree town hotel, SG bar, Manyara bar(ya kiloko). Ni pazuri kiaina.
Babati nimepiga Mama ntilie kama woteKuna uhuru pia na champion pasaka inarudi ni mwendo wa bata batani, ila kwenye msimu wa mavuno kuna hela sana babati
Unafahamu mguu wa mtoto kuanzia miaka tisa? Sio wala chips.Wanaume weupe, hb sio taste zangu kwanza wavivuu
Sana tu khaigee, daaah!!!Wewe ni mwenyeji sanaa chief.
As long as wana vipochi manyoya hayo mengine mbwembwe tu😃Sura wamejaaliwa Ila miguu spoku
Kwenye miguu unatafuta nini? Miguu ndio ya kwanza kuchanuliwa ili upate njiaSura wamejaaliwa Ila miguu spoku
Wale wa karatu anaweza akatoka na vitu vya ajabu aseYap. Hata nyapu za maana atazipata ama Haydom au Mbulu mjini kama ana hela weekend aende mpaka Karatu ndo utawapata wale professional wanaotega Mingo kabisa
Sio mbaya unajaribu kilugha chetuSAITAA = MAMBO
SAYUU = POA
BARAGAHERI = UNAONAJE/MAMBO YAKOJE/HALI IKOJE
IDERO = IPO
SHIDIIKAH = HAKUNA SHIDA
**Kwa tafsiri isiyo rasmi.
Ule mlima wa magara ni mkali sanaKupitia magara.Hiace na Costa au basi haziwezi kupita hapo, isipokuwa land cruiser mkonga ndio powerful.
Hahahah ni mlima Guwang bhna sio QwangHivi anaye wadanganya mademu wa Kimbulu ni wepesi kama mnavyodhani ni nani?
Hiyo kanda yote wanawake wanaubinafsi kuliko mnavyodhani,wao na wamaasai ni jamii moja kitabia.
Watu wa hiyo kanda kuanzia Babati,Hydom,Mbulu,Karatu hadi mto wa Mbu na viunga vyake ni watu wabinafsi sana,sijui miaka ya hivi karibuni uenda ni kwasababu ya kuchangamana na watu wa mikoa tofauti hivyo huwapelekea utamaduni mpya,lakini miaka ya nyuma kumpata mwanamke wa Kiiraq(Mmbulu)shughuli yake haikuwa ya kitoto hata kidogo labda kama ulikuwa na nia ya kumuoa kabisa lakini si kumgonga tu!.
Wao walikuwa na utamaduni wa kuwakubali wanaume wa kabila lao tu lakini kama ulikuwa si wa kabila lao basi ulikuwa unaula wa chuya na ndivyo hata wamaasai walivyokuwa hapo awali,sema sikuhizi mambo yamebadilika sana kulingana na uchangamano wa watu na tamaduni.
Japo mambo yamebadirika lakini usitegemee utamtongomza Mmbulu kirahisi akakukubalia kama wewe si mmbulu,labda uende huko kwenye Ma-baa na Ma-pub ndiyo utawapata walioshindikana wanaye mkubali yeyote cha msingi uwe na hela yako tu!,lakini hawa wa mitaani utaula wa chuya.
Mmbulu unaweza kukuta ni pisi kali ya kwenda lakini ikawa inapelekewa moto na kachalii ka kawaida kabisa kasiko na chochote wala muonekano ila tu kwakuwa ni mmbulu mwenzie,wewe wa kuja unaweza kuwa na hela zako za kutosha,muonekano mzuri na bado nje umepaki Range na bado akakupotezea kwasababu wewe si kabila lake.
NB.
Nimepanda sana mlima Qwang hapo Mbulu.
Ukiwa na roho nyepesi kutazama nje wakati wa kushuka na kupanda ni msala.Ule mlima wa magara ni mkali sana
Weeeeehhh nakutamani vile vileNakutamani ile mbaya
Hukupata gono?Babati nimepiga Mama ntilie kama wote
robo tatu ya per diem iache nyumbani otherwise utarudi mtupu!!Nitakuwa hapo kwa mwezi mmoja kikazi.