Safari ya Dongobesh Wilayani Mbulu

Safari ya Dongobesh Wilayani Mbulu

Kama ukifanikiwa kupata pisi kali itakayokushawishi nawe ukaridhia kwa moyo mmoja,,tombana nayo tu hakuna namna Muda/maisha hayarudi nyuma jitahidi kufurahia wakati ulio nao,,,na huko zipo za kumwagika!!ni juhudi zako tu za kula mema ya nchi na kulamba asali kadri uwezavyoo!!
 
Huko ndio asili nyumbani asili yangu, waarab kama wazungu nusu, kama waethiopia, kuwa makini sana ni warembo mno, ukikosea kuchukua mke au demu wa mtu ukirudi na roho yako au moyo wako omba Mungu, kuwa makini sana, fanya yaliyokupeleka, ukiona warembo sana angalia tu, maana kuna mtu nyuma yake, wanapiga hao watu, nakushauri tena, fanya yaliyokupeleka. Haya, naamini umenisikia
Mambo gani ya kutishana mkuu??
 
Kutoka dar apande dar express au makara hizo bus ndio zinaishia karatu...alale hapo asubuhi apande cruiser za kwenda dongobesh
Huko utazunguuka sana. Mkuu

Panda Shabby mpaka Babati piga mboji asubuhi nenda stendi ya zamani ulizia mabasi ya Dongobesh ...saa 6 or 7 unapiga ugali konkwi The Dongobeshi (Dabesh)
 
Wakuu habari za mapumziko ya mwisho wa juma? Na kwaresima na Ramadhan zenu natumai zinakwenda swadakta.

Kwa uweza wa Mungu kesho nitakuwa safarini kuelekea Dongobesh wilayani Mbulu. Kwa yeyote mwenye uzoefu na mahali hapo anaweza shea humu mazuri na mabaya ya hapo.

Nitakuwa hapo kwa mwezi mmoja kikazi. Nawasilisha na ahsanteni sana.


Ukitoka Dongobesh uende na Jiwebesh.
 
Back
Top Bottom