ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,584
- 44,830
Yesu mbona kauokomboa tayari ulimwemgu kwa wale watiifu kondoo wake ila wale wakaidi mbuzi hajakombolewa na majina yao hayapo katika kile kitabu..so pemgine mtoa mada na mimi ni muda wetu sasa wa kumfuatisha yesu na kuubeba msalaba wetu wenyewe km ambavyo yeye ameubeba msalaba wake .