Sababu kuu zenye Mantiki zilizowafanya na zinazowafanya Wayahudi wengi Wasimuamini Yesu Kristo

WARUMI/ROMAN 11:13-24
13.Lakini nasema na ninyi, mlio watu wa mataifa.Basi, kwa kadiri nilivyo mtume wa watu wa mataifa, naitukuza huduma ilio yangu, 14.nipate kuwatia wivu walio damu moja na mimi na kuwaokoa baadhi yao. 15.Maana ikiwa kutupwa kwao kumeleta upatanisho kwa ulimwengu,je! kukubaliwa kwao kutakuwa nini kama si uhai badala ya kufa? 16.Tena malimbuko yakiwa matakatifu,kadhalika na donge lote; na shina likiwa takatifu,matawi nayo kadhalika.17.Lakini iwapo matawi mengine yamekatwa,na wewe mzeituni mwitu ulipandikizwa kati yao, ukawa mshirika wa shina la mzeituni na unono wake, 18.usijisifu juu ya matawi yale;au ukiwa wajisifu,si wewe ulichukuae shina,bali ni shina likuchukualo wewe.19.Basi utasema,matawi yale yalikatwa kusudi ili nipandikizwe mimi.20.Vema.Yalikatwa kwa kutokuamini kwao,na wewe wasimama kwa imani yako.Usijivune bali uogope.21.Kwa maana ikiwa Mungu hakuyaachia matawi ya asili,wala hatakuachia wewe.22.Tazama,basi,wema na ukali wa Mungu; kwa wale walioanguka, ukali, bali kwako wewe wema wa Mungu,ukikaa katika wema huo;kama sivyo,wewe nawe utakatiliwa mbali.23.Na hao pia,wasipokaa katika kutokuamini kwao,watapandikizwa;kwa kuwa Mungu aweza kuwapandikiza tena.24.Kwa maana ikiwa wewe ulikatwa ukatolewa katika mzeituni,ulio mzeituni mwitu kwa asili yake,kisha ukapandikizwa,kinyume cha asili,katika mzeituni ulio mwema,si zaidi sana wale walio wa asili kuweza kupandikizwa katika mzeituni wao wenyewe??

HAPO JUU NI NAFASI WALIOPO WAYAHUDI NA WATU WA MATAIFA KWA SASA INATAKIWA KUELEWA TU.BILA KUSAHAU SHINA NDIO YESU KRISTO.WAYAHUDI NI MATAWI NA MATAIFA NI MATAWI

KUHUSU WAYAHUDI AT THE END OF DAY
ROMAN 11:25-27
25.Kwa maana,ndugu zangu,sipendi msiijue siri hii, ili misijione kuwa wenye akili; ya kwamba kwa sehemu ugumu umewapata Israeli, MPAKA UTIMILIFU WA MATAIFA UWASILI.26.Hivyo Israeli wote wataokoka; kama ilivyoandikwa,
Mwokozi atakuja kutoka sayuni;Atamtenga Yakobo na maasia yake.Na hili ndilo AGANO langu nao."Nitawaondolea dhambi zao.""

Kuna ratiba maalum kwa mambo yote yanayoendelea hapa duniani,,dunia haiendi yenyewe tu, yupo INCHARGE.Kuna time of Gentiles na pia time for Jews.Kwa hio wayahudi kutomwamini YESU sio maamuzi yao ni neema ili na wengine wasio kwenye bloodline yao wapate nafasi lakini nafasi ya wayahudi ikiwa haijapotea.
 
WARUMI/ROMAN 11:13-24
13.Lakini nasema na ninyi, mlio watu wa mataifa.Basi, kwa kadiri nilivyo mtume wa watu wa mataifa, naitukuza huduma ilio yangu, 14.nipate kuwatia wivu walio damu moja na mimi na kuwaokoa baadhi yao. 15.Maana ikiwa kutupwa kwao kumeleta upatanisho kwa ulimwengu,je! kukubaliwa kwao kutakuwa nini kama si uhai badala ya kufa? 16.Tena malimbuko yakiwa matakatifu,kadhalika na donge lote; na shina likiwa takatifu,matawi nayo kadhalika.17.Lakini iwapo matawi mengine yamekatwa,na wewe mzeituni mwitu ulipandikizwa kati yao, ukawa mshirika wa shina la mzeituni na unono wake, 18.usijisifu juu ya matawi yale;au ukiwa wajisifu,si wewe ulichukuae shina,bali ni shina likuchukualo wewe.19.Basi utasema,matawi yale yalikatwa kusudi ili nipandikizwe mimi.20.Vema.Yalikatwa kwa kutokuamini kwao,na wewe wasimama kwa imani yako.Usijivune bali uogope.21.Kwa maana ikiwa Mungu hakuyaachia matawi ya asili,wala hatakuachia wewe.22.Tazama,basi,wema na ukali wa Mungu; kwa wale walioanguka, ukali, bali kwako wewe wema wa Mungu,ukikaa katika wema huo;kama sivyo,wewe nawe utakatiliwa mbali.23.Na hao pia,wasipokaa katika kutokuamini kwao,watapandikizwa;kwa kuwa Mungu aweza kuwapandikiza tena.24.Kwa maana ikiwa wewe ulikatwa ukatolewa katika mzeituni,ulio mzeituni mwitu kwa asili yake,kisha ukapandikizwa,kinyume cha asili,katika mzeituni ulio mwema,si zaidi sana wale walio wa asili kuweza kupandikizwa katika mzeituni wao wenyewe??

HAPO JUU NI NAFASI WALIOPO WAYAHUDI NA WATU WA MATAIFA KWA SASA INATAKIWA KUELEWA TU.BILA KUSAHAU SHINA NDIO YESU KRISTO.WAYAHUDI NI MATAWI NA MATAIFA NI MATAWI

KUHUSU WAYAHUDI AT THE END OF DAY
ROMAN 11:25-27
25.Kwa maana,ndugu zangu,sipendi msiijue siri hii, ili misijione kuwa wenye akili; ya kwamba kwa sehemu ugumu umewapata Israeli, MPAKA UTIMILIFU WA MATAIFA UWASILI.26.Hivyo Israeli wote wataokoka; kama ilivyoandikwa,
Mwokozi atakuja kutoka sayuni;Atamtenga Yakobo na maasia yake.Na hili ndilo AGANO langu nao."Nitawaondolea dhambi zao.""

Kuna ratiba maalum kwa mambo yote yanayoendelea hapa duniani,,dunia haiendi yenyewe tu, yupo INCHARGE.Kuna time of Gentiles na pia time for Jews.Kwa hio wayahudi kutomwamini YESU sio maamuzi yao ni neema ili na wengine wasio kwenye bloodline yao wapate nafasi lakini nafasi ya wayahudi ikiwa haijapotea.
Sawa
 
Anaandika, Robert Heriel
Kuhani.

Leo Taikon atajadili sababu zinazopelekea wayahudi wengi kutokumuamini Yesu Kristo Kama Masihi wao na waulimwengu.

Andiko hili lijadiliwe Kwa Hoja zisizo na mihemko ya kidini. Kama unajijua Akili yako imefungwa fungwa hii mada haitakuhusu.

Hivi uliwahi kujiuliza ni Kwa nini Wayahudi hawamuamini Yesu Kristo? Yaani Kwa nini wamuamini Musa, Daudi, yona, Daniel, Isaya, Ezra, Joshua, n.k lakini Kwa nini hawataki kumuamini Yesu Kristo?

Embu nawe Fikiria hapo. Kumbuka hata huyo Yesu naye NI Myahudi.

Je, ni Yesu pekeake aliyekataliwa na Wayahudi au kuna manabii Masihi wengine waliokataliwa n mayahudi?
Ikiwa wapo je nini sababu ya wao kukataliwa? Nisirefushe andiko.

Twende sasa!

Wayahudi wanasababu kadhaa za kutokumzingatia Yesu kama Masihi au Nabii aliyetabiriwa katika maandiko kaa sababu kuu zifuatazo;

1. Yesu Mnazareth Hakutimiza Unabii hivyo anakosa vigezo vya kuwa Masihi mtabiriwa.
Hapa kuna mambo ambayo Masihi aliyetabiriwa alipaswa kuyatimiza Siku atakapokuja. Mambo hayo ni pamoja na;

a). KUSHUSHA UTAWALA WA MUNGU NA KUKOMBOA WANADAMU
Masihi aliyetabiriwa moja ya majukumu yake akija ni kukomboa Wanadamu na kushusha utawala wa Mungu. Wayahudi hawamuamini Yesu Wa Nazareth Kwa sababu hakutimiza Jambo Hilo. Hakuushusha utawala wa Mungu na wala hakumkomboa Mwanadamu.

Hii ni Kwa sababu mpaka hapa tunapozungumza Bado Dunia haijakombolewa, madhambi ni mengi, na utawala wa Shetani ndio umetamalaki.

Soma utabiri wa Isaya juu ya Masihi atakayekuja kisha linganisha, je Yesu Mnazareth analingana na utabiri huo;

Isaya 9:6
6 . Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa,
Tumepewa mtoto wa kiume;
Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake;
Naye ataitwa jina lake,
Mshauri wa Ajabu, Mungu Mwenye Nguvu,
Baba wa Milele, Mfalme wa Amani.

Ukichambua Unabii huo sentensi Kwa sentensi, je Yesu Mnazareth anatimiza Unabii huo. Embu tuone, "Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake;"
Je Yesu alikuwa na uwezo wa kifalme began mwake? Je alitimiza vigezo vya kuitwa Mfalme? Labda Kwa vile hapa Tanzania kizazi cha sasa hakijaongozwa na wafalme. Lakini tunaweza kuchukulia mfano WA mamlaka ya Rais.

Je Yesu Mnazareth alikuwa anauwezo wa kirais, yaani mamlaka kama tuyaonayo Kwa Rais? Zingatia Mfalme ni zaidi ya Rais Kwa mambo mengi.

Ukisoma maandiko Yesu hakuwa na uwezo wowote wa Kifalme, alikuwa ni nabii kama walivyomanabii wengine.
Hivyo Sifa hii hakuwa nayo.
"Naye ataitwa jina lake,
Mshauri wa Ajabu, Mungu Mwenye Nguvu,
Baba wa Milele, Mfalme wa Amani
"

Je, Yesu Mnazareth alitimiza Unabii wa kuwa na Sifa ya kuitwa Mungu mwenye nguvu? Je Yesu alileta Amani? Maana Unabii unasema ataitwa Mfalme wa Amani.

Je ni kweli Yesu alileta Amani Duniani? Jibu ni Hapana, Yesu Mnazareth hakuleta Amani. Msikilize Yesu mwenyewe;

Mathayo 10:34 BHN​

“Msidhani kwamba nimekuja kuleta amani duniani. Sikuja kuleta amani bali upanga.​

Yesu hakuleta Amani Duniani isipokuwa Upanga. Hivyo anakosa kigezo cha Nabii aliyetabiriwa na manabii wa zamani.

Kwa tuliosoma Histori ya Ulimwengu. Ukristo ndio dini pekee iliyoua Watu wengi Duniani katika kuueneza.
Watu wengi wameuawa Kwa sababu ya Kristo au Kwa jina la Kristo. Hivyo hakuwa Mfalme wa Amani Bali alikuwa Mfalme wa machafuko.

Ukombozi uliolengwa na manabii waliotabiri Ujio wa Masihi ulikuwa ukombozi wa Kimwili. Lakini Yesu hakuja kukomboa yeyote Kimwili. Hiyo ni hoja inayofuata baadaye

b) MASIHI LAZIMA AZALIWE KATIKA UKOO WA DAUDI LAKINI YESU HAKUZALIWA KATIKA UKOO WA DAUDI.

Wayahudi wanamkataa Yesu Kwa sababu yupo Kinyume na Unabii wa Masihi aliyetabiriwa. Ndio maana wao wanamsubiri huyo Masihi Kwa jinsi vitabu vyao vinavyoeleza.

Maandiko yanaonyesha kuwa Yesu hakuwa Uzao wa DAUDI. Hii ni Kutokana na sababu zifuatazo;

I) Yesu alizaliwa pasipo na Baba.
Maandiko yanaeleza kuwa Yesu alizaliwa Kwa Njia ya Roho mtakatifu. Hana Baba wa kibinadamu. Jambo ambalo linampotezea Sifa ya kuwa Masihi aliyetabiriwa.

Wayahudi wanaeleza kuwa Masihi aliyetabiriwa angezaliwa kikawaida kama binadamu wengine tena angetoka katika Uzao WA Daudi. Yaani Baba yake lazima awe katika ukoo wa Daudi (Daudi mtoto wa Year).

Mwanzo 49:10 BHN​

“Fimbo ya kifalme haitatoka kwa Yuda, wala bakora ya utawala miguuni pake, mpaka atakapofika yule ambaye ni yake; ambaye mataifa yatamtii.​

Soma Unabii wa Isaya;
ISAYA 11
1 Kutatokea chipukizi katika kisiki cha Yese,
tawi litachipua mizizini mwake.
2Roho ya Mwenyezi-Mungu itakaa kwake,
roho ya hekima na maarifa,
roho ya shauri jema na nguvu,
roho ya ujuzi na ya kumcha Mwenyezi-Mungu.
3Atafurahia kumcha Mwenyezi-Mungu.
Hatahukumu kadiri ya mambo ya njenje,
wala kuamua kufuatana na yale anayosikia.
4 Atawapatia haki watu maskini,
atawaamulia sawasawa wanyonge nchini.
Kwa neno lake ataiadhibu dunia,
kwa tamko lake atawaua waovu.
5 Haki itakuwa kama mkanda wa kujifunga,
uaminifu utakaa naye kama mkanda kiunoni.
6 Mbwamwitu ataishi pamoja na mwanakondoo,
chui watapumzika pamoja na mwanambuzi.
Ndama na wanasimba watakula pamoja,
na mtoto mdogo atawaongoza.
7Ngombe na dubu watakula pamoja,
ndama wao watapumzika pamoja;
na simba atakula majani kama ng'ombe.
8Mtoto mchanga atacheza kwenye shimo la nyoka
mtoto ataweza kutia mkono shimoni mwa nyoka wa sumu.
9 Katika mlima mtakatifu wa Mungu
hakutakuwa na madhara wala uharibifu.
Maana kumjua Mwenyezi-Mungu kutaenea pote nchini,
kama vile maji yajaavyo baharini.
10 Siku ile chipukizi wa Yese atakuwa ishara kwa mataifa; mataifa yatamtafuta na makazi yake yatatukuka.
11Siku hiyo, Bwana ataunyosha mkono wake tena kuwarejesha watu wake waliosalia huko Ashuru, Misri, Pathrosi, Kushi, Elamu, Shinari, Hamathi na sehemu za pwani


Unabii huu unaeleza Sifa za Masihi atakayekuja, yaani sharti atokee Katika ukoo wa Daudi. Jambo ambalo Yesu Mnazareth maandiko yanaeleza kuwa hajatokea kwani hakuwa na Baba.

Hata Mariam mamaye Yesu angetokea ukoo wa Daudi bado isingemsaidia lolote Yesu kwani kiunabii au kimaandiko Uzao unatoka Kwa Baba.

Hoja hii inaungwa mkono na Wayahudi wengi na kufikia hitimisho kuwa Yesu sio Masihi aliyetabiriwa. Yesu hakuwa na Baba, huyo Yusufu ambaye ukoo wake umetajwa kwenye Biblia hakuwa Baba mzazi wa Yesu. Ndio maana alitaka kumkimbia Mariam.

Wayahudi wanadai kuwa Masihi angezaliwa kikawaida, Kwa kuwa Na Baba mzazi na Mama mzazi na sio kutumia njia ya miungu kutunga mimba. Jambo ambalo Wayahudi wanaliita ni dhana ya upagani wa Kirumi.

C) MASIHI LAZIMA AWARUDISHE WAYAHUDI WOTE WALIOTAWANYIKA DUNIANI WARUDI ISRAEL.
Yesu Mnazareth hakutimiza hilo. Wayahudi walichukuliwa uhamishoni huku na Huko. Na wapo wengine waliobakizwa Uyahudini.

Masihi aliyetabiriwa moja y majukumu yake ilikuwa kuwakusanya na kuwarejesha waisrael wote waliotawanyika warudi nyumbani Yesu hakufanya hilo. Hivyo anakosa Sifa za kinabii za Masihi aliyetabiriwa

ISAYA 11:
10 Siku ile chipukizi wa Yese atakuwa ishara kwa mataifa; mataifa yatamtafuta na makazi yake yatatukuka.
11. Siku hiyo, Bwana ataunyosha mkono wake tena kuwarejesha watu wake waliosalia huko Ashuru, Misri, Pathrosi, Kushi, Elamu, Shinari, Hamathi na sehemu za pwani.


Yesu Mnazareth hakumrejesha hata myahudi mmoja Israel. Hivyo anakosa Sifa za kinabii za Masihi.

Wakristo wanadai Yesu Mnazareth atatimiza hayo kwenye Ujio wa Pili Wakati upande Kwa Wayahudi na vyanzo vya Kiyahudi vinaonyesha kuwa MASIHI atatimiza utume wake Moja Kwa Moja. Katika Biblia hasa ya Unabii wa Masihi aliyetabiriwa hakuna dhana "Masihi Kurudi/kuja Mara yapili.

d) MASIHI ATAKUJA KUKOMESHA MAGONJWA, VITA, TAABU, NJAA N.K
Masihi aliyetabiriwa na manabii moja ya Kazi yake akija atakomesha magonjwa, Vita, Taabu, njaa na majanga mengine. Lakini Yesu Mnazareth hakukomesha chochote Kati ya hivyo kwani mpaka hivi leo, Mambo hayo yapo.
Hivyo anakosa Sifa za Masihi aliyetabiriwa.

Hoja ya kusema kuwa Yesu Mnazareth alikuja Kwa mambo ya ufalme wa Kiroho inazidi kumuondoa Yesu kwenye Sifa za Masihi aliyetabiriwa.

Labda tuseme, Yule Aliyetabiriwa na Yesu Mnazareth kuwa atakuja ambaye Wakristo wanamuita Roho mtakatifu ndiye Masihi ambaye kwa HAKIKA bado hajaja.

E) Masihi hataleta mambo ya utatu mtakatifu ambayo Kwa Torati ni Shirki, ibada za Sanamu.
Masihi ataleta ufalme wa Mungu, Haki yake, na utawala wake. Ataleta Amani Duniani. Hatakuwa sehemu ya Mungu, Ila atakuwa ni sehemu ya Uzao wa DAUDI. Utatu mtakatifu pekee yake unamuondoa Yesu Mnazareth katika Sifa za Masihi aliyetabiriwa na vitabu vya Kale.

Hao ni Wayahudi wanavyomchukulia Myahudi mwenzao yaani Yesu Kristo.

Maswali ambayo tunatakiwa tujiulize;

1. Ikiwa Yesu alitoka mbinguni, Kwa nini hakuandaa makao ya Watu wake Kabla hajaja Duniani kuwakomboa?
Badala yake Akaja Duniani kwanza ndipo akaenda kuandaa Makao. Hii maana yake ni nini?

Mungu aliumba makazi, Dunia ndipo akaumba MTU. Nuhu alijenga Safina ndipo akawakomboa Watu wake. Iweje Yesu aanze na ukombozi kwanz alafu ndio akaandae Makao?

2. Je Yesu na Ukristo, Yesu kama mwenye uwezo na Nabii. Kabla hajaja hakuona hatari ya Ujio wake kuwa mamilioni ya Watu watauawa kisa jina lake.

Yaani watalazimishwa kukubali jina lake kilazima hata kama hawataki? Kwa maana mpaka sasa jina la Yesu ndio linashikilia nafasi ya Kwanza Kwa Watu kuuawa ili tuu Watu waupokee Ukristo au waukatae Ukristo.

3. Iweje Yesu Mnazareth alishindwa kutimiza kazi yake Kwa miaka 33 aliyokaa Duniani mpaka awape majukumu Wanafunzi wake?

Je, hakuona kuwa kuna upotoshaji ungeweza kujitokeza Wakati ambapo hatokuwepo?
Ikiwa alilisha Watu zaidi ya elfu tano Kwa mikate mifano na samaki Wawili, akafufua Watu, na miujiza mingine, kumaanisha alikuwa na uwezo.

Ni kipi alishindwa kuhakikisha kila binadamu anayezaliwa automatically, amjue Mungu na habari zake pasipo kufundishwa na yeyote, ili kuepusha kile kiitwacho uongo na habari zake kuingiziwa hadithi za Uongo. Huo ungekuwa muujiza mzuri na wala asingewapa Wanafunzi wake kazi ya Kutangaza habari zake na habari za Mungu.

4. Yesu aliwaagiza Wanafunzi wake kuhubiri Injili. Je hakujua kuwa Miaka na miaka itapita, Vizazi na Vizazi vitapita.

Je, Vizazi ambavyo havikuwepo Wakati wake(Wakati WA Yesu) Sisi tukiwa miongoni mwa Vizazi hivyo, tunapata mamlaka ipi na uthibitisho upi kuwa Injili tuliyonayo ndio Ile aliyoitoa Yesu? Je, tutatumia kipimo kipi kuthibitisha ukweli WA kile tukisemacho?

5. Ikiwa lengo la Kufa Kwa Kristo ni kuwakomboa wanadamu na kuifia dhambi. Je kama dhambi ilikomeshwa na Kifo cha Yesu, ni kwanini Watu wanaendelea kutenda dhambi?

6. Swali la mwisho, ni Jambo Gani linalopelekea Wakristo kuamini Yesu Mnazareth ndiye Kristo/Masihi ilhali hajatimiza robo tatu ya Masihi aliyetabiriwa na manabii?

Kwa mfano, swali alilouliza Yohana Mbatizaji kuwatuma Wanafunzi wake wakamuulize Yesu kuhusu, Je Ni yeye Masihi au wamsubiri mwingine na jibu la Yesu kuwa viwete wanapona, vipofu wanatembea, viziwi wanasikia, na wafu wanafufuliwa. Je hiyo ndio ilikuwa misheni kuu ya Yesu?

Vipi kuhusu kuwarejesha Wayahudi Israel, vipi kuhusu yeye kuwa Mfalme na kuleta Amani na Haki Duniani, vipi kuhusu kuadhibu na kuhukumu?

7. Je Yesu anapowaambia Wanafunzi wake kuwa atarudi tena, je anaongea hayo Kwa kutimiza Unabii upi wa Masihi?

Maana hakuna sehemu Huko Nyuma ambayo ilitabiriwa ataondoka kisha atarudi tena. Ikiwa ndiye aliyetabiriwa, hiyo dhana aliitolea wapi?

Karibuni kwenye mjadala.
Mihemko hapa haitakuwa sehemu yake.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Wallah huu mjadali haukuhitaji mhemko... bunafsi nimesoma nimepata head against na nnacho amini.
Kwa hoja zilizopo nashindwa kureson kwakua nimeambiwa ni amini tuu🥵🥵🥵
 
Msaada tu Mdogo nikupatie ndugu yangu, kidogo tu maana Maada yako imekaa kiubishiubishi tu wala hauna hata nia ya kujifunza,

Ukihitaji kujifunza na kipengele kingine niambie

,,,,,,,,,,,,,
VSababu pekee ya Bwana Yesu kujulikana kama mwana wa Daudi, ni kutokana na Baraka Daudi alizozibeba, lakini si kutokana na undugu wa kidamu..Wewe unaitwa mwana wa Baba yako kutokana na uhusiano wa kidamu..lakini unaweza ukaitwa mwana wa Raisi wako, ila si kwa uhusiano wa kidamu bali wa pengine wa kiitikadi fulani….

Kwamfano pia sisi wakristo tunaitwa Wana wa Mungu, si kwasababu tumezaliwa familia moja na Muumba wetu,hapana au kwamba tuna damu moja na Mungu, hapana ni kutokana na Baraka za kimbinguni zinavyohusiana na sisi ndio maana tunaitwa wana wa Mungu.

Vivyo hivyo tunajulikana kwamba ni wana wa Ibrahimu , sio kwasababu sisi tuna damu moja na Ibrahimu, hapana bali ni kwasababu ni warithi wa Ahadi zile zile alizopewa Ibarahimu na Mungu, ndio maana na sisi tunajulikana kama wana wa Ibrahimu, Na Bwana Yesu ndio hivyo hivyo, Baraka alizopewa Daudi na mnyororo wa ukoo wake wote zilimhusu pia Bwana wetu Yesu Kristo…Daudi alikusudia kumjengea Mungu, Nyumba na hivyo Mungu akambarikia yeye na uzao wake kuwa uzao wa kifalme milele.(soma 2 Samweli 7:1-12)

kwasababu alizaliwa katika nyumba ya Yusufu ambaye alikuwa ni wa ukoo wa Daudi uliobarikiwa (ukoo wa kifalme),..Moja ya Baraka za ukoo wa Daudi ni kwamba utakuwa ni ukoo wa kifalme, kwamba wazao wote wa Kwanza wa Daudi walipakwa Mafuta na Mungu wawe wafalme soma (2 Wafalme 8:19,). Na ndio maana Bwana Yesu alipozaliwa katika nyumba ya Yusufu kama mzaliwa wa kwanza, roho ya kifalme ilikuwa juu yake. Kwahiyo kwa namna yoyote ile ni lazima angekuja tu kuwa Mfalme..

Je! Unajua kuwa Yusufu baba yake Yesu angepaswa awe mfalme wa Israeli kwa kipindi kile, kulingana na ahadi Mungu aliyomahidia Daudi?…Lakini kutokana na dhambi zao, Taifa la Israeli lilikatwa na uzao wa Daudi wa kifalme ukasimamishwa katika kutawala na ulisimamishwa kipindi gani?..

Kama ukisoma kitabu cha Wafalme, baada ya Daudi kufa, akafuata mwanawe Sulemani akawa mfalme kweli kulingana na ile Ahadi lakini naye pia akafa, na ikaendelea hivyo hivyo, kwa wajukuu na vitukuu vya Daudi, mpaka mfalme wa mwisho aliyetawala Yuda aliyeitwa Sedekia, ambaye alikuwa ni kitukuu cha 20 cha Daudi, huyu ndiye mfalme wa Mwisho kutawala Yuda, baada yake yeye, ndio Watu wakapelekwa Utumwani Babeli, hiyo ndiyo siku waliokatwa na waliporudi kukawa hakuna mfalme tena katika Israeli…vitukuu vya Daudi vilivyozaliwa baada ya Sedekia Mfalme wa Mwisho kufa, wakawa ni watu tu wa kawaida, kama watu wengine…

Ndio maana Yusufu baba yake Yesu alikuwa ni mtu wa kawaida tu maskini, ingawa alikuwa ni mwana wa kifalme…(Kwa urefu fuatilia ukoo huu wa Yesu kwenye kitabu cha Mathayo 1:1-17), laiti Israeli asingeasi na kupelekwa utumwani, Yusufu baba yake Yesu angekuwa mfalme wa Yuda, na Kristo angezaliwa huko…

Hivyo Israeli iliendelea kuwa kama mti uliokatwa baada ya kutoka Babeli…Wayahudi wakakaa mamia ya miaka bila mfalme….kukawa hakuna dalili yoyote ya Mfalme kunyanyuka katika uzao wa Daudi,..kwani Utawala wa Rumi ulikuwa umekamata dunia nzima, na Warumi waliwaweka watu wao kwenye makoloni yao yote, mpaka Israeli ilikuwa ni koloni la Warumi..Hivyo mtawala aliyetawala koloni la Israeli alikuwa ni Mrumi…jambo hilo liliendelea kwa miaka mingi…lakini Biblia ilitabiri katika Isaya Mlango wa 11 kuwa litatoka chipukizi katika shina la Yese….Kumbuka Yese alikuwa ni Baba yake Daudi, kwahiyo ni sawa na kusema litatoka chipukizi katika shina la Daudi au katika uzao wa Daudi. Tunasoma hayo katika…

Isaya11:1 “ Basi litatoka chipukizi katika shina la Yese, na tawi litakalotoka katika mizizi yake litazaa matunda.

2 Na roho ya Bwana atakaa juu yake, roho ya hekima na ufahamu, roho ya shauri na uweza, roho ya maarifa na ya kumcha Bwana”.
 
Anaandika, Robert Heriel
Kuhani.

Leo Taikon atajadili sababu zinazopelekea wayahudi wengi kutokumuamini Yesu Kristo Kama Masihi wao na waulimwengu.

Andiko hili lijadiliwe Kwa Hoja zisizo na mihemko ya kidini. Kama unajijua Akili yako imefungwa fungwa hii mada haitakuhusu.

Hivi uliwahi kujiuliza ni Kwa nini Wayahudi hawamuamini Yesu Kristo? Yaani Kwa nini wamuamini Musa, Daudi, yona, Daniel, Isaya, Ezra, Joshua, n.k lakini Kwa nini hawataki kumuamini Yesu Kristo?

Embu nawe Fikiria hapo. Kumbuka hata huyo Yesu naye NI Myahudi.

Je, ni Yesu pekeake aliyekataliwa na Wayahudi au kuna manabii Masihi wengine waliokataliwa n mayahudi?
Ikiwa wapo je nini sababu ya wao kukataliwa? Nisirefushe andiko.

Twende sasa!

Wayahudi wanasababu kadhaa za kutokumzingatia Yesu kama Masihi au Nabii aliyetabiriwa katika maandiko kaa sababu kuu zifuatazo;

1. Yesu Mnazareth Hakutimiza Unabii hivyo anakosa vigezo vya kuwa Masihi mtabiriwa.
Hapa kuna mambo ambayo Masihi aliyetabiriwa alipaswa kuyatimiza Siku atakapokuja. Mambo hayo ni pamoja na;

a). KUSHUSHA UTAWALA WA MUNGU NA KUKOMBOA WANADAMU
Masihi aliyetabiriwa moja ya majukumu yake akija ni kukomboa Wanadamu na kushusha utawala wa Mungu. Wayahudi hawamuamini Yesu Wa Nazareth Kwa sababu hakutimiza Jambo Hilo. Hakuushusha utawala wa Mungu na wala hakumkomboa Mwanadamu.

Hii ni Kwa sababu mpaka hapa tunapozungumza Bado Dunia haijakombolewa, madhambi ni mengi, na utawala wa Shetani ndio umetamalaki.

Soma utabiri wa Isaya juu ya Masihi atakayekuja kisha linganisha, je Yesu Mnazareth analingana na utabiri huo;

Isaya 9:6
6 . Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa,
Tumepewa mtoto wa kiume;
Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake;
Naye ataitwa jina lake,
Mshauri wa Ajabu, Mungu Mwenye Nguvu,
Baba wa Milele, Mfalme wa Amani.

Ukichambua Unabii huo sentensi Kwa sentensi, je Yesu Mnazareth anatimiza Unabii huo. Embu tuone, "Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake;"
Je Yesu alikuwa na uwezo wa kifalme began mwake? Je alitimiza vigezo vya kuitwa Mfalme? Labda Kwa vile hapa Tanzania kizazi cha sasa hakijaongozwa na wafalme. Lakini tunaweza kuchukulia mfano WA mamlaka ya Rais.

Je Yesu Mnazareth alikuwa anauwezo wa kirais, yaani mamlaka kama tuyaonayo Kwa Rais? Zingatia Mfalme ni zaidi ya Rais Kwa mambo mengi.

Ukisoma maandiko Yesu hakuwa na uwezo wowote wa Kifalme, alikuwa ni nabii kama walivyomanabii wengine.
Hivyo Sifa hii hakuwa nayo.
"Naye ataitwa jina lake,
Mshauri wa Ajabu, Mungu Mwenye Nguvu,
Baba wa Milele, Mfalme wa Amani
"

Je, Yesu Mnazareth alitimiza Unabii wa kuwa na Sifa ya kuitwa Mungu mwenye nguvu? Je Yesu alileta Amani? Maana Unabii unasema ataitwa Mfalme wa Amani.

Je ni kweli Yesu alileta Amani Duniani? Jibu ni Hapana, Yesu Mnazareth hakuleta Amani. Msikilize Yesu mwenyewe;

Mathayo 10:34 BHN​

“Msidhani kwamba nimekuja kuleta amani duniani. Sikuja kuleta amani bali upanga.​

Yesu hakuleta Amani Duniani isipokuwa Upanga. Hivyo anakosa kigezo cha Nabii aliyetabiriwa na manabii wa zamani.

Kwa tuliosoma Histori ya Ulimwengu. Ukristo ndio dini pekee iliyoua Watu wengi Duniani katika kuueneza.
Watu wengi wameuawa Kwa sababu ya Kristo au Kwa jina la Kristo. Hivyo hakuwa Mfalme wa Amani Bali alikuwa Mfalme wa machafuko.

Ukombozi uliolengwa na manabii waliotabiri Ujio wa Masihi ulikuwa ukombozi wa Kimwili. Lakini Yesu hakuja kukomboa yeyote Kimwili. Hiyo ni hoja inayofuata baadaye

b) MASIHI LAZIMA AZALIWE KATIKA UKOO WA DAUDI LAKINI YESU HAKUZALIWA KATIKA UKOO WA DAUDI.

Wayahudi wanamkataa Yesu Kwa sababu yupo Kinyume na Unabii wa Masihi aliyetabiriwa. Ndio maana wao wanamsubiri huyo Masihi Kwa jinsi vitabu vyao vinavyoeleza.

Maandiko yanaonyesha kuwa Yesu hakuwa Uzao wa DAUDI. Hii ni Kutokana na sababu zifuatazo;

I) Yesu alizaliwa pasipo na Baba.
Maandiko yanaeleza kuwa Yesu alizaliwa Kwa Njia ya Roho mtakatifu. Hana Baba wa kibinadamu. Jambo ambalo linampotezea Sifa ya kuwa Masihi aliyetabiriwa.

Wayahudi wanaeleza kuwa Masihi aliyetabiriwa angezaliwa kikawaida kama binadamu wengine tena angetoka katika Uzao WA Daudi. Yaani Baba yake lazima awe katika ukoo wa Daudi (Daudi mtoto wa Year).

Mwanzo 49:10 BHN​

“Fimbo ya kifalme haitatoka kwa Yuda, wala bakora ya utawala miguuni pake, mpaka atakapofika yule ambaye ni yake; ambaye mataifa yatamtii.​

Soma Unabii wa Isaya;
ISAYA 11
1 Kutatokea chipukizi katika kisiki cha Yese,
tawi litachipua mizizini mwake.
2Roho ya Mwenyezi-Mungu itakaa kwake,
roho ya hekima na maarifa,
roho ya shauri jema na nguvu,
roho ya ujuzi na ya kumcha Mwenyezi-Mungu.
3Atafurahia kumcha Mwenyezi-Mungu.
Hatahukumu kadiri ya mambo ya njenje,
wala kuamua kufuatana na yale anayosikia.
4 Atawapatia haki watu maskini,
atawaamulia sawasawa wanyonge nchini.
Kwa neno lake ataiadhibu dunia,
kwa tamko lake atawaua waovu.
5 Haki itakuwa kama mkanda wa kujifunga,
uaminifu utakaa naye kama mkanda kiunoni.
6 Mbwamwitu ataishi pamoja na mwanakondoo,
chui watapumzika pamoja na mwanambuzi.
Ndama na wanasimba watakula pamoja,
na mtoto mdogo atawaongoza.
7Ngombe na dubu watakula pamoja,
ndama wao watapumzika pamoja;
na simba atakula majani kama ng'ombe.
8Mtoto mchanga atacheza kwenye shimo la nyoka
mtoto ataweza kutia mkono shimoni mwa nyoka wa sumu.
9 Katika mlima mtakatifu wa Mungu
hakutakuwa na madhara wala uharibifu.
Maana kumjua Mwenyezi-Mungu kutaenea pote nchini,
kama vile maji yajaavyo baharini.
10 Siku ile chipukizi wa Yese atakuwa ishara kwa mataifa; mataifa yatamtafuta na makazi yake yatatukuka.
11Siku hiyo, Bwana ataunyosha mkono wake tena kuwarejesha watu wake waliosalia huko Ashuru, Misri, Pathrosi, Kushi, Elamu, Shinari, Hamathi na sehemu za pwani


Unabii huu unaeleza Sifa za Masihi atakayekuja, yaani sharti atokee Katika ukoo wa Daudi. Jambo ambalo Yesu Mnazareth maandiko yanaeleza kuwa hajatokea kwani hakuwa na Baba.

Hata Mariam mamaye Yesu angetokea ukoo wa Daudi bado isingemsaidia lolote Yesu kwani kiunabii au kimaandiko Uzao unatoka Kwa Baba.

Hoja hii inaungwa mkono na Wayahudi wengi na kufikia hitimisho kuwa Yesu sio Masihi aliyetabiriwa. Yesu hakuwa na Baba, huyo Yusufu ambaye ukoo wake umetajwa kwenye Biblia hakuwa Baba mzazi wa Yesu. Ndio maana alitaka kumkimbia Mariam.

Wayahudi wanadai kuwa Masihi angezaliwa kikawaida, Kwa kuwa Na Baba mzazi na Mama mzazi na sio kutumia njia ya miungu kutunga mimba. Jambo ambalo Wayahudi wanaliita ni dhana ya upagani wa Kirumi.

C) MASIHI LAZIMA AWARUDISHE WAYAHUDI WOTE WALIOTAWANYIKA DUNIANI WARUDI ISRAEL.
Yesu Mnazareth hakutimiza hilo. Wayahudi walichukuliwa uhamishoni huku na Huko. Na wapo wengine waliobakizwa Uyahudini.

Masihi aliyetabiriwa moja y majukumu yake ilikuwa kuwakusanya na kuwarejesha waisrael wote waliotawanyika warudi nyumbani Yesu hakufanya hilo. Hivyo anakosa Sifa za kinabii za Masihi aliyetabiriwa

ISAYA 11:
10 Siku ile chipukizi wa Yese atakuwa ishara kwa mataifa; mataifa yatamtafuta na makazi yake yatatukuka.
11. Siku hiyo, Bwana ataunyosha mkono wake tena kuwarejesha watu wake waliosalia huko Ashuru, Misri, Pathrosi, Kushi, Elamu, Shinari, Hamathi na sehemu za pwani.


Yesu Mnazareth hakumrejesha hata myahudi mmoja Israel. Hivyo anakosa Sifa za kinabii za Masihi.

Wakristo wanadai Yesu Mnazareth atatimiza hayo kwenye Ujio wa Pili Wakati upande Kwa Wayahudi na vyanzo vya Kiyahudi vinaonyesha kuwa MASIHI atatimiza utume wake Moja Kwa Moja. Katika Biblia hasa ya Unabii wa Masihi aliyetabiriwa hakuna dhana "Masihi Kurudi/kuja Mara yapili.

d) MASIHI ATAKUJA KUKOMESHA MAGONJWA, VITA, TAABU, NJAA N.K
Masihi aliyetabiriwa na manabii moja ya Kazi yake akija atakomesha magonjwa, Vita, Taabu, njaa na majanga mengine. Lakini Yesu Mnazareth hakukomesha chochote Kati ya hivyo kwani mpaka hivi leo, Mambo hayo yapo.
Hivyo anakosa Sifa za Masihi aliyetabiriwa.

Hoja ya kusema kuwa Yesu Mnazareth alikuja Kwa mambo ya ufalme wa Kiroho inazidi kumuondoa Yesu kwenye Sifa za Masihi aliyetabiriwa.

Labda tuseme, Yule Aliyetabiriwa na Yesu Mnazareth kuwa atakuja ambaye Wakristo wanamuita Roho mtakatifu ndiye Masihi ambaye kwa HAKIKA bado hajaja.

E) Masihi hataleta mambo ya utatu mtakatifu ambayo Kwa Torati ni Shirki, ibada za Sanamu.
Masihi ataleta ufalme wa Mungu, Haki yake, na utawala wake. Ataleta Amani Duniani. Hatakuwa sehemu ya Mungu, Ila atakuwa ni sehemu ya Uzao wa DAUDI. Utatu mtakatifu pekee yake unamuondoa Yesu Mnazareth katika Sifa za Masihi aliyetabiriwa na vitabu vya Kale.

Hao ni Wayahudi wanavyomchukulia Myahudi mwenzao yaani Yesu Kristo.

Maswali ambayo tunatakiwa tujiulize;

1. Ikiwa Yesu alitoka mbinguni, Kwa nini hakuandaa makao ya Watu wake Kabla hajaja Duniani kuwakomboa?
Badala yake Akaja Duniani kwanza ndipo akaenda kuandaa Makao. Hii maana yake ni nini?

Mungu aliumba makazi, Dunia ndipo akaumba MTU. Nuhu alijenga Safina ndipo akawakomboa Watu wake. Iweje Yesu aanze na ukombozi kwanz alafu ndio akaandae Makao?

2. Je Yesu na Ukristo, Yesu kama mwenye uwezo na Nabii. Kabla hajaja hakuona hatari ya Ujio wake kuwa mamilioni ya Watu watauawa kisa jina lake.

Yaani watalazimishwa kukubali jina lake kilazima hata kama hawataki? Kwa maana mpaka sasa jina la Yesu ndio linashikilia nafasi ya Kwanza Kwa Watu kuuawa ili tuu Watu waupokee Ukristo au waukatae Ukristo.

3. Iweje Yesu Mnazareth alishindwa kutimiza kazi yake Kwa miaka 33 aliyokaa Duniani mpaka awape majukumu Wanafunzi wake?

Je, hakuona kuwa kuna upotoshaji ungeweza kujitokeza Wakati ambapo hatokuwepo?
Ikiwa alilisha Watu zaidi ya elfu tano Kwa mikate mifano na samaki Wawili, akafufua Watu, na miujiza mingine, kumaanisha alikuwa na uwezo.

Ni kipi alishindwa kuhakikisha kila binadamu anayezaliwa automatically, amjue Mungu na habari zake pasipo kufundishwa na yeyote, ili kuepusha kile kiitwacho uongo na habari zake kuingiziwa hadithi za Uongo. Huo ungekuwa muujiza mzuri na wala asingewapa Wanafunzi wake kazi ya Kutangaza habari zake na habari za Mungu.

4. Yesu aliwaagiza Wanafunzi wake kuhubiri Injili. Je hakujua kuwa Miaka na miaka itapita, Vizazi na Vizazi vitapita.

Je, Vizazi ambavyo havikuwepo Wakati wake(Wakati WA Yesu) Sisi tukiwa miongoni mwa Vizazi hivyo, tunapata mamlaka ipi na uthibitisho upi kuwa Injili tuliyonayo ndio Ile aliyoitoa Yesu? Je, tutatumia kipimo kipi kuthibitisha ukweli WA kile tukisemacho?

5. Ikiwa lengo la Kufa Kwa Kristo ni kuwakomboa wanadamu na kuifia dhambi. Je kama dhambi ilikomeshwa na Kifo cha Yesu, ni kwanini Watu wanaendelea kutenda dhambi?

6. Swali la mwisho, ni Jambo Gani linalopelekea Wakristo kuamini Yesu Mnazareth ndiye Kristo/Masihi ilhali hajatimiza robo tatu ya Masihi aliyetabiriwa na manabii?

Kwa mfano, swali alilouliza Yohana Mbatizaji kuwatuma Wanafunzi wake wakamuulize Yesu kuhusu, Je Ni yeye Masihi au wamsubiri mwingine na jibu la Yesu kuwa viwete wanapona, vipofu wanatembea, viziwi wanasikia, na wafu wanafufuliwa. Je hiyo ndio ilikuwa misheni kuu ya Yesu?

Vipi kuhusu kuwarejesha Wayahudi Israel, vipi kuhusu yeye kuwa Mfalme na kuleta Amani na Haki Duniani, vipi kuhusu kuadhibu na kuhukumu?

7. Je Yesu anapowaambia Wanafunzi wake kuwa atarudi tena, je anaongea hayo Kwa kutimiza Unabii upi wa Masihi?

Maana hakuna sehemu Huko Nyuma ambayo ilitabiriwa ataondoka kisha atarudi tena. Ikiwa ndiye aliyetabiriwa, hiyo dhana aliitolea wapi?

Karibuni kwenye mjadala.
Mihemko hapa haitakuwa sehemu yake.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Tumekuelewa.
 
Msaada tu Mdogo nikupatie ndugu yangu, kidogo tu maana Maada yako imekaa kiubishiubishi tu wala hauna hata nia ya kujifunza,

Ukihitaji kujifunza na kipengele kingine niambie

,,,,,,,,,,,,,
VSababu pekee ya Bwana Yesu kujulikana kama mwana wa Daudi, ni kutokana na Baraka Daudi alizozibeba, lakini si kutokana na undugu wa kidamu..Wewe unaitwa mwana wa Baba yako kutokana na uhusiano wa kidamu..lakini unaweza ukaitwa mwana wa Raisi wako, ila si kwa uhusiano wa kidamu bali wa pengine wa kiitikadi fulani….

Kwamfano pia sisi wakristo tunaitwa Wana wa Mungu, si kwasababu tumezaliwa familia moja na Muumba wetu,hapana au kwamba tuna damu moja na Mungu, hapana ni kutokana na Baraka za kimbinguni zinavyohusiana na sisi ndio maana tunaitwa wana wa Mungu.

Vivyo hivyo tunajulikana kwamba ni wana wa Ibrahimu , sio kwasababu sisi tuna damu moja na Ibrahimu, hapana bali ni kwasababu ni warithi wa Ahadi zile zile alizopewa Ibarahimu na Mungu, ndio maana na sisi tunajulikana kama wana wa Ibrahimu, Na Bwana Yesu ndio hivyo hivyo, Baraka alizopewa Daudi na mnyororo wa ukoo wake wote zilimhusu pia Bwana wetu Yesu Kristo…Daudi alikusudia kumjengea Mungu, Nyumba na hivyo Mungu akambarikia yeye na uzao wake kuwa uzao wa kifalme milele.(soma 2 Samweli 7:1-12)

kwasababu alizaliwa katika nyumba ya Yusufu ambaye alikuwa ni wa ukoo wa Daudi uliobarikiwa (ukoo wa kifalme),..Moja ya Baraka za ukoo wa Daudi ni kwamba utakuwa ni ukoo wa kifalme, kwamba wazao wote wa Kwanza wa Daudi walipakwa Mafuta na Mungu wawe wafalme soma (2 Wafalme 8:19,). Na ndio maana Bwana Yesu alipozaliwa katika nyumba ya Yusufu kama mzaliwa wa kwanza, roho ya kifalme ilikuwa juu yake. Kwahiyo kwa namna yoyote ile ni lazima angekuja tu kuwa Mfalme..

Je! Unajua kuwa Yusufu baba yake Yesu angepaswa awe mfalme wa Israeli kwa kipindi kile, kulingana na ahadi Mungu aliyomahidia Daudi?…Lakini kutokana na dhambi zao, Taifa la Israeli lilikatwa na uzao wa Daudi wa kifalme ukasimamishwa katika kutawala na ulisimamishwa kipindi gani?..

Kama ukisoma kitabu cha Wafalme, baada ya Daudi kufa, akafuata mwanawe Sulemani akawa mfalme kweli kulingana na ile Ahadi lakini naye pia akafa, na ikaendelea hivyo hivyo, kwa wajukuu na vitukuu vya Daudi, mpaka mfalme wa mwisho aliyetawala Yuda aliyeitwa Sedekia, ambaye alikuwa ni kitukuu cha 20 cha Daudi, huyu ndiye mfalme wa Mwisho kutawala Yuda, baada yake yeye, ndio Watu wakapelekwa Utumwani Babeli, hiyo ndiyo siku waliokatwa na waliporudi kukawa hakuna mfalme tena katika Israeli…vitukuu vya Daudi vilivyozaliwa baada ya Sedekia Mfalme wa Mwisho kufa, wakawa ni watu tu wa kawaida, kama watu wengine…

Ndio maana Yusufu baba yake Yesu alikuwa ni mtu wa kawaida tu maskini, ingawa alikuwa ni mwana wa kifalme…(Kwa urefu fuatilia ukoo huu wa Yesu kwenye kitabu cha Mathayo 1:1-17), laiti Israeli asingeasi na kupelekwa utumwani, Yusufu baba yake Yesu angekuwa mfalme wa Yuda, na Kristo angezaliwa huko…

Hivyo Israeli iliendelea kuwa kama mti uliokatwa baada ya kutoka Babeli…Wayahudi wakakaa mamia ya miaka bila mfalme….kukawa hakuna dalili yoyote ya Mfalme kunyanyuka katika uzao wa Daudi,..kwani Utawala wa Rumi ulikuwa umekamata dunia nzima, na Warumi waliwaweka watu wao kwenye makoloni yao yote, mpaka Israeli ilikuwa ni koloni la Warumi..Hivyo mtawala aliyetawala koloni la Israeli alikuwa ni Mrumi…jambo hilo liliendelea kwa miaka mingi…lakini Biblia ilitabiri katika Isaya Mlango wa 11 kuwa litatoka chipukizi katika shina la Yese….Kumbuka Yese alikuwa ni Baba yake Daudi, kwahiyo ni sawa na kusema litatoka chipukizi katika shina la Daudi au katika uzao wa Daudi. Tunasoma hayo katika…

Isaya11:1 “ Basi litatoka chipukizi katika shina la Yese, na tawi litakalotoka katika mizizi yake litazaa matunda.

2 Na roho ya Bwana atakaa juu yake, roho ya hekima na ufahamu, roho ya shauri na uweza, roho ya maarifa na ya kumcha Bwana”.
Mkuu nina mambo nilikuwa nayatafakari na katika andiko lako nimepata majibu niliokuwa najiuliza,,,umeenda deep kama msomi mzuri wa biblia,,,ubarikiwe...
 
Msaada tu Mdogo nikupatie ndugu yangu, kidogo tu maana Maada yako imekaa kiubishiubishi tu wala hauna hata nia ya kujifunza,

Ukihitaji kujifunza na kipengele kingine niambie

,,,,,,,,,,,,,
VSababu pekee ya Bwana Yesu kujulikana kama mwana wa Daudi, ni kutokana na Baraka Daudi alizozibeba, lakini si kutokana na undugu wa kidamu..Wewe unaitwa mwana wa Baba yako kutokana na uhusiano wa kidamu..lakini unaweza ukaitwa mwana wa Raisi wako, ila si kwa uhusiano wa kidamu bali wa pengine wa kiitikadi fulani….

Kwamfano pia sisi wakristo tunaitwa Wana wa Mungu, si kwasababu tumezaliwa familia moja na Muumba wetu,hapana au kwamba tuna damu moja na Mungu, hapana ni kutokana na Baraka za kimbinguni zinavyohusiana na sisi ndio maana tunaitwa wana wa Mungu.

Vivyo hivyo tunajulikana kwamba ni wana wa Ibrahimu , sio kwasababu sisi tuna damu moja na Ibrahimu, hapana bali ni kwasababu ni warithi wa Ahadi zile zile alizopewa Ibarahimu na Mungu, ndio maana na sisi tunajulikana kama wana wa Ibrahimu, Na Bwana Yesu ndio hivyo hivyo, Baraka alizopewa Daudi na mnyororo wa ukoo wake wote zilimhusu pia Bwana wetu Yesu Kristo…Daudi alikusudia kumjengea Mungu, Nyumba na hivyo Mungu akambarikia yeye na uzao wake kuwa uzao wa kifalme milele.(soma 2 Samweli 7:1-12)

kwasababu alizaliwa katika nyumba ya Yusufu ambaye alikuwa ni wa ukoo wa Daudi uliobarikiwa (ukoo wa kifalme),..Moja ya Baraka za ukoo wa Daudi ni kwamba utakuwa ni ukoo wa kifalme, kwamba wazao wote wa Kwanza wa Daudi walipakwa Mafuta na Mungu wawe wafalme soma (2 Wafalme 8:19,). Na ndio maana Bwana Yesu alipozaliwa katika nyumba ya Yusufu kama mzaliwa wa kwanza, roho ya kifalme ilikuwa juu yake. Kwahiyo kwa namna yoyote ile ni lazima angekuja tu kuwa Mfalme..

Je! Unajua kuwa Yusufu baba yake Yesu angepaswa awe mfalme wa Israeli kwa kipindi kile, kulingana na ahadi Mungu aliyomahidia Daudi?…Lakini kutokana na dhambi zao, Taifa la Israeli lilikatwa na uzao wa Daudi wa kifalme ukasimamishwa katika kutawala na ulisimamishwa kipindi gani?..

Kama ukisoma kitabu cha Wafalme, baada ya Daudi kufa, akafuata mwanawe Sulemani akawa mfalme kweli kulingana na ile Ahadi lakini naye pia akafa, na ikaendelea hivyo hivyo, kwa wajukuu na vitukuu vya Daudi, mpaka mfalme wa mwisho aliyetawala Yuda aliyeitwa Sedekia, ambaye alikuwa ni kitukuu cha 20 cha Daudi, huyu ndiye mfalme wa Mwisho kutawala Yuda, baada yake yeye, ndio Watu wakapelekwa Utumwani Babeli, hiyo ndiyo siku waliokatwa na waliporudi kukawa hakuna mfalme tena katika Israeli…vitukuu vya Daudi vilivyozaliwa baada ya Sedekia Mfalme wa Mwisho kufa, wakawa ni watu tu wa kawaida, kama watu wengine…

Ndio maana Yusufu baba yake Yesu alikuwa ni mtu wa kawaida tu maskini, ingawa alikuwa ni mwana wa kifalme…(Kwa urefu fuatilia ukoo huu wa Yesu kwenye kitabu cha Mathayo 1:1-17), laiti Israeli asingeasi na kupelekwa utumwani, Yusufu baba yake Yesu angekuwa mfalme wa Yuda, na Kristo angezaliwa huko…

Hivyo Israeli iliendelea kuwa kama mti uliokatwa baada ya kutoka Babeli…Wayahudi wakakaa mamia ya miaka bila mfalme….kukawa hakuna dalili yoyote ya Mfalme kunyanyuka katika uzao wa Daudi,..kwani Utawala wa Rumi ulikuwa umekamata dunia nzima, na Warumi waliwaweka watu wao kwenye makoloni yao yote, mpaka Israeli ilikuwa ni koloni la Warumi..Hivyo mtawala aliyetawala koloni la Israeli alikuwa ni Mrumi…jambo hilo liliendelea kwa miaka mingi…lakini Biblia ilitabiri katika Isaya Mlango wa 11 kuwa litatoka chipukizi katika shina la Yese….Kumbuka Yese alikuwa ni Baba yake Daudi, kwahiyo ni sawa na kusema litatoka chipukizi katika shina la Daudi au katika uzao wa Daudi. Tunasoma hayo katika…

Isaya11:1 “ Basi litatoka chipukizi katika shina la Yese, na tawi litakalotoka katika mizizi yake litazaa matunda.

2 Na roho ya Bwana atakaa juu yake, roho ya hekima na ufahamu, roho ya shauri na uweza, roho ya maarifa na ya kumcha Bwana”.
Noted.🙏🙏
 
Tuliopata neema ya kumjua Yesu, tushikilie sana hiyo imani. Kwa mimi niliyewahi kushikwa mkono na Yesu, na akaongea nami moja kwa moja, itoshe tu kusema nimekuamini bwana, ninapoanguka ni udhaifu wangu tu na nashukuru kwakuwa hujawahi kuniacha nipotee. Hakuna alternative fact inayoweza kutolewa kwangu nikaamini otherwise kwakuwa nimeona mengi, tena ya ajabu! Usalama katika mikono ya huyu Yesu ni promised! Kila kitu kikiwa complimented na Roho mtakatifu kama alivyoahidi Yesu mwenyewe! Ni kitu gani kinachoweza kunitenganisha nawe Bwana, hakuna! Ombi langu ni uguse mioyo ya wale ambao bado hujawagusa! Waonje na kuuona wema wako! Amina!
 
MAANA YA YESU KULETA UPANGA NI KULETA NENO LA MUNGU.

Mathayo 10:34
“Msidhani kwamba nimekuja kuleta amani duniani. Sikuja kuleta amani bali upanga.

Tena ipokeeni chapeo ya wokovu, na upanga wa Roho ambao ni neno la Mungu;
Waefeso 6:17

12 Maana Neno la Mungu li hai, tena lina nguvu, tena lina ukali kuliko upanga uwao wote ukatao kuwili, tena lachoma hata kuzigawanya nafsi na roho, na viungo na mafuta yaliyomo ndani yake; tena li jepesi kuyatambua mawazo na makusudi ya moyo.
Waebrania 4:12

YESU ALIAHIDI KULETA AMANI.

27 Amani nawaachieni; amani yangu nawapa; niwapavyo mimi sivyo kama ulimwengu utoavyo. Msifadhaike mioyoni mwenu, wala msiwe na woga.
Yohana 14:27
 
ALIEKUJA NI MUNGU SIO NABII HIVYO NABII WA WAYAHUDI BADO HAJAJA BADO TUNA MSUBIRI KWA MADA HII NITAWAUNGA MKONO
 
Kama unaamini katika imani yako ,achana kabisa na mambo usiyoyajua au yasiyokuhusu kwanza kutokanq na maelezo yako moja kwa moja mimi siwezi kukujibu chochote maana tayari uko na majibu yako!!
 
Back
Top Bottom