yevgeny prizogny
Member
- Nov 20, 2022
- 90
- 151
WARUMI/ROMAN 11:13-24
13.Lakini nasema na ninyi, mlio watu wa mataifa.Basi, kwa kadiri nilivyo mtume wa watu wa mataifa, naitukuza huduma ilio yangu, 14.nipate kuwatia wivu walio damu moja na mimi na kuwaokoa baadhi yao. 15.Maana ikiwa kutupwa kwao kumeleta upatanisho kwa ulimwengu,je! kukubaliwa kwao kutakuwa nini kama si uhai badala ya kufa? 16.Tena malimbuko yakiwa matakatifu,kadhalika na donge lote; na shina likiwa takatifu,matawi nayo kadhalika.17.Lakini iwapo matawi mengine yamekatwa,na wewe mzeituni mwitu ulipandikizwa kati yao, ukawa mshirika wa shina la mzeituni na unono wake, 18.usijisifu juu ya matawi yale;au ukiwa wajisifu,si wewe ulichukuae shina,bali ni shina likuchukualo wewe.19.Basi utasema,matawi yale yalikatwa kusudi ili nipandikizwe mimi.20.Vema.Yalikatwa kwa kutokuamini kwao,na wewe wasimama kwa imani yako.Usijivune bali uogope.21.Kwa maana ikiwa Mungu hakuyaachia matawi ya asili,wala hatakuachia wewe.22.Tazama,basi,wema na ukali wa Mungu; kwa wale walioanguka, ukali, bali kwako wewe wema wa Mungu,ukikaa katika wema huo;kama sivyo,wewe nawe utakatiliwa mbali.23.Na hao pia,wasipokaa katika kutokuamini kwao,watapandikizwa;kwa kuwa Mungu aweza kuwapandikiza tena.24.Kwa maana ikiwa wewe ulikatwa ukatolewa katika mzeituni,ulio mzeituni mwitu kwa asili yake,kisha ukapandikizwa,kinyume cha asili,katika mzeituni ulio mwema,si zaidi sana wale walio wa asili kuweza kupandikizwa katika mzeituni wao wenyewe??
HAPO JUU NI NAFASI WALIOPO WAYAHUDI NA WATU WA MATAIFA KWA SASA INATAKIWA KUELEWA TU.BILA KUSAHAU SHINA NDIO YESU KRISTO.WAYAHUDI NI MATAWI NA MATAIFA NI MATAWI
KUHUSU WAYAHUDI AT THE END OF DAY
ROMAN 11:25-27
25.Kwa maana,ndugu zangu,sipendi msiijue siri hii, ili misijione kuwa wenye akili; ya kwamba kwa sehemu ugumu umewapata Israeli, MPAKA UTIMILIFU WA MATAIFA UWASILI.26.Hivyo Israeli wote wataokoka; kama ilivyoandikwa,
Mwokozi atakuja kutoka sayuni;Atamtenga Yakobo na maasia yake.Na hili ndilo AGANO langu nao."Nitawaondolea dhambi zao.""
Kuna ratiba maalum kwa mambo yote yanayoendelea hapa duniani,,dunia haiendi yenyewe tu, yupo INCHARGE.Kuna time of Gentiles na pia time for Jews.Kwa hio wayahudi kutomwamini YESU sio maamuzi yao ni neema ili na wengine wasio kwenye bloodline yao wapate nafasi lakini nafasi ya wayahudi ikiwa haijapotea.
13.Lakini nasema na ninyi, mlio watu wa mataifa.Basi, kwa kadiri nilivyo mtume wa watu wa mataifa, naitukuza huduma ilio yangu, 14.nipate kuwatia wivu walio damu moja na mimi na kuwaokoa baadhi yao. 15.Maana ikiwa kutupwa kwao kumeleta upatanisho kwa ulimwengu,je! kukubaliwa kwao kutakuwa nini kama si uhai badala ya kufa? 16.Tena malimbuko yakiwa matakatifu,kadhalika na donge lote; na shina likiwa takatifu,matawi nayo kadhalika.17.Lakini iwapo matawi mengine yamekatwa,na wewe mzeituni mwitu ulipandikizwa kati yao, ukawa mshirika wa shina la mzeituni na unono wake, 18.usijisifu juu ya matawi yale;au ukiwa wajisifu,si wewe ulichukuae shina,bali ni shina likuchukualo wewe.19.Basi utasema,matawi yale yalikatwa kusudi ili nipandikizwe mimi.20.Vema.Yalikatwa kwa kutokuamini kwao,na wewe wasimama kwa imani yako.Usijivune bali uogope.21.Kwa maana ikiwa Mungu hakuyaachia matawi ya asili,wala hatakuachia wewe.22.Tazama,basi,wema na ukali wa Mungu; kwa wale walioanguka, ukali, bali kwako wewe wema wa Mungu,ukikaa katika wema huo;kama sivyo,wewe nawe utakatiliwa mbali.23.Na hao pia,wasipokaa katika kutokuamini kwao,watapandikizwa;kwa kuwa Mungu aweza kuwapandikiza tena.24.Kwa maana ikiwa wewe ulikatwa ukatolewa katika mzeituni,ulio mzeituni mwitu kwa asili yake,kisha ukapandikizwa,kinyume cha asili,katika mzeituni ulio mwema,si zaidi sana wale walio wa asili kuweza kupandikizwa katika mzeituni wao wenyewe??
HAPO JUU NI NAFASI WALIOPO WAYAHUDI NA WATU WA MATAIFA KWA SASA INATAKIWA KUELEWA TU.BILA KUSAHAU SHINA NDIO YESU KRISTO.WAYAHUDI NI MATAWI NA MATAIFA NI MATAWI
KUHUSU WAYAHUDI AT THE END OF DAY
ROMAN 11:25-27
25.Kwa maana,ndugu zangu,sipendi msiijue siri hii, ili misijione kuwa wenye akili; ya kwamba kwa sehemu ugumu umewapata Israeli, MPAKA UTIMILIFU WA MATAIFA UWASILI.26.Hivyo Israeli wote wataokoka; kama ilivyoandikwa,
Mwokozi atakuja kutoka sayuni;Atamtenga Yakobo na maasia yake.Na hili ndilo AGANO langu nao."Nitawaondolea dhambi zao.""
Kuna ratiba maalum kwa mambo yote yanayoendelea hapa duniani,,dunia haiendi yenyewe tu, yupo INCHARGE.Kuna time of Gentiles na pia time for Jews.Kwa hio wayahudi kutomwamini YESU sio maamuzi yao ni neema ili na wengine wasio kwenye bloodline yao wapate nafasi lakini nafasi ya wayahudi ikiwa haijapotea.