Hii ndio Sababu Waadventist Wasabato huamini Mwisho wa Dunia Ulianza Mwaka 1844

Bush Dokta

JF-Expert Member
Apr 11, 2023
12,155
20,332
Ndugu zangu naleta kwenu hii Nadharia ya Mwisho wa Dunia kwa mujibu wa Mafundisho ya Sauti ya Unabii kutoka kwa Elen G White.

Hawa wenzetu wasabato wanaamini kipindi cha Mwisho wa dunia kimeshawadia kwa hiyo kinachosubiriwa ni Ujio wa Yesu Kristo Masihi.

Andiko hili litakuwa endelevu kadiri tutakavyokuwa tunajadiliana.

Nakaribisha Hoja mbali mbali kwa wadau hasa

Msingi wa Mafundisho yao huanzia ktk Kitabu cha Unabii wa Danieli ktk Unabii wa Siku 2300. Ambapo Danieli anajulishwa na Malaika kuwa hali ya mateso kutoka kwa Mtawala wa zamani wa Roma itaendelea kukanyaga mahali patakatifu hadi asubuhi na jioni 2300.

Hivyo siku moja katika unabii ni sawa na mwaka mmoja.

Swali ni je tunaanzia wapi kuhesbu mwanzo wa miaka hiyo?

Kitabi cha Danieli sura ya 9 kinaeleza ni tangu enzi za Kutangazwa kujengwa upya Yerusalem iliyobomolewa na Nebkadineza hadi kuja kwa Masihi hadi kukatiliwa Mbali hadi Kuketi kwake Pataktifu pa Patakatifu.

Hivyo mwanzo huo wanaanzia kuhesabu Tangu Mfalme Atashasta alipowapa Amri akina Nehemia, Ezra na Zerubabeli kuongoza msafara wa kurudi Israeli kujenga upya Yerusalem.

Tangu kujengwa kwa Yerusalemu hadi kuja kwa Masihi yatakuwa ni majuma sitini na tisa (69); yaani majuma saba (7) kujumulisha majuma sitini na mbili (62) tunapata majuma sitini na tisa (69); au 7 62 = 69.

Kwa hiyo ili tutambue majuma 70, au majuma 69, yailianza lini, ni lazima kwanza tutambue mji wa Yerusalemu ulijengwa lini, hapo ndipo tutapata mwanzo mzuri wa kuhesabu majuma 70, au majuma 69 kuendelea mbele mpaka kutimia unabii wote.

Ndugu msomaji nimejaribu kufupisha kuepuka maelezo marefu.

Danieli anaelezwa kipindi hicho cha ujio wa Masihi hadi kukatiliwa mbali kwake kutakuwa kipidi cha majuma 70. Na kwamba katika Juma la 69 Yesu atateswa na kuuwa na katika Juma la Mwisho la sabini Mfalme Mwenye Kunena kwa mafumbo( Rumi) atasimamisha Chukizo la Uharibifu na kutengua Sheria za Mungu.

So kuanzia tangazo la Mfalme Ataahasta Wa Uajemi mwaka 458KK hadi mwaka 1844 kuna fanya kuwa miaka 2300.
 
Ndugu zangu naleta kwenu hii Nadharia ya Mwisho wa Dunia kwa mujibu wa Mafundisho ya Sauti ya Unabii kutoka kwa Elen G White.

Hawa wenzetu wasabato wanaamini kipindi cha Mwisho wa dunia kimeshawadia kwa hiyo kinachosubiriwa ni Ujio wa Yesu Kristo Masihi.

Andiko hili litakuwa endelevu kadiri tutakavyokuwa tunajadiliana.

Nakaribisha Hoja mbali mbali kwa wadau hasa

Msingi wa Mafundisho yao huanzia ktk Kitabu cha Unabii wa Danieli ktk Unabii wa Siku 2300. Ambapo Danieli anajulishwa na Malaika kuwa hali ya mateso kutoka kwa Mtawala wa zamani wa Roma itaendelea kukanyaga mahali patakatifu hadi asubuhi na jioni 2300.

Hivyo siku moja katika unabii ni sawa na mwaka mmoja.

Swali ni je tunaanzia wapi kuhesbu mwanzo wa miaka hiyo?

Kitabi cha Danieli sura ya 9 kinaeleza ni tangu enzi za Kutangazwa kujengwa upya Yerusalem iliyobomolewa na Nebkadineza hadi kuja kwa Masihi hadi kukatiliwa Mbali hadi Kuketi kwake Pataktifu pa Patakatifu.

Hivyo mwanzo huo wanaanzia kuhesabu Tangu Mfalme Atashasta alipowapa Amri akina Nehemia, Ezra na Zerubabeli kuongoza msafara wa kurudi Israeli kujenga upya Yerusalem.

Tangu kujengwa kwa Yerusalemu hadi kuja kwa Masihi yatakuwa ni majuma sitini na tisa (69); yaani majuma saba (7) kujumulisha majuma sitini na mbili (62) tunapata majuma sitini na tisa (69); au 7 62 = 69.

Kwa hiyo ili tutambue majuma 70, au majuma 69, yailianza lini, ni lazima kwanza tutambue mji wa Yerusalemu ulijengwa lini, hapo ndipo tutapata mwanzo mzuri wa kuhesabu majuma 70, au majuma 69 kuendelea mbele mpaka kutimia unabii wote.

Ndugu msomaji nimejaribu kufupisha kuepuka maelezo marefu.

Danieli anaelezwa kipindi hicho cha ujio wa Masihi hadi kukatiliwa mbali kwake kutakuwa kipidi cha majuma 70. Na kwamba katika Juma la 69 Yesu atateswa na kuuwa na katika Juma la Mwisho la sabini Mfalme Mwenye Kunena kwa mafumbo( Rumi) atasimamisha Chukizo la Uharibifu na kutengua Sheria za Mungu.

So kuanzia tangazo la Mfalme Ataahasta Wa Uajemi mwaka 458KK hadi mwaka 1844 kuna fanya kuwa miaka 2300.
Nitaendelea baadae
 
IMG_0249.jpg

Huyu alikwenda dubai akaamini mwisho tuuze nchi tu
 
Sijui wasabato huwa wanatuchukuliaje?
Basi Mungu awasamehe bure maaana wanujinga na ujuaji mwingi.

NB. Wafia dini nyote kumbukeni hatuwezi kufanana na Imani zenu
 
Uzushi tu hakuna lolote la kweli hadith za Ellen G White wanaziamini mazuzu
wasiosoma Bible watu wanaoshindwa kutofautisha Torati, Manabii na Injili
unadhani mambo ya Spiritual wataya elewaje?
huko mahekaluni mwao wanajazana ujinga na matango pori wakati huku kwa field
mambo ni vice versa wanazidiwa mpaka na walozi wanaojua kutumia dark power kuendesha mambo wao wana wa nuru wanadhani power una gain kwa kuimba choir na kupumzika jumamosi huko kupumzika kwenyewe unatoka jasho juani kwenda church what the hell of ths!!!!
 
Ndugu zangu naleta kwenu hii Nadharia ya Mwisho wa Dunia kwa mujibu wa Mafundisho ya Sauti ya Unabii kutoka kwa Elen G White.

Hawa wenzetu wasabato wanaamini kipindi cha Mwisho wa dunia kimeshawadia kwa hiyo kinachosubiriwa ni Ujio wa Yesu Kristo Masihi.

Andiko hili litakuwa endelevu kadiri tutakavyokuwa tunajadiliana.

Nakaribisha Hoja mbali mbali kwa wadau hasa

Msingi wa Mafundisho yao huanzia ktk Kitabu cha Unabii wa Danieli ktk Unabii wa Siku 2300. Ambapo Danieli anajulishwa na Malaika kuwa hali ya mateso kutoka kwa Mtawala wa zamani wa Roma itaendelea kukanyaga mahali patakatifu hadi asubuhi na jioni 2300.

Hivyo siku moja katika unabii ni sawa na mwaka mmoja.

Swali ni je tunaanzia wapi kuhesbu mwanzo wa miaka hiyo?

Kitabi cha Danieli sura ya 9 kinaeleza ni tangu enzi za Kutangazwa kujengwa upya Yerusalem iliyobomolewa na Nebkadineza hadi kuja kwa Masihi hadi kukatiliwa Mbali hadi Kuketi kwake Pataktifu pa Patakatifu.

Hivyo mwanzo huo wanaanzia kuhesabu Tangu Mfalme Atashasta alipowapa Amri akina Nehemia, Ezra na Zerubabeli kuongoza msafara wa kurudi Israeli kujenga upya Yerusalem.

Tangu kujengwa kwa Yerusalemu hadi kuja kwa Masihi yatakuwa ni majuma sitini na tisa (69); yaani majuma saba (7) kujumulisha majuma sitini na mbili (62) tunapata majuma sitini na tisa (69); au 7 62 = 69.

Kwa hiyo ili tutambue majuma 70, au majuma 69, yailianza lini, ni lazima kwanza tutambue mji wa Yerusalemu ulijengwa lini, hapo ndipo tutapata mwanzo mzuri wa kuhesabu majuma 70, au majuma 69 kuendelea mbele mpaka kutimia unabii wote.

Ndugu msomaji nimejaribu kufupisha kuepuka maelezo marefu.

Danieli anaelezwa kipindi hicho cha ujio wa Masihi hadi kukatiliwa mbali kwake kutakuwa kipidi cha majuma 70. Na kwamba katika Juma la 69 Yesu atateswa na kuuwa na katika Juma la Mwisho la sabini Mfalme Mwenye Kunena kwa mafumbo( Rumi) atasimamisha Chukizo la Uharibifu na kutengua Sheria za Mungu.

So kuanzia tangazo la Mfalme Ataahasta Wa Uajemi mwaka 458KK hadi mwaka 1844 kuna fanya kuwa miaka 2300.
Muda wa kinabii kuanzia pale tangazo lilipotolewa na Mfalme Atashasta wa Uajemi mwaka 458BC hadi muda wa kuja kukataliwa mbali kwa Masihi ni majuma 69 yaani ni sawa na miaka

7 x 69 = 483

Sasa ikiwa kama hii miaka 483 ni sehumu ya hiyo 2,300, sasa kwa hesabu za kinabii zinapaswa ziwe

2,300 - 483 = 1,817AD

Natambua kuna tofauti ya siku 5.25 kati ya mwaka wa kinabii wenye siku 360 na huu wa sasa unaotokana na mzunguko mmoja wa dunia katika "orbit" yake yaani siku 365.25

Pengine kwa kufanya "adjustment" hapo tunapata

1,817 x 5.25 days ÷ 360 days
= 26.5 years

Hivyo basi kwa ongezeko la miaka hii itatupeleka mpaka kufikria

1,817 + 26.5 = 1,843.5
~ 1,844AD

Tukirejea katika maandiko matakatifu pamoja na nyaraka nyingine za kihistoria tunaweza kuona kuhusu kuzaliwa, kifo, na ufufuo wa Masihi. Alizaliwa kati ya miaka 6 na 4 BC. Hiki kilikuwa ni kulingana kumbumbuku zilizopo za nyaraka kuhusu kipindi cha utawala mpaka kifo cha Herode Mkuu, ambaye alikuwa msimamizi wa Yudea kutoka 47 BC hadi 4 BC.

Ilikuwa katika nyakati za mwisho za utawala wa Herode Mkuu ndipo Yosefu na Maria pamoja na Masihi hali akiwa bado mtoto mchanga, ndipo ilipotokea tishio la maisha yake kutokana na amri yake, na hivyo ikalazimika kutoroshwa kwa siri, na hatimaye waliambiwa kurudi Israeli kutoka Misri baada ya kupatikana taarifa ya kifo chake (Mathayo 2:19).

Tunajua pia ya kwamba Yohana Mbatizaji alianza huduma yake katika AD 26, kwa kuzingatia maelezo ya kihistoria katika Luka 3: 1. Yesu labda alianza huduma Yake mara baada ya Yohana kuanza yake. Yesu kisha alihudumu kwa miaka mitatu na nusu baada ya huduma yake, . Hivyo, mwisho wa huduma ya Masihi ilikuwa kati ya 29-30AD

Tukirudi katika hesabu zetu za kinabii tunaweza kuweka tena "new adjustment"

1,843.5 + 29.5 = 1,873

Hivyo kwa kigezo cha hesabu hizi basi kipindi hiki muhimu cha kiunabii kitaangukia kati ya
1,873 - 1,874AD

Na hii ndiyo hesabu sahihi na yenye kukidhi hesabu za kiunabii kama ikichukuliwa zilianza kuhesabika toka tangazo la mfalme huyu wa Uajemi lilipotolewa.

Kwa mtazamo wangu hiki ni kipindi cha nyakati ya sita (6) ya historia ya kanisa kuanza kama kinavyotambulishwa ya barua kwa kanisa la Filadephia (Ufunuo 3:7-13). Hili linachagizwa na maana iliyopo nyuma ya namba sita (6) katika tafsiri ya namba za kinabii.
 
Ellen G white alikua anakula kitimoto lakini anawakataza wasabato wasile kitimoto. Vitu vya ajabu kabisa.
 
Back
Top Bottom