Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,209
- 4,706
Moderator naomba Uzi huu usiunganishwe kwingineko
Wadau hamjamboni nyote
Mada imezingatia ushahidi wa kimaandiko hivyo natarajia wachangiaji waje pia na ushahidi husika
Nàam kwa mujibu wa maandiko Masihi mtarajiwa anatakiwa atokane na uzao wa Mfalme Daudi kupitia mwanae Suleimani (Soma kitabu cha 2 Samuel 7 pamoja na kitabu cha 1 Chronicles 17:11-14, 22:9-10, and 28:4-6)
Hata kitabu cha Luka 3:31 kinathibitisha pia huyo Masihi aliyekuja duniani alitokana na uzao wa Nathan na siyo Suleimani hivyo kukosa sifa za msingi
Hivyo Kwa kuzungumza mafungu hayo Masihi halisi Bado hajaja duniani
Karibuni tujadili tukitoa ushahidi kupitia maandiko
Niwatakie Jumapili njema
Wadau hamjamboni nyote
Mada imezingatia ushahidi wa kimaandiko hivyo natarajia wachangiaji waje pia na ushahidi husika
Nàam kwa mujibu wa maandiko Masihi mtarajiwa anatakiwa atokane na uzao wa Mfalme Daudi kupitia mwanae Suleimani (Soma kitabu cha 2 Samuel 7 pamoja na kitabu cha 1 Chronicles 17:11-14, 22:9-10, and 28:4-6)
Hata kitabu cha Luka 3:31 kinathibitisha pia huyo Masihi aliyekuja duniani alitokana na uzao wa Nathan na siyo Suleimani hivyo kukosa sifa za msingi
Hivyo Kwa kuzungumza mafungu hayo Masihi halisi Bado hajaja duniani
Karibuni tujadili tukitoa ushahidi kupitia maandiko
Niwatakie Jumapili njema