wayahudi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Wayahudi wa Ethiopia (Beta Israel): Je, ndio Waisraeli wa mwanzo?

    wanajulikana kama Wayahudi wa Ethiopia, ni jamii ya kale iliyodumisha imani ya Kiyahudi kwa karne nyingi katika maeneo ya kaskazini mwa Ethiopia. Je, hawa ndio Waisraeli wa mwanzo? Kihistoria, Beta Israel waliishi katika maeneo ya Gondar na Tigray. Kwa muda mrefu walikuwa wametengwa na jamii...
  2. MakinikiA

    JamiiForums Tanzania Kwa nini Wayahudi wanakiburi sana,wao hawafuati sheria za Kimataifa

    Habari wandugu Tukiwa tumemka salama huku tukisubiri mlejesho wa kikao kutoka Pakistan,nimeona kila mtu akishuka kwenye ndege na makablasha kwapani kila upande umesheheni security expert maalumu wa ku negotiate. Je umewahi kujiuliza kwa nini hawa wayahudi huwa hawafuati utaratibu wa dunia...
  3. HOST NOT FOUND

    JamiiForums Tanzania Anavyosema Ndugu Edward kuhusu Wayahudi

    Kwenu wana JF "We kumbe unacheza na Wayahudi ww. Labda Netanyahu ndio ampeleke Trump kuzimu lakini sio Trump kumpeleka Netanyahu kuzimu. Hv unajua kua wale Wayahudi waishio Marekani🇺🇸 ndio waliomuwezesha Trump kurud madarakani na kua hayo wameyafanya kwa maslahi yao? Hv unajua kua wale...
  4. Setfree

    JamiiForums Tanzania Rais Donald Trump atoa ujumbe mzito kwa Wayahudi!

    “To our wonderful Jewish American community and to Jews celebrating in Israel and around the world this week, I want to wish you a very happy Passover.” “This week we recall this ancient proof of God's faithfulness and are reminded that with true faith, eternal hope, and the power of prayer...
  5. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania PASSOVER (Wayahudi) VS PASAKA (Wakristo) VS Kutokula Nyama

    Mungu akubariki katika tafakari ya mateso ya Bwana wetu Yesu Kristo siku ya Leo. - Yesu Kristo aliikuta Pasaka. Tunaona kwenye Biblia kuwa Mipango ya kumkamata na Kumuua ilipangwa kipind cha majirio ya Passover. Marko 14:1-2 "1 Baada ya siku mbili ilikuwa sikukuu ya Pasaka, na mikate...
  6. Chizi Maarifer

    JamiiForums Tanzania Kwa nini Hitler aliwachukia sana Wayahudi na kuwauwa kiasi kile?

    Mzuka wana jamvi ...? Mpaka Leo najiuliza mwanadamu inakuwaje mpaka unapata ghazabu za kutaka kuua Jamii nzima na kuwafuta mbali kabisa bila kujali mtoto , Mzee , kijana , Mwanamke nk ? Inaelekea Hilter Kuna jambo Wayahudi walimfanyia mpaka kuwa na moyo huo je , ni jambo lipi ? Na hakuona...
  7. Mi mi

    JamiiForums Tanzania Marekani ni silaha na walioshika silaha ni Israel na Wayahudi, bunge la ulaya wacharukiana

    Mbunge katika bunge la ulaya kaibua hoja kuwa taifa la Marekani ni silaha na walioshika silaha hiyo ni Israel na Wayahudi kauli hiyo imezua mtafaruko katika bunge la ulaya. “Marekani ni bunduki, Wayahudi wanaishika”: Machafuko katika Umoja wa Ulaya huku Mbunge wa Ulaya akituhumiwa kwa chuki...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Je, unajua wayahudi wamechangia pakubwa maendeleo ya technolojia urusi?

    Kumbe sio usa tu pekee imesaidiwa na wayahudi katika maendeleo ya tecnolojia hata urusi pia ambayo tunaaminishwa itasaidia iran imesaidia pakubwa sana na wayahudi katika maendeleo ya tecnolojia hapa kuna list ya wanasayansi wakubwa wa urusi wenye asili ya kiyahudi na gunduzi zao 1. Andrei...
  9. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Wayahudi mara nyingi hawawezi kukuacha adui yao ukaingia kaburini kwa amani. Lazima wakuue. Hiyo ni Kanuni ya Mfalme Daudi

    WAYAHUDI MARA NYINGI HAWAWEZI KUKUACHA ADUI YAO UKAINGIA KABURINI KWA AMANI. LAZIMA WAKUUE. HIYO NI KANUNI YA MFALME DAUDI. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli 1. Moja ya Kanuni za Wayahudi walizorithi kwa wazee wao. Ni auae kwa upanga sharti afe kwa upanga. Jino kwa jino ni kanuni ya kiyahudi...
  10. Stuxnet

    JamiiForums Tanzania Israel ni nchi ya Wayahudi, soma Hesabu 34:1-15

    Katika Hesabu 34:1-15, Mungu anampa Musa maelekezo mahususi kuhusu mipaka ya Nchi ya Ahadi (Kanaani) ambayo Waisraeli walipaswa kuimiliki. Mipaka hiyo imegawanywa katika pande nne kuu: Kusini: Huanzia Bahari ya Chumvi, kupita jangwa la Zini hadi kijito cha Misri na kuishia Bahari ya Kati...
  11. bahati93

    JamiiForums Tanzania Wanazi juu ya Russia na Wayahudi

    Nawaza tu kwa sauti, msije sema mimi mnazi ila kwa yanayoendelea kipindi hiki huko Iran na Ukraine. Naweza sema Manazi wa Germany walikuwa mbele sana ya muda. Haya majitu mawili hapa Duniani Israel na Russia yamekuwa mwiba mkali sana kwa wapenda Haki, uovu wao hadharani umechoma Mioyo ya wengi...
  12. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Wayahudi Hawakuogopa Kumuua Yesu Kristo Mtoto wa Mungu Wataogopa Kumuua Khamenei?

    https://youtu.be/II2yPs0OKOs?si=-69y8t4mAwPS6JVN
  13. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Wayahudi Waliohifadhiwa Msikiti Mkuu wa Paris Vita Kuu Vya Pili Vya Dunia Wasiuliwe na Hitler

    https://youtu.be/Z1r0OuKrUN8
  14. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Wayahudi Waliohifadhiwa Ndani ya Msikiti Mkuu wa Paris Vita Kuu Vya Pili

    https://youtu.be/Z1r0OuKrUN8?si=vmE4Ph5dSZivJ_JO
  15. 6 Pack

    JamiiForums Tanzania Trump kawadhalilisha wayahudi wa Tandale

    Niaje waungwana Mimi ni miongoni mwa watu wachache wenye uwezo wa kuongea ukweli, hata kama ukweli huo utakubaliwa na wachache na kukataliwa na wengi. Kwa wakongwe wa jukwaa hili la mambo ya kimataifa haswa kuhusu mambo ya Iran, Israel, Marekani nk nafikiri mnanifahamu vizuri kwenye uchambuzi...
  16. M

    JamiiForums Tanzania Wayahudi ndio watu wanaoongoza kwa ukaidi hapa duniani licha ya kuwa Mungu alishawabainishia hoja zilizo wazi kabisa. Walimdai Musa awaoneshe Mungu

    Mayahudi ni moja ya jamii ya watu waliofadhiliwa sana na Mungu huko zamani kwasababu walipelekewa mitume mingi sana ila wengi wao waliwakanusha na hata kufikia kuwaua. Wakati Mtume Muhammad (sala na amani ziwe juu yake) alipohamia katika mji wa Madinah kutoka makkah alikuta jamii kubwa sana ya...
  17. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania Kibra ya Kwanza ni Yerusalem kwa Wayahudi na Wakristo - Quran

    Neno Hijra maana yake ni Kuhama au kuondoka sehemu moja na kwenda nyingine. Hijra ya Mtume Muhammad ya kutoka Makka kwenda Madina Ilitokea mwaka 622 BK. Mtume Muhammad alianza Uislamu Mwaka 610 BK. Akiwa na umri wa miaka 40 Huu ndio mwaka Wahyi wa kwanza ulimshukia Tukio lilitokea pangoni...
  18. Echolima1

    JamiiForums Tanzania Leo ni Siku ya Kimataifa ya Kumbukumbu ya Mauaji ya Kimbari ya Wayahudi

    Waziri wa Mambo ya Nje Gideon Sa'ar Atoa Hotuba katika Sherehe ya Kimataifa ya Kumbukumbu ya Mauaji ya Kimbari huko Astana, Kazakhstan Waziri wa Mambo ya Nje wa Kazakhstan Yermek Kosherbayev pia ametoa hotuba. Hotuba Kamili ya Waziri Sa'ar: "Ninasimama hapa kama mwakilishi wa Wayahudi...
  19. loose Nut

    JamiiForums Tanzania Wayahudi wapokelewa kwa shangwe Somali Land

    Jopo la wayahudi walioalikwa kuzuru wapokelewa kwa shangwe na Nderemo katika mji mkuu wa Somali Land Hargeisa kwa shangwe na Nderemo huku bendera za taifa teule na Somali Land zikipeperushwa kwa furaha. Kitendo hicho cha kushangaza kimeikasirisha wasomali wengi na ulimwengu wa Uislamu. Somali...
  20. blogger

    JamiiForums Tanzania Kwani Wayahudi waliikosea nini Dunia!.?

    Hawa Wayahudi aka Jews waliuawa sana na Hitler. Mamia elfuu.... Wapalestina wanaua Wayahudi mpaka Leo. Jana wameuawa huko Australia, Yani Baba na Mtoto wake wamevamia sherehe zao na kuuwa 15 wamekufa. Shida ni nini. Kabila hili la Yesu Kristo.? Tafadhali
Back
Top Bottom