Uadui Kati ya Myahudi na mpalestina / mwarabu ulitengezwa na Mungu mwenyewe hivyo atamaliza mwenyewe kwa sababu hatukumjua Mungu kupitia Yesu kristo

ZALEMDA

JF-Expert Member
Aug 15, 2017
1,647
1,885
Mungu aliamua kuwapa wayahudi nchi ya Kanani ufalme wenye nchi zaidi ya Tano baada ya kuwa wenyeji wa nchi Ile walikuwa wakiabudu mizimu.

Pale ilitengenezwa uadui mkubwa na hasa kosa la Wana Israel waliambiwa na Mungu kuwa wawafutie mbali Yale makabila yenye kuabudu miungu mingine .

Mungu aliamua kumaliza uadui ule kwa kumleta Yesu kristo Kuja kuwapatanisha Mungu na mwanadamu kwa kuhubiri upendo kwa wote .

Ni bahati mbaya kwamba Mwanadamu hajaweza kumwamini Yesu kristo kuwa ni mwana wa Mungu!! Yesu ni mfalme wa amani na ndiyo Maana alihubiri kusamehe Saba mara sabini. Mpalestina na mwarabu wamegoma kukubali kuwa Yesu ni mfalme wa amani lakini pia kuna Wayahudi wamegoma kukubali kuwa Yesu ni mfalme wa amani. Mwisho wake ni vita kule na kule Kati ya mataifa na makabila .

Kwa sababu mwanadamu amegoma kukubali kuwa Yesu kristo ni mfalme wa amani basi Mungu ndiye ataamua ugomvi kwa kumleta Yesu mara ya Pili.

Akili za mwanadamu ni shiida mpaka MUNGU akajuta kumuumba
 
Actually ilitengenezwa na serikali ya Uingereza wakati wa vita ya pili ya dunia. Wali recruit waarabu na wayahudi kupigana upande wao wakiwaahidi kila upande kupata nchi kwenye eneo moja.

Kosa kubwa la palestina lilikuwa kususa ule mgawanyo ulipendekezwa na umoja wa mataifa kwa kudamganywa na mataifa mengine ya kiarabu.

Wangekubali kuchukua kile walichopewa angalau leo hio wangekuwa na nchi yao huru.
 
Mungu aliamua kuwapa wayahudi nchi ya Kanani ufalme wenye nchi zaidi ya Tano baada ya kuwa wenyeji wa nchi Ile walikuwa wakiabudu mizimu.
Ni kweli
Mungu aliamua kumaliza uadui ule kwa kumleta Yesu kristo Kuja kuwapatanisha Mungu na mwanadamu kwa kuhubiri upendo kwa wote .
Nikweli
Kwa sababu mwanadamu amegoma kukubari kuwa Yesu kristo ni mfalme wa amani
Sio wanadamu wamegoma, ni shetani ndiye ameingia hapo kati kumfanya mwanadamu agome kumpokea Masiya, na ndio waliomsulubisha!.
basi Mungu ndiye ataamua ugomvi kwa kumleta Yesu mara ya Pili.
Mkuu ZALEMDA , Mungu aliisha amaua pale alipomtuma Mwanaye Mpendwa wake anayependezwa naye. Baada ya kuja na kukataliwa, atakapo kuja kwa mara ya pili ni kuwahukumu tuu wazima na wafu, na ufalme wake hautakuwa na mwisho!.

P
 
Actually ilitengenezwa na serikali ya Uingereza wakati wa vita ya pili ya dunia. Wali recruit waarabu na wayahudi kupigana upande wao wakiwaahidi kila upande kupata nchi kwenye eneo moja.

Kosa kubwa la palestina lilikuwa kususa ule mgawanyo ulipendekezwa na umoja wa mataifa kwa kudamganywa na mataifa mengine ya kiarabu.

Wangekubali kuchukua kile walichopewa angalau leo hio wangekuwa na nchi yao huru.
Sio kweli, mbona Bado kila mwaka Israel inajitanua na kujenga makazi mapya kwenye ardhi ya Palestine?? Meaning hata peacetime bado Israel anajitanua with or without war.
 
Mungu aliamua kuwapa wayahudi nchi ya Kanani ufalme wenye nchi zaidi ya Tano baada ya kuwa wenyeji wa nchi Ile walikuwa wakiabudu mizimu.
Pale ilitengenezwa uadui mkubwa na hasa kosa la Wana Israel waliambiwa na Mungu kuwa wawafutie mbali Yale makabila yenye kuabudu miungu mingine .

Mungu aliamua kumaliza uadui ule kwa kumleta Yesu kristo Kuja kuwapatanisha Mungu na mwanadamu kwa kuhubiri upendo kwa wote .

Ni bahati mbaya kwamba Mwanadamu hajaweza kumwamini Yesu kristo kuwa ni mwana wa Mungu!! Yesu ni mfalme wa amani na ndiyo Maana alihubiri kusamehe Saba mara sabini.mpalestina na mwarabu wamegoma kukubari kuwa Yesu ni mfalme wa amani .lakini pia Kuna wayahudi wamegoma kukubari kuwa Yesu ni mfalme wa amani .Mwisho wake ni vita kule na kule Kati ya mataifa na makabila .

Kwa sababu mwanadamu amegoma kukubari kuwa Yesu kristo ni mfalme wa amani basi Mungu ndiye ataamua ugomvi kwa kumleta Yesu mara ya Pili.

Akili za mwanadamu ni shiida mpaka MUNGU akajuta kumuumba
Hadithi yako ni nyepesi mno.
 
Mungu aliamua kuwapa wayahudi nchi ya Kanani ufalme wenye nchi zaidi ya Tano baada ya kuwa wenyeji wa nchi Ile walikuwa wakiabudu mizimu.
Pale ilitengenezwa uadui mkubwa na hasa kosa la Wana Israel waliambiwa na Mungu kuwa wawafutie mbali Yale makabila yenye kuabudu miungu mingine .

Mungu aliamua kumaliza uadui ule kwa kumleta Yesu kristo Kuja kuwapatanisha Mungu na mwanadamu kwa kuhubiri upendo kwa wote .

Ni bahati mbaya kwamba Mwanadamu hajaweza kumwamini Yesu kristo kuwa ni mwana wa Mungu!! Yesu ni mfalme wa amani na ndiyo Maana alihubiri kusamehe Saba mara sabini.mpalestina na mwarabu wamegoma kukubari kuwa Yesu ni mfalme wa amani .lakini pia Kuna wayahudi wamegoma kukubari kuwa Yesu ni mfalme wa amani .Mwisho wake ni vita kule na kule Kati ya mataifa na makabila .

Kwa sababu mwanadamu amegoma kukubari kuwa Yesu kristo ni mfalme wa amani basi Mungu ndiye ataamua ugomvi kwa kumleta Yesu mara ya Pili.

Akili za mwanadamu ni shiida mpaka MUNGU akajuta kumuumba
Nadharia ya Mungu na uwepo wake unafikirisha sana
 
sasa huyo yesu wa waisrael wayahudi anahusika vipi huku kwetu sisi wadigo wa moro,kwanza story hiyo umeipata wapi? kama umeipata kwenye biblia biblia imeandikwa na nani? wanaozungumzwa mle ni wayahudi sasa na wewe muha unaishobokea nini hiyo biblia
 
Masuala ya dini ni siasa nyingine chafu na yenye nguvu ktk eneo hilo. Chanzo cha huo mgogoro ni kukua kwa mifumo ya unyonyaji toka utumwa,Ukabaila na sasa Ubepari ngazi Imperialism na globalization ya magharibi
 
Mungu aliamua kuwapa wayahudi nchi ya Kanani ufalme wenye nchi zaidi ya Tano baada ya kuwa wenyeji wa nchi Ile walikuwa wakiabudu mizimu.

Pale ilitengenezwa uadui mkubwa na hasa kosa la Wana Israel waliambiwa na Mungu kuwa wawafutie mbali Yale makabila yenye kuabudu miungu mingine .

Mungu aliamua kumaliza uadui ule kwa kumleta Yesu kristo Kuja kuwapatanisha Mungu na mwanadamu kwa kuhubiri upendo kwa wote .

Ni bahati mbaya kwamba Mwanadamu hajaweza kumwamini Yesu kristo kuwa ni mwana wa Mungu!! Yesu ni mfalme wa amani na ndiyo Maana alihubiri kusamehe Saba mara sabini. Mpalestina na mwarabu wamegoma kukubali kuwa Yesu ni mfalme wa amani lakini pia kuna Wayahudi wamegoma kukubali kuwa Yesu ni mfalme wa amani. Mwisho wake ni vita kule na kule Kati ya mataifa na makabila .

Kwa sababu mwanadamu amegoma kukubali kuwa Yesu kristo ni mfalme wa amani basi Mungu ndiye ataamua ugomvi kwa kumleta Yesu mara ya Pili.

Akili za mwanadamu ni shiida mpaka MUNGU akajuta kumuumba
Kwanini Mungu aliumba watu wajinga wengi na werevu wachache ni kwasababu kila mtu ana dajibu wake katika kulisongesha hili gurudumu.
 
Ila wayahudi Wana historia ngumu sana tangu enzi na enzi, jamii nyingi sana na madola makubwa ya enzi hIzo yaliwanyanyasa sana na ndio chanzo Hawa watu kuwa wamesambaa sana duniani, ila mi siamini km Mungu anainfluence mambo ya kisiasa au kijamii HP duniani, naamin kazi yake ya uumbaji alishamaliza na Sasa ni nature inafanya kazi yake
 
sasa huyo yesu wa waisrael wayahudi anahusika vipi huku kwetu sisi wadigo wa moro,kwanza story hiyo umeipata wapi? kama umeipata kwenye biblia biblia imeandikwa na nani? wanaozungumzwa mle ni wayahudi sasa na wewe muha unaishobokea nini hiyo biblia
Kwani kujadili historia za jamii zingine Kuna ubaya Gani?
 
Mungu aliamua kuwapa wayahudi nchi ya Kanani ufalme wenye nchi zaidi ya Tano baada ya kuwa wenyeji wa nchi Ile walikuwa wakiabudu mizimu.

Pale ilitengenezwa uadui mkubwa na hasa kosa la Wana Israel waliambiwa na Mungu kuwa wawafutie mbali Yale makabila yenye kuabudu miungu mingine .

Mungu aliamua kumaliza uadui ule kwa kumleta Yesu kristo Kuja kuwapatanisha Mungu na mwanadamu kwa kuhubiri upendo kwa wote .

Ni bahati mbaya kwamba Mwanadamu hajaweza kumwamini Yesu kristo kuwa ni mwana wa Mungu!! Yesu ni mfalme wa amani na ndiyo Maana alihubiri kusamehe Saba mara sabini. Mpalestina na mwarabu wamegoma kukubali kuwa Yesu ni mfalme wa amani lakini pia kuna Wayahudi wamegoma kukubali kuwa Yesu ni mfalme wa amani. Mwisho wake ni vita kule na kule Kati ya mataifa na makabila .

Kwa sababu mwanadamu amegoma kukubali kuwa Yesu kristo ni mfalme wa amani basi Mungu ndiye ataamua ugomvi kwa kumleta Yesu mara ya Pili.

Akili za mwanadamu ni shiida mpaka MUNGU akajuta kumuumba
Huu upumbavu sijui mtaachana nao lini. Hivi Mungu akiwaambia Wakenya waje Tanzania na kutuua wote utakubali kuuwawa? Ni kweli biblia iliandika kwamba Yoshua alikuwa akiua watu na kuteketeza kila kitu kwenye miji aliyokuwa akipita. Je, Mungu alikuwa katili kiasi gani hadi kuruhusu watoto wadogo wauwawe? Watoto pia walikuwa wanaabudu mizimu? Kwanini hakuwaua waisrael wote jangwani walipoamua kuabudu sanamu? Double standard? Tusome biblia ila kuna mambo mengine tutumie akili kwasababu yalikuwa yanawahusu waisrael peke yao.
 
Nadhan pia kosa kubwa ni kuwa wapalestina hawakushirikishwa 1947 wakati wayahudi wengi walishiriki Moja kwa Moja kupitia ushawishi wao kwe mataifa makubwa, hii pia ipo hadi Leo hawashirikishwi na hawawez kukubali au kukataa chochote mpk regional powers waafiki na hzo regional powers nao Zina interest tofauti, misri hawez kukubali muafaka wowote ambao hatonufaika nao ht km wapalestina wataukubali, turkey,Iran hvyohvyo . Hata hii siege ya Israel dhidi ya Gaza isingewezekana bila misri, Sasa za eneo lile zimebadilika sn na uislamu pekee Sasa sio sababu Tena inayodetermine umoja wa majiran dhidi ya Israeli but kila jiran Sasa ana geopolitical interests zake
 
Hadi hii vita inaisha tutakuwa na manabii wengi Sana Tanzania
Haya yanayotokea kati ya Isreal na Palestina, yapo kwenye Biblia kwenye vitabu vya unabii vya Daniel na Ufunuo.; na mataifa haya ndiyo yanayotegemewa sana na wakristo kwa kudhihirsha dalili ambazo ni bayana kwa mwisho wa dunia na kurudi kwa Yesu
Sisi wengine tunaona kuwa haya ni mtaukio ya vita vya kawaida tu, iila kwa wakristo siyo!

Jaribu kufuatilia mafundisho yaliyopo youtube ya Mch Mosses Maghembe


Huyu ni Mchungaji aliyekuwa Daktari mahiri wa binadamu, aliamua kuacha udaktari na kuingia kwenye ucungaji
 
Back
Top Bottom