Ahmad Abdurahman
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,247
- 6,268
Ndugu mwandishi, tumia sekunde moja tu ku-imagine ww ndo Nusrat alafu uko unasota jela mtu ajitokeze tu akwambie.."chagua moja..ukubali kuwa mbunge wa viti maalumu au uozee jela kwa miaka mitano hii". Unachagua nn ndugu mwandishi?