Makerubi Mushi
Senior Member
- Oct 14, 2018
- 115
- 97
Shida ni tr 2 za EU ndiyo maana wanatumia uongo mkubwa kudanganya watu kupitia Bunge na Nec. Kweii chadema wapeeke jina mtu yupo mahabusu na wamshauri DPP amwachie, uongo mwingine wa ajabu. Mahera anadai Nov 19 chadema wamepeeka majina kesho yake Azam Tv anaripotiwa kuwa hajapokea majina toka CDM, uongo wa ajabu kabisa. Wameshikwa pabaya hizo pesa za EU hawapati mabeberu siyo wajinga kihivyo.