ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,062
- 6,197
Mahakama ipi kwenye mfumo huu huu unaozidi kujigalagaza chini ya Mungu mtu? Wewe ndio nadhani hauko serious.Hauko serious! Kulalamika ndio ujuacho! Kama unao ushahidi lete mahakamani! Vinginevyo acha utoto! Si umeona wenye ukweli wamewahi kuingia bungeni maana wanajua mapichapicha yaliyochezeshwa!