Torque vs HP
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,769
- 5,070
Chato boys/girls tulieni hivyo hivyo.Muache Mama ajiharibie tupate sababu ya kuweka Mgombea Urais mwingine kupitia CCM 2025!
Chato boys/girls tulieni hivyo hivyo.Muache Mama ajiharibie tupate sababu ya kuweka Mgombea Urais mwingine kupitia CCM 2025!
Muda huo wanapiga hatua nyie mnakua wapi?Mama anakumbatia sana Kenya , ki ukweli hao ni mabeberu wa East Africa wanataka kupiga hatua kupitia mgongo wetu...
Ni matokeo ya Siasa za Ujamaa za kijinga ambazo zimetuletea Umasikini wa kutupwa.Sasa mnalia lia nini?Si ni CCM imeshindwa kuifanya Tz itambe mbele ya Kenya kibiashara tangu Uhuru mpk leo?
Muda huo wanapiga hatua nyie mnakua wapi?
Tumezoea kulia lia,kuogopa ogopa
kuuza maji Kenya Mtanzania ataweza ila kufanya la maana, sidhani!
hivi marais wa Tanzania hawajifunzi kwa Mwl. Nyerere na swala zima la E.A.C?
labda viongozi wa sasa hivi wamejipanga vizuri, ngoja tuone!
Naam mke wangu, endelea kuhorojoka nakusikiliza.Ukweli umeshaupata , the rest unazidi kudhihirisha upoyoyo wako...
kama namuona Rutto, maana huyu jamaa hapendi TanzaniaViongozi wa sasa hamna kitu.. Kenyan are not true friends to us.
Utashangaa baadhi ya Watz wenzetu wanashabikia eti Rais Uhuru Kenyatta karuhusu wawekezaji kutoka Tz oooh karuhusu Watz kufanya kazi Kenya na mambo kibao.Kama huwajui Wakenya nyamaza, tuongee siye tuliowahi kukaa na kusoma Kenya .Wale watu ni wabaguzi hatari hawafai hawafai
Ndo weweNajua Mtanikumbuka Si Kwa Mabaya Lakini Kwa Mazuri. Maneno Matamu Sitayasema Mimi Kwenye Serikali Yangu Ni Makavu
JPM
Hilo ndiyo tatizo la matajiri wa kibongoRostam anataka yeye ndio ashikilie Soko sisi Wananchi wa Tanzania tunasema NO
Matajiri wengi wakija kuwekeza kwanza ajira zitapatikana kwa wingi
Halafu mfumuko wa bei utapungua na itakuwa ni WIN WIN kwa sisi walaji
Ewe nyumbu, umeelewa kweli alichosema Rostam?Rostam anataka yeye ndio ashikilie Soko sisi Wananchi wa Tanzania tunasema NO
Matajiri wengi wakija kuwekeza kwanza ajira zitapatikana kwa wingi
Halafu mfumuko wa bei utapungua na itakuwa ni WIN WIN kwa sisi walaji