Rostam Aziz: Ni ngumu kwa Mtanzania kuwekeza Kenya

Hilo ndiyo tatizo la matajiri wa kibongo
Wanataka wao ndiyo wacontrol pekee yao

Ova
Anawaogopa wale Waisrael wa H Young wa Nairobi huyo Caspian yake aliyowajaza Wabulushi ndio ibaki bila ya ushindani
 
Kumbuka nilikuwa nae CCM huyo kabla sijahamia Chadema alikuwa kijana mpole mjenga hoja na mwenye facts sasa tokea Shujaa wa Mazezeta atuache ghafla jamaa amekuwa kama Mama wa Kizaramo yeye ni kuporomisha matusi tu.
Duh..kumbe ushawahi kuwa mccm?? Mnawezaje jamani? Au ulikua una maslahi mzee baba!!
 
Alichosema Rostam ni kitu chema sana ameweka wazi kila kitu, thats means serekali ya kenya inatakiwa kufanyia kazi haraka sana tena mara moja, hawa majirani wako sana obsessive na wazungu wao ndio wanaona watu wa maana sana.

Kwa sasa itawabidi watoke huko na wajirekebishe kama kweli wana dhamira ya kweli unless otherwise wawekezaji wetu wakisumbuliwa the all job shall be useless, rais wetu ni vema akawa anafuatilia hili.
 
Mfanya biashara billionea wa Tanzania bwana Rostam Aziz leo akizungumza kwenye kongamano la wafanyabiashara kati ya Tanzania na Kenya kwenye ziara ya rais Samia amesema mazingira ya uwekezaji kati ya hizi nchi mbili hayako sawa....
Kumchukia tajiri haikufanyi wewe uondokane na umaskini, yani watz tuna mengi ya kujifunz kutoka Kenya wenzetu wako mbali mno japo watz hatupendi kukubali ukwel huu.

Tunahitaji mabadiliko ya kimfumo haraka iwezekanavyo kama taifa tupige hatua la sivyo tutakua tunapiga mark time kila term.
 
Mlisema Miye Mpole Dawa Ni Kuleta Mkali
Naondoka Miye Nawaachia Chuma Hiki
Na Sasa Kimeanza Kutema Che~~Che
Pale Nilipochoka Miye Yeye Atakwenda Kwa Kasi
Nakwenda Msonga Nitalala Usingizi Mzuri

JK 😁😁😀😀😂😂😃😃😅😅😆😆😇😇🍸
Huyu ndie chanzo kiku
 
Mfanya biashara billionea wa Tanzania bwana Rostam Aziz leo akizungumza kwenye kongamano la wafanyabiashara kati ya Tanzania na Kenya kwenye ziara ya rais Samia amesema mazingira ya uwekezaji kati ya hizi nchi mbili hayako sawa...
Nakubaliana na wewe
 
We fikiria wao wenyewe mpaka sasa wanabaguana kwa ukabila! Kazi wanapeana kikabila, biashara kwa kabila lao; iweje leo wakukubali wewe mbongo? Sote tunajua wakenya wanacyowachukia watanzania. Time will tell!
 
Kumchukia tajiri haikufanyi wewe uondokane na umaskini, yani watz tuna mengi ya kujifunz kutoka Kenya wenzetu wako mbali mno japo watz hatupendi kukubali ukwel huu...
Tunahitaji mabadiliko ya kimfumo haraka iwezekanavyo kama taifa tupige hatua la sivyo tutakua tunapiga mark time kila term ..
Umeelewa lakini anachosema Rostam?
 
Samia akicheka na nyani atavuna mabua.

Samia asipende sifa za kijinga kutoka kwa watu hasa wapinzani...
Mbona mnateseka sana?!!awamu ya tano imeishaisha hii ni awamu ya sita!!yaani kazi ipo kweli ni kitu cha kuuliza eti nchi ilikuwa imefungwa?kiuchumi!!

Mlizoea hizo data za kupika?meko amelitia taifa hili hasara kiasi gani ambazo hata kilichofanyika hakionekani?si bora hata jk hilo bomba lipo na linafanya kazi kwa kiwango hicho?kuna hata siku moja wapinzani walishawahi shika nchi hii, hayo mauozo yote si ni CCM?

Mama hataki siasa hizo za chuki za kujiona kuwa mpinzani ni adui wa nchi hii, ambazo mlikuwa mmejazwa na huyo MPIGAJI NAMBA MOJA(Eti shujaa wa Afrika)muzee wa MA LEGASI!!anakwambia eti serikali hainaga hasara!!!
 
Hahah huyo rostam mwenyewe alikimbia nchi,Co. Yake ya Caspian inajua cha moto ilichokipata.

Jiwe sio wa mchezo mchezo.
Kama hujui kitu kaa kimya!!yule jamaa achana naye, kuna deal lolote liliofanyika nchi hii kipindi cha nyuma bila kumhusisha yeye?mbona meko alipoingia madarakani hukuona hata kukamatwa tu?

Yule mdogo wake alipokamatwa na nyara za serikali pamoja na mabunduki ya kuwindia akapewa kesi ya uhujumu uchumi , baada ya jamaa kuja kuonana na meko, kesi ikaishia pale pale, na tenda kubwa kubwa zote za serikali hadi sasa ndio anazo jamaa!!
 
watu wanashindwa kuelewa wafanya biashara wakubwa kenya ni wanasiasa, hivyo basi akitokea mfanya biashara anataka kuuza bidhaa inayofana na mwanasiasa hapewi kibali. mfano VP wa kenya ndio anauza mahindi kenya, kenyatta mwenyewe anasibdika maziwa
 
19 Reactions
Reply
Back
Top Bottom