Utamsaidiaje Mtikila mtu ambaye aliwahi kumtukana hata muasisi wa CCM Mwalimu Nyerere? Hapa kuna jambo. Inaelekea kuna watu ambapo wako kwenye payroll ya fisadi RA wanachukua mabulungutu kila wakiwa na shida na wakati huo huo kujionyesha kwamba wanaisagia CCM na viongozi wake hasa kuhusiana na ufisadi.
Ndio nilikufahamisheni Siasa za kupandiliana migongo sio siasa wala umahili.Na siasa za namna hii nyingi ni za staili ya encapsulation yani kutumia mgongo huo kujipatia umaarufu ama una owasakama wakupoze kwa vi m kadhaa.