Rostam aibukia kanisani!

Rostam aibukia kanisani!

Striker.. unajifanya duni sana kwa kumlaumu mtu aliyekufa! mbona wengine tumeamka tumshukuru nani marehemu? kila mtu abebe mzigo wake mwenyewe! Usishangae hao waliomshangilia RA wengi wamekulia miaka hii ya tisini na 2000 hawakumbuki hata utawala wa Nyerere ulioisha mwaka 1985!
 
Nyerere hawezi kuepuka lawama juu ya hili, alidumaza mwamko wa watanzania kiasa, ndiyo maana tunachezewa na mafisadi kiasi hiki bila hata kung'amua kiwango cha dhihaka hii.

Vipi kama ali crack down on mwamko ili kujenge stability iliyokuwa haipatikani Africa wakati huo.

Ina make sense?
 
Vipi kama ali crack down on mwamko ili kujenge stability iliyokuwa haipatikani Africa wakati huo.

Ina make sense?

There are inviolable principles such as democracy and the rule of law, these cannot be violated in the style of "the end justifies the means" otherwise ukishaanza ku-compromise hizi principles unaweza hata kumsamehe Stalin baada ya kuelewa undani wa "The Archipelago Gulag".
 
There are inviolable principles such as democracy and the rule of law, these cannot be violated in the style of "the end justifies the means" otherwise ukishaanza ku-compromise hizi principles unaweza hata kumsamehe Stalin baada ya kuelewa undani wa "The Archipelago Gulag".
... hii inanikumbusha jinsi ulivyogoma kuhalalisha kujiuzulu kwa Lowassa baada ya Mwakyembe na kamati yake kuonekana hawakumhoji Lowassa katika sakata la Richmond.

... but if i'm not mistaken, katika hilo swala ulisema the "the end justified the means" and now i wonder whether that was an endorsement or rejection of the entire saga..
 
... hii inanikumbusha jinsi ulivyogoma kuhalalisha kujiuzulu kwa Lowassa baada ya Mwakyembe na kamati yake kuonekana hawakumhoji Lowassa katika sakata la Richmond.

... but if i'm not mistaken, katika hilo swala ulisema the "the end justified the means" and now i wonder whether that was an endorsement or rejection of the entire saga..

Sijui context ya huo mjadala lakini napenda sana watu wanaokumbuka nani kasema nini wiki iliyopita, na jana, na mwezi ulipita.

Safi sana!
 
Hivi Katika Hii Vita Dhidi Ya Ufisadi Wazee Wa Kutkuka Akina Kawawa Wako Wapi? Manake Hatujawasikia Kabisa, Sanasana Ninamwona Kwenye Magazeti Akiwa Kwenye Sherehe Za Uhuru Wa Marekani
 
Au Hawa Wazee Wanakula Pensheni Zao Kwenye Mfuko Wa Mafisadi?
 
ndio maana... mtu anatakiwa apime kila sentensi anayoandika; na anapobadilisha maamuzi au msimamo basi awe na sababu ya kufanya hivyo.
 
... hii inanikumbusha jinsi ulivyogoma kuhalalisha kujiuzulu kwa Lowassa baada ya Mwakyembe na kamati yake kuonekana hawakumhoji Lowassa katika sakata la Richmond.

... but if i'm not mistaken, katika hilo swala ulisema the "the end justified the means" and now i wonder whether that was an endorsement or rejection of the entire saga..

Steve,

Nilisema pretty much nilichosema hapo juu, kwamba huwezi kuchukua approach ya "the end justifies the means" hata kama Lowassa ni fisadi, hutakiwi kumfanyia witchhunt isiyofuata kanuni za due process, as long as he is answerable, you have to give him a chance to present his side before penning a report.

Ndiyo maana unlike wengi hapa niliona kuna kitu amiss na kamati ya Mwakyembe kutomhoji Lowassa, sasa in retrospect tunakuja kugundua kuna mengine mengi yalifichwa "kulinda heshima ya serikali". Tatizo la kutofuata due process ni kwamba ukishaanza kwa kitu kimoja, unakosa sababu ya kukusimamisha hapo, utataka uendelee tena na tena ku violate popote pale utapoona panakufaa, utaanza kwa kutohoji watu muhimu, halafu utaacha kuripoti mengine kwa "heshima ya serikali" utafikia hata kuua watu wasio hatia na kuiba fedha benki kuu kwa ajili ya "usalama wa taifa"
 
Hivi jamani Rostum hana kazi nyingine ya kumpatia hela zaidi ya hela ya ufisadi????

Mi naona kanisa kupokea hela ni sawa tu!!
 
Wahenga walisema' "Chema chajiuza, kibaya chajitembeza'. Kama yeye ni msafi kama anavyodai, kupayuka na kujipitisha ni kwa nini?
 
Wakuu wangu, mabibi na mabwana,

RA kama nyinyi ana source zake za kupata hela kihalali. Ana/alikuwa na share Voda, kuna Caspian etc. Sasa sielewi kama kila anachotaka kutoa nyinyi mnasema ni ufisadi.

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Mmezidi kulaumu na kuzomea utafikiri wamachinga.

Fikirieni kidogo mtaelewa kuwa anazo hela halali pia.
 
Wakuu wangu, mabibi na mabwana,

RA kama nyinyi ana source zake za kupata hela kihalali. Ana/alikuwa na share Voda, kuna Caspian etc. Sasa sielewi kama kila anachotaka kutoa nyinyi mnasema ni ufisadi.

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Mmezidi kulaumu na kuzomea utafikiri wamachinga.

Fikirieni kidogo mtaelewa kuwa anazo hela halali pia.



wacha kabisa!!!!!! yaani kama jambazi akaipata pesa kwa wizi na akaamua kuacha wizi na zile pesa akazifanyia biashara mbalimbali, je hizo biashara ni halali?
 
wacha kabisa!!!!!! yaani kama jambazi akaipata pesa kwa wizi na akaamua kuacha wizi na zile pesa akazifanyia biashara mbalimbali, je hizo biashara ni halali?

DUH! mmmh! HAYA!

Simple Question for you: IPI ilianza, Caspian na Voda au HELA ZA EPA?

Swali dogo tu mama naomba majibu.
 
Naomba niombe watanzania wenzangu kujaribu kufikiri kidogo kabla ya kuandika.

La sivyo ile kauli ya BEN kuwa tu wavivu wa kufikiri na mbilikimo wa mawazo ITATIMIA.
 
DUH! mmmh! HAYA!

Simple Question for you: IPI ilianza, Caspian na Voda au HELA ZA EPA?

Swali dogo tu mama naomba majibu.

usidhani EPA tu ndio ufisadi Tanzania!

Ota ndoto ya Caspian na Richmond wacha hayo ya nyuma maana waweza zimia.

Huko voda kaingia bure?
 
Naomba niombe watanzania wenzangu kujaribu kufikiri kidogo kabla ya kuandika.

La sivyo ile kauli ya BEN kuwa tu wavivu wa kufikiri na mbilikimo wa mawazo ITATIMIA.

Hakuna mvivu wa kufikiri hapa, RA hajakatazwa kutamka hadharani jinsi alivyopata utajiri wake. Kama anavyanzo halali ambavyo vilimfanya apate utajiri mkubwa kiasi hicho hakuna aliyemkataza kutufahamisha Watanzania bali anahangaika huku na kule kutafuta sympathy. Huyo BEN aliyetutukana Watanzania naye usimpe kichwa ni mwizi tu na sasa hivi ameamua kuwa bubu pamoja na tuhuma chungu nzima zinazomuandama.
 
kwa kweli hilo kanisa lilipokea fedh ya rostam, ambayo ni ya wizi, watajuta. ni kama vile vipande thelathin yuda iskariote alivyomuuza navyo Bwana wa uzima, YAANI YESU, JINA KUU KUPITA YOTE
hi stori inanikumbusha kanisa moja la kule dom la anglikana ambalo lilipewa ufadhili na wale waliohalalisha ushoga kanisani, wengine wakazipinga sana kua waha taki ila mwisho wa siku walichukua na kujenga nyumba ya Bwana, Haki ya nani njaa mbaya. ndo maana wanasema Adui yako muopmbee njaa he/she will always be under your influence. njaa mbaya wajemeni.......looooo
 
Naomba niombe watanzania wenzangu kujaribu kufikiri kidogo kabla ya kuandika.

La sivyo ile kauli ya BEN kuwa tu wavivu wa kufikiri na mbilikimo wa mawazo ITATIMIA.

na wewe umo kwenye kundi hivyo fikiri mara mbili.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom