Mr. Mtikila mistake: When denouncing RA cash donation to KKT Church; at the same time he was supposed to reveal that RA borrowed him Tshs 3million. By not mentioning that cash he borrowed from RA was some sort of hiding something. I see Mtikila here did something fishy.
Inajulikana kwamba Mtikila amekua akiishambulia na kuisakama CCM kwa muda mrefu............
...........Kwa hiyo CCM wasichelewe, waanze sasa, wamhoji, maana sasa amechanyikiwa anaweweseka, atasemsa hata yasiyostahili, kama si hadharani atasema huko vichochoroni
Mtikila ni mfano tu wa tabia za wapinzani Tanzania na vyama vyao feki.Anayewaamini hawa shauri yake.
Kama kuna mtu aliweka poni nyumba yake kwa sababu ya sera za "saa ya ukombozi ni sasa" basi ajue kajiingiza hasara.na wale wanaoweka poni nyumba zao kwa sera za kuvaa magwanda ya mgambo pia wanajiingiza hasara, siku yao ya kudharirishwa hadharani inakuja.
Mtikila ni mfano tu wa tabia za wapinzani Tanzania na vyama vyao feki.Anayewaamini hawa shauri yake.
Kama kuna mtu aliweka poni nyumba yake kwa sababu ya sera za "saa ya ukombozi ni sasa" basi ajue kajiingiza hasara.na wale wanaoweka poni nyumba zao kwa sera za kuvaa magwanda ya mgambo pia wanajiingiza hasara, siku yao ya kudharirishwa hadharani inakuja.
Laiti Mtikila angelikuwa anamtetea Rostam hapo angehitajika kusema huko nyuma kakopeshwa pesa ngapi. Lakini kwasababu alikuwa anamshambulia, hakuna conflict of interest hapo.
Tena inabidi tumsifu Mtikila maana urafiki pamoja na kukopeshwa lakini bado alisimama na kuwa tayari kuhesabika akimshambulia Rostam.
Hajakosea Mtikila. Kama Rostam alimpa pesa ili asimlipue alikosea maana Bwana huyu ahongeki. Keep up Mtikila.Mtikila ni mfano tu wa tabia za wapinzani Tanzania na vyama vyao feki.Anayewaamini hawa shauri yake.
Kama kuna mtu aliweka poni nyumba yake kwa sababu ya sera za "saa ya ukombozi ni sasa" basi ajue kajiingiza hasara.na wale wanaoweka poni nyumba zao kwa sera za kuvaa magwanda ya mgambo pia wanajiingiza hasara, siku yao ya kudharirishwa hadharani inakuja.
Kama watanzania wote wangelikuwa kama Mtikila basi tusingelikuwa na matatizo. Watanzania ukifika uchaguzi wengine wanapewa kanga, vitenge, bia nk. Wakishapewa vitu hivyo wao ikifika wakati wa uchaguzi wanauza uhuru wao kwa sababu wamepewa rushwa.
Sasa Mtikila anatuonyesha kuwa hata mkipokea vitu hivyo Mtu ambaye hafai endelea kumuona hafai, mbabaishaji endelea kumuona ni mbambaishaji, fisadi endelea kumuita fisadi.
Kwa hiyo FISADI Rostamu nafikiri anaanza kufika pazuri kama alitegemea kutoa hongo kutamsaidia naona sasa ataishia kutuonyesha jinsi anavyofanya kwa baadhi ya watendaji na viongozi wetu katika kuhakikisha anahujumu taifa letu. Fisadi lazima aitwe fisadi na lazima abebe mzigo wake.
Mtikila ni Mpuzzi ..Hata akisema neno lipi hatutamuelewa,alienda kuomba Pesa?unaenda kuomba pesa kwa adui yako...Kuna Upinzani kweli??Mie nakwambia tukianza kutaja Majina kwa wale waliopo kwenye Payroll za Rostam Mtashangaa
Mtikila hajatuangusha....kama kuna dume mpaka sasa kwenye hili game ni Mtikila. Yeye amemuendea Rostam Aziz kabla ya ripoti ya Dr Mwakyembe kutoka, amekopa/amepewa Mil 3. Lakini mara baada ya ripoti ya Rostam Aziz kutoka Mtikila hakumuonea aibu kwa sababu eti alishawahi kumkopa/kumuomba Mil 3 huko nyuma. Mtikila alipogundua kuwa Rostam Aziz ni Nyani, hakumuangalia usoni; aibu wala woga Mtikila akaanza kupambana naye moja kwa moja...
Rostam mpaka sasa ametuthibitishia kuwa yeye ni FISADI kwa kugawa/kutoa/kukopesha pesa kwa wanasiasa/mashirika ya dini na wanajamii wengine huku akiwa na nia ya kuonewa aibu akiwa anatuibia Watanzania.
Bravo Mtikila, pambana nao hao kama walivyo.
Hapendwi mtu, Taifa mbele.