Rostam aibukia kanisani!

Rostam aibukia kanisani!

Bwana Yesu hakuja kwa ajili ya watenda mema, the church is open to every one!!! if they happen to leave several millions behind, tis even better. Imeandikwa, revenge is mine.... judgement too

Amen,

They are using procedural technialities though. I think they should ask Rostam for all his money and recruit him in the lords work, just as Jesus attempted with the rich man.
 
KKKT fisadi muiteni fisadi na kibaka muiteni kibaka tu, kama inamuuma kwa nini asiende mahakamani akajisafisha kama si fisadi badala yake anakimbilia kanisani?

Kanisani siyo sehemu ya siasa, angeenda kariakoo au sehemu ya wazi kuhubiri siasa na siyo kwenye nyumba za ibada.
 
Church reverend suspended over Rostam Aziz incident

THISDAY REPORTER
Dar es Salaam

The MP was one of the most prominent casualties of the committee's final report, along with ex-prime minister Edward Lowassa and ex-cabinet ministers Nazir Karamagi and Dr Ibrahim Msabaha.

How....?

Rostam bado anadunda!

Tume ya Mwakyembe haikupendeza lolote kuhusu Rostam zaidi ya kusema aadhibiwe kwa kutokujibu summons.

Alilotuambia Mwakyembe kuhusu Aziz na Richmond ni ushahidi wa Waziri Msabaha ambao Mwakyembe alikubali kuuchukua nje ya kiapo!

Mwakyembe kapewa nguvu za summons na nguvu za kuapisha watu halafu kaja na ushahidi wa watu waliokataa kuapishwa na waliokataa kujibu summons! Kwa nini hukuwalazimisha kama ulivyosema kwenye sentensi za kwanza kabisa za ripoti yako kwamba ulipewa hizo nguvu na Spika kwa mujibu wa Sheria ya Nguvu za Bunge ya mwaka 1988?

Mwakyembe na press ya Bongo bwana!
 
Mukhi Kalenge!
Umeelezea meeeeeeengi!!! Mengine nayakubali na mengine natofautiana nawe. All in all... hali iko hivi kwa sababu Uongozi wa juu waTanzania kwa sasa (especially Rais) umepwaya. Rais wetu yupo yupo tu... nchi inaendeshwa ki-swahili-swahili maneno na porojo nyiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiingi, utendaji sifuri.
 
Msimamo wangu katika hili ni kwamba Kanisa limekurupuka! Kwa kuwa hapakuwa na hoja yoyote ya kujibu....
 
Hivi kwenda kanisani mpaka ukaribishwe?

Kwenda kanisani kuwa kusali si lazima ukaribishwe ni sawa tu na kwenda msikitini kuswali. Lakini kwenda kuwa mgeni rasmi kutoa hotuba ni lazima kualikwa kama vile kwenda kutoa hutuba. Sasa Rostam alikwenda kusali au kujisafisha? Hivi Rostam kwani ni muumini wa kanisa la KKKT? Au alitaka Kwenda Kujisafisha Kifisadi Tanzania(KKKT)!

Asha
 
Hapa katika hii thread ndipo Rostam alipokerwa na baadhi ya wachangiaji... musiniulize nimejuaje
 
Hapa katika hii thread ndipo Rostam alipokerwa na baadhi ya wachangiaji... musiniulize nimejuaje

Mkuu hebu tuhabarishe, na maneno gani hayo ya wachangiaji humu yaliyomkera zaidi katika hii thread ili tupigilie msumari kwenye kidonda? Ni ya kuhoji ana ubia gani na KKKT au yale ya kutaka akatubu kwanza, au yale ya kutaka apigwe mawe kama mwizi au yapi hasa?

Asha
 
Acha kurukia usiyoyajua mkuu, haya hayakuhusu soma kama huelewi uliza mbona unanitumia maneno mengi sana kwenye PM, sasa haya imekuwaje na wewe ni mmoja wapo nini? Halafu aliyekuambia kuwa mimi ni Zitto kama unavyosema kwenye PM ni nani? Hivi leo kumepita nini hapa JF, maana sasa I am lost!
Sijawahi kukuandikia PM nikikwambia wewe ni zitto..Na naomba Invisible ulishughulikie hii la Uongo.Unang'ang'aniza hoja zako zisizo na msingi.Nmfahamu zitto ni siyo mtu wa aina yako na nakuhakikishia hata akitumia ID nyingine nitamjua kwa maneno yake.

Na kwa kuthibitisha haya..hii ni PM ambayo nilikuandikia na useme ni wapi nilipokwambi wewe ni zitto?Niliyokuandikia ni ile thread ambayo niliandika kuhusu KKKT.

Naheshimu mchango wako sana,ila wewe siyo miongoni mwao ambao ninawahusudu kwa maneno yao.Na bila kuficha..Napenda uandishi wa Mzee Mwanakijiji na nimekuwa nikimtumia PM nyingi za kutosha katika kujadili masuala mbali mbali yanahosu Nchi yetu.Hata Zitto huwa namwandikia PM

Naomba ulete hiyo PM ambayo nilikwandikia wewe ni zitto..na kama ikiwa nilikuandika wewe ni zitto niko tayari kujivua uanachama wa JF
 
Yohana Sura Ya 8:1-5

Asiye Na Dhambi Awe Wa Kwanza Kumrushia Mawe Mwanamke Huyu:?:?:?:?
 
Rostam Ni Mjinga Tu!

Rostam amepitwa na wakati na Upuuzi wake unajitokeza hadhrani na hatazuilika kuonekana kwa uhalisi ake kuanzia sasa na kuendelea.

Rostam kaishiwa na fikra timamu.... Haoni umbali zadi ya Pua yake ilipo... Kwa nini washauri wake wajinga wasimshauri akaachana na mambo yasiyo na mbele wala nyuma anayoyafanya kwa kisingizio cha kujisafisha?

Its too late...hasafishiki...The more and hader he try to do it the more it backfare...and every one get to know the true colour of the really Rostam

Wachana na kuwachanaganya waumini...si mahali salama kwako kupagusa...Uta aibika milele...ona sasa kinachokutokea..!

Rostam nyakati zako zmepita..wachana na kuhujumu waumini...!

Maneno mazito sana haya mkuu, saafi sana!
 
Mara baada ya maelezo ya Rostam kwa waandishi wa habari ambayo yatarushwa hivi punde, tutapata nafasi ya kumsikia Mchg. Christopher Mtikila akizungumza nami kuhusu madai ya Rostam.
 
Mara baada ya maelezo ya Rostam kwa waandishi wa habari ambayo yatarushwa hivi punde, tutapata nafasi ya kumsikia Mchg. Christopher Mtikila akizungumza nami kuhusu madai ya Rostam.


...Mtikila tumemshtukia anatumiwa na CCM na siasa zake za kibaguzi na jazba hazina nafasi kwa wananchi walio wengi,ila tunashukuru mchango wake wa kuishtaki serikali katika mambo mengi ambayo naona wengi tulikuwa hatujui
 
Tatizo letu waTZ kila mtu tuna mshakia kiasi kwamba kila mmoja tunamchanganya na mafisadi. Siamini kuwa kuna mtu aliye kamilika by 100%. Hata huyo baba wa Taifa Hayati J.K. Nyerere hakukamilika lakini haitoshelezi kumuweka kundi moja na mafisadi.

Nashauri tujaribu kuwapa watu credit stahili zao. Ni muhimu watu wasisahau kuwa popote penye watu zaidi ya mmoja lazima approach ya mambo itatofautiana kulingana na mtizamo wa kila mmoja kwani kila mmoja ni unique kwa kila kitu, la msingi ni kufikia muafaka ni approach gani at least inaungwa mkono na majority kwa hoja za msingi siyo tu kwa uwingi (hapa ndiyo umuhimu wa kiongozi kuchukua uwamuzi kitu kinacho mshinda msanii J.M. Kikwete.

Ni bora ya akina Mtikila, Lyatonga, Cheyo, Mbatia, Mabere, n.k. kuliko wanafiki akina Lamwai, Kaburu, Nswazingwako, Akwilombe, Tambwe, n.k. Tunahitaji kuwaunga mkono akina Mtikila ili waone support nyuma yao wapate nguvu yakufanya wanayoweza. Mpinzani wa kubabaisha hawezi kuvumilia taabu za kupigwa mabomu, kuvunjwa viungo vyao, kufunguliwa kesi zisizo na kichwa wala miguu, kufungwa, n.k. kwa kipindi cha miaka karibu 15.

Tusitarajiye kupata watu wa extremes kwani pia wana matatizo yao. Naomba tuwaunge mkono hawa wanaojaribu kama akina Mtikila na wenzao.

Rgds,
 
Hii ni nzuri hili tujue hizo pesa alizopewa yeye zilitoka wapi kama nazo si pesa chafu kama walizopewa KKKT kinondoni
 
swali langu ni je azirudishe na yeye kama kweli amepokea fedha hizo. Ameshaandaa statement ya kesho lakini KLH News tunapata mapema kabla hawajasikia nyumbani.
 
Tatizo letu waTZ kila mtu tuna mshakia kiasi kwamba kila mmoja tunamchanganya na mafisadi. Siamini kuwa kuna mtu aliye kamilika by 100%. Hata huyo baba wa Taifa Hayati J.K. Nyerere hakukamilika lakini haitoshelezi kumuweka kundi moja na mafisadi.

Nashauri tujaribu kuwapa watu credit stahili zao. Ni muhimu watu wasisahau kuwa popote penye watu zaidi ya mmoja lazima approach ya mambo itatofautiana kulingana na mtizamo wa kila mmoja kwani kila mmoja ni unique kwa kila kitu, la msingi ni kufikia muafaka ni approach gani at least inaungwa mkono na majority kwa hoja za msingi siyo tu kwa uwingi (hapa ndiyo umuhimu wa kiongozi kuchukua uwamuzi kitu kinacho mshinda msanii J.M. Kikwete.

Ni bora ya akina Mtikila, Lyatonga, Cheyo, Mbatia, Mabere, n.k. kuliko wanafiki akina Lamwai, Kaburu, Nswazingwako, Akwilombe, Tambwe, n.k. Tunahitaji kuwaunga mkono akina Mtikila ili waone support nyuma yao wapate nguvu yakufanya wanayoweza. Mpinzani wa kubabaisha hawezi kuvumilia taabu za kupigwa mabomu, kuvunjwa viungo vyao, kufunguliwa kesi zisizo na kichwa wala miguu, kufungwa, n.k. kwa kipindi cha miaka karibu 15.

Tusitarajiye kupata watu wa extremes kwani pia wana matatizo yao. Naomba tuwaunge mkono hawa wanaojaribu kama akina Mtikila na wenzao.

Rgds,

...maandishi mazuri lakini seems humjui mtikila na siasa zake za kibaguzi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom