Polen sana alikuwa anaumwa?
Usijari brother.Dah, naomba uniwakilishe huko Mkuu
Ukitaka hata nikuoneshe chats zetu pm nakuonesha.Hii ni mara zaidi ya pili nakuona unahangaika since nikwambie una wivu juu ya likes za Numbisa.
The door is open.. pumzika unapostahili
Kama humjui Valee. Nikwambie tu, ungebahatika kukaaa nae hata robo saa ungejua ni namna ipi alikuwa mwema.
Havina nafasi.. na havihusiani na ulichokuwa umeandika mwanzo.Ukitaka hata nikuoneshe chats zetu pm nakuonesha.
Namjua vizuri sana kuliko unavyofikiri.
Omg another maternal mortality! Inaumiza sanaTaarifa ya Msiba 🕊️
Kwa huzuni kubwa tunapenda kutangaza kifo cha mwenzetu @Valentina Jf 💔, ambaye amefariki dunia baada ya kuingizwa kwenye operesheni katika Hospitali ya Babuu Mkoani - Arusha
Madaktari wamefanikiwa kumwokoa mtoto wa kiume, ambaye anaendelea vizuri.
Taarifa kamili kuhusu mazishi zitatolewa baadaye.
Tunaomba Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi na awape faraja familia pamoja na wote walioguswa na msiba huu. 💔
Hakuna Mungu wala imani kwenye maneno "rest", "peace", na "eternity" japo matumizi ya haya maneno yana asili ya kidini. Mtumiaji wa hayo maneno anaweza kuwa mtu mwenye imani / dini. Lakini haimaanishi kila anayesema "rest in peace" anaamini ktk uwepo wa Mungu au wa maisha baada ya kifo. Wengine wanatumia hiyo phrase kama slogan tu, kama msemo uliozoeleka ktk muktadha wa kuwatakia heri wenzetu wafu. Lakini hawamaanishi. Ninayasema haya kama mkristo ninayejitahidi kuuishi ukristo na mseminari niliyesoma divinity.Onyesha usahihi wake
Which eternal peace kama mtu anazikwa na kuoza na kugeuka mchanga amani ipi unamtakia weweHakuna Mungu wala imani kwenye maneno "rest", "peace", na "eternity" japo matumizi ya haya maneno yana asili ya kidini. Mtumiaji wa hayo maneno anaweza kuwa mtu mwenye imani / dini. Lakini haimaanishi kila anayesema "rest in peace" anaamini ktk uwepo wa Mungu au wa maisha baada ya kifo. Wengine wanatumia hiyo phrase kama slogan tu, kama msemo uliozoeleka ktk muktadha wa kuwatakia heri wenzetu wafu. Lakini hawamaanishi. Ninayasema haya kama mkristo ninayejitahidi kuuishi ukristo na mseminari niliyesoma divinity.
Duh,kumbe ni chuga.Update:
Mazishi ni siku ya juma3, tarehe 27.
Ibada ya mazishi itafanyika nyumbani pale alipokuwa akiishi Mpendwa wetu Valee. (Maghorofani) na baadae tutaelekea Makaburi ya Njiro - Arusha kwa ajili ya kumpumzisha kwenye nyumba yake ya Milele.
Mwanga wa milele ukuangazie kipenzi chetu Valentina Upumzike Salama.
Forever in our Hearts 🕊️💔
Pole sana Mrs.... uko poa? Usisahau kumsalimia ndugu yangu VanMay her soul rest in peace
I miss you sweetheart. Tafadhali usidedi.... sipendi kuumia hivi tenaPumzika kwa amani beautiful soul....🕊️💔💔