TANZIA Rest in peace Valentina (JF Member)

TANZIA Rest in peace Valentina (JF Member)

Nimekuuliza which peace you wish her by the way? Unaamini kuna maisha mengine baada ya kufa?

NB: Mungu ampe pumziko jema mpendwa wetu let her soul rest in eternal peace
Kutokuwa na maisha ndiyo peace. Hatasumbuliwa na natatizo ya maisha tena.

Hataumwa tena. Hatasikia njaa tena. Hataumizwa tena.

Huelewi wapi?
 
Kutokuwa na maisha ndiyo peace. Hatasumbuliwa na natatizo ya maisha tena.

Hataumwa tena. Hatasikia njaa tena. Hataumizwa tena.

Huelewi wapi?
Sawa mkuu ngoja nifanye nimeelewa tusiharibu uzi
 
Apumzike kwa amani Valley binti mkarimu na Mpole sana.

Nitaimiss ile sauti yake ya upole yenye utulivu mwingi.

Aliunganisha wana JF wengi, alijali shida za wengine.
Ulikuwa umejificha wapi mkuu Ngoda?
 
Mimi. Sina maneno mengi ya kuandika ilaa nima huzuni kubwa juu ya taarifa ya msiba juu ya mpendwa wetu Valentina

Wengi wetu tunamjua kwa kuunganisha watu na kujenga upendo katikati ya chuki na hasira, lakini leo Mungu amempenda zaidi.

Nitatoa updates kadri nitakavyojaliwa.
Aisee pole sana kwa Familia
 
Kwahiyo RIP ni kumtakia mtu aliyekufa amani ya kuoza vizuri na taratibu kugeuka mchanga
This is a strawman argument logical fallacy.

It is also a false dichotomy logical fallacy.

I do not want to disrespect the memory of Valentina.

Since you are a nincompoop, I will ignore you just to not entertain your nonsense.
 
Back
Top Bottom