TANZIA Rest in peace Valentina (JF Member)

TANZIA Rest in peace Valentina (JF Member)

Alikuwa anatamani sana tukutane, ila ratiba zangu hazikuwahi kuwa easy. Kila akiwa Dar Mimi nakuwa mkoani mpaka nilipohama mazima Dar. Alinialika Arusha, ila sikuwahi pata route ya kule.

Anyways, pumzika kwa amani dada Valentina.
Inauma sana!
 
Taarifa ya Msiba 🕊️

Kwa huzuni kubwa tunapenda kutangaza kifo cha mwenzetu @⁨Valentina Jf⁩ 💔, ambaye amefariki dunia baada ya kuingizwa kwenye operesheni katika Hospitali ya Babuu Mkoani - Arusha

Madaktari wamefanikiwa kumwokoa mtoto wa kiume, ambaye anaendelea vizuri.

Taarifa kamili kuhusu mazishi zitatolewa baadaye.
Tunaomba Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi na awape faraja familia pamoja na wote walioguswa na msiba huu. 💔
😭😭😭😭 Ooh jamani
 
Mimi. Sina maneno mengi ya kuandika ilaa nima huzuni kubwa juu ya taarifa ya msiba juu ya mpendwa wetu Valentina 😭😭

Wengi wetu tunamjua kwa kuunganisha watu na kujenga upendo katikati ya chuki na hasira, lakini leo Mungu amempenda zaidi.

Nitatoa updates kadri nitakavyojaliwa.
Dah R.I.P alikua mcheshi sana huyu Rafiki
 
Taarifa ya Msiba 🕊️

Kwa huzuni kubwa tunapenda kutangaza kifo cha mwenzetu @⁨Valentina Jf⁩ 💔, ambaye amefariki dunia baada ya kuingizwa kwenye operesheni katika Hospitali ya Babuu Mkoani - Arusha

Madaktari wamefanikiwa kumwokoa mtoto wa kiume, ambaye anaendelea vizuri.

Taarifa kamili kuhusu mazishi zitatolewa baadaye.
Tunaomba Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi na awape faraja familia pamoja na wote walioguswa na msiba huu. 💔
Dah, naomba uniwakilishe huko Mkuu
 
Jamani jirani Valentina 😭😭
Mrembo wetu ehee tangulia mama. Sisi sote ni wa mavumbini, na mavumbini tutarudi.
pole nyingi pia kwa Hornet na TGP wote 😭
Valee wewe!! Tutakumiss sana mrembo wetu, ulikuwa na moyo wa kipekee sana. Umejawa upendo wa kweli sana. Ulinifunza kuachilia na kumsamehe mtu niliekuwa namchukia kupita neno lenyewe chuki🥹🥹

Dear Hornet kama Em…. Ana nguvu alog in awe anatype feedback hapa. Kama msiba upo Maghorofani au vp 😭😭😭
Chai.

Mtu mwenye uchungu hawezi kuandika gazeti lote hili.

Hapa umeandika upate attention kwamba na wewe unajuana na marehemu nje ya JF.
 
Mimi. Sina maneno mengi ya kuandika ilaa nima huzuni kubwa juu ya taarifa ya msiba juu ya mpendwa wetu Valentina 😭😭

Wengi wetu tunamjua kwa kuunganisha watu na kujenga upendo katikati ya chuki na hasira, lakini leo Mungu amempenda zaidi.

Nitatoa updates kadri nitakavyojaliwa.
Apumzike kwa amani Valentine
 
amefariki hospitali ya Mt Meru Arusha, atazikwa makaburi ya Njiro “posssibly J3” marehemu alipata changamoto wakati wa kujifungua.
“Mtoto yuko salama na ndio mtoto wake wa Kwanza wa pekee”
Dah,hii ya Mama kufariki kuacha mtoto ishatokea mtaani kwetu
 
Which peace?

Ukisema RIP means rest in eternal peace

Anyway: ngoja tumtakie amani ya milele dada etu tuache mabishano
Acha kulazimisha mambo we nyumbu wa Lake Manyara.

Wapi nimetaja eternal?

Eternal ni nini? Na kwa nini Mungu awe na monopoly ya eternal?

Acha kuchafua uzi wa msiba kwa uharo wako hapa.
 
Back
Top Bottom