cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 28,670
- 78,169
Hatuwatishi mkuu, tunaongea mambo yaliyopo. Mke wangu pia alikatazwa ku-conceive japo alitaka sana, risks are high ukishavuka 35. Sisemei scenario hii, I'm just being geneal. Wala usiichukue too personal, poleni kwa yaliyotokea.
Kuna wamezaa hata hadi 45.. wengine zaidi..na walizaa salama
Tuzidi kuomba na tukumbuke kila mtu na mwili wake na yake.. au pia kuombea changamoto zisitokee za makosa ya madaktari na wanaishia kusingizia umri wa mtu.