Asante babu, pole nawe.Pole sana Mrs.... uko poa? Usisahau kumsalimia ndugu yangu Van
Kipenzi hakikisha hudedi kabla yangu. Nimechoka kuumia namna hii jamani....R.I.P
Uzee huu. Wajukuu wamenitafuta kwenye haya ma VPN....Asante babu, pole nawe.
Umeadimika sana
Which eternal peace kama mtu anazikwa na kuoza na kugeuka mchanga amani ipi unamtakia wewe
🤣🤣2080 wote humu tutakua tumekufa tu , hata sio mbali ni swala la muda tu
Si ni kweli lakini
Hahaaa pole babuUzee huu. Wajukuu wamenitafuta kwenye haya ma VPN....
Thank you darling. Nimeumia sana kupoteza mjukuu wangu.Hahaaa pole babu
Bora umenambia kabla ya kuwekewa rip, asante babu nami nakupenda pia, kifo hakina huruma babu ni huzuni sanaMrembo wangu hebu pambana usidedi kabla yangu.... nimeshachoka kusikitika kwa haya maumivu.
Bado nakupenda kama zamani
Yah ni Arusha Mkuu.. karibuDuh,kumbe ni chuga.
Ntashiriki
Kajukuu kameondoka too soon. Nilikapenda kama navyokupenda. Usidedi pliiiiz....Bora umenambia kabla ya kuwekewa rip, asante babu nami nakupenda pia, kifo hakina huruma babu ni huzuni sana
Doh... mjukuu ulipotelea wapi? Babu kakumisi kweli. Nafurahi kuona uko poa. Please jipange usidedi kabla yangu. Nimechoka kuumia.....Yah ni Arusha Mkuu.. karibu
Mbaya kutangulia babu, Pole kwa kajukuu kako jamani,😢😢Kajukuu kameondoka too soon. Nilikapenda kama navyokupenda. Usidedi pliiiiz....
Umeanza kuleta ukorofi msibani😁😁
Sema hawa watu wanaoonekanaga wakorofi wakorofi wanakuwaga pia na roho safi sana.
Tatizo letu tukichokozwa hatujui kuvumilia ila wengi hatuna roho za kukunjiana au uchoyo uchoyo,,😁😁
Sema hawa watu wanaoonekanaga wakorofi wakorofi wanakuwaga pia na roho safi sana.
Sema kuna wawili watatu watakuwa hai, ila vikongwe.Si ni kweli lakini
Sawa tuambie wewe rest in peace yako Ina maana gani to the dead?Again, the phrase "eternal peace" may mean different things to different people. It may mean nothing to some people. Ni kauli ambayo inaweza tumika kumaliza mazungumzo tu kwa baadhi ya watu. Wewe unayehusianisha kauli hii na maisha baada ya kifo ndo useme una maanisha nini kusema "eternal peace" inahusiana na amani unayodai anaweza ipata mtu ambaye ameshazikwa kuoza na kugeuka mchanga.