TANZIA Rest in peace Valentina (JF Member)

TANZIA Rest in peace Valentina (JF Member)

Taarifa ya Msiba 🕊️

Kwa huzuni kubwa tunapenda kutangaza kifo cha mwenzetu @⁨Valentina Jf⁩ 💔, ambaye amefariki dunia baada ya kuingizwa kwenye operesheni katika Hospitali ya Babuu Mkoani - Arusha

Madaktari wamefanikiwa kumwokoa mtoto wa kiume, ambaye anaendelea vizuri.

Taarifa kamili kuhusu mazishi zitatolewa baadaye.
Tunaomba Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi na awape faraja familia pamoja na wote walioguswa na msiba huu. 💔
Dah. R.I.P
 
Taarifa ya Msiba 🕊️

Kwa huzuni kubwa tunapenda kutangaza kifo cha mwenzetu @⁨Valentina Jf⁩ 💔, ambaye amefariki dunia baada ya kuingizwa kwenye operesheni katika Hospitali ya Babuu Mkoani - Arusha

Madaktari wamefanikiwa kumwokoa mtoto wa kiume, ambaye anaendelea vizuri.

Taarifa kamili kuhusu mazishi zitatolewa baadaye.
Tunaomba Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi na awape faraja familia pamoja na wote walioguswa na msiba huu. 💔
Dah. R.I.P
 
Hii ni mara zaidi ya pili nakuona unahangaika since nikwambie una wivu juu ya likes za Numbisa.
The door is open.. pumzika unapostahili

Kama humjui Valee. Nikwambie tu, ungebahatika kukaaa nae hata robo saa ungejua ni namna ipi alikuwa mwema.

Chai.

Mtu mwenye uchungu hawezi kuandika gazeti lote hili.

Hapa umeandika upate attention kwamba na wewe unajuana na marehemu nje ya JF.
 
Taarifa ya Msiba 🕊️

Kwa huzuni kubwa tunapenda kutangaza kifo cha mwenzetu @⁨Valentina Jf⁩ 💔, ambaye amefariki dunia baada ya kuingizwa kwenye operesheni katika Hospitali ya Babuu Mkoani - Arusha

Madaktari wamefanikiwa kumwokoa mtoto wa kiume, ambaye anaendelea vizuri.

Taarifa kamili kuhusu mazishi zitatolewa baadaye.
Tunaomba Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi na awape faraja familia pamoja na wote walioguswa na msiba huu. 💔
Oooh 😔😔
 
Acha kulazimisha mambo we nyumbu wa Lake Manyara.

Wapi nimetaja eternal?

Eternal ni nini? Na kwa nini Mungu awe na monopoly ya eternal?

Acha kuchafua uzi wa msiba kwa uharo wako hapa.
Nimekuuliza which peace you wish her by the way? Unaamini kuna maisha mengine baada ya kufa?

NB: Mungu ampe pumziko jema mpendwa wetu let her soul rest in eternal peace
 
Back
Top Bottom