JiweLinaloishi
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 3,737
- 2,139
Mbona kapotea
charminglady ni kweli amefariki gafla nimewasiliana na mtu wa karibu nae sana kanithibitishia hilo
Mbona kapotea
dah poleni wadada wa mjini.......sijui mahitaji itakuwaje sasa
Mkuu the BiG BOSS ni nani huyo?
Samahani mkuu... Mie sijacheka mtu kufariki... Bali nimecheka hii kauli ya KakaJambazi
"Nini maana ya kuwa na hela au mamlaka sasa,
iwapo tunakufa hata tukipelekwa India?"
Kitendo cha kuomba msamaha, umeonyesha ukomavu wa kifikra. Hongera sana mkuu Charminglady.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Shukrani.. Naona aliniqoute vibaya....!!
Alikuelewa vibaya, hukuwa na kosa lolote lakini bado ukaomba msamaha. Nimekupenda sana.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Mzee Baguma mwenye hizi hotel za JB Belmont Dar (Benjamin Mkapa Tower) posta mpya na ya Mwanza ametutoka ghafla hivi karibuni. Tupo kwenye mshtuko mkubwa. Amefariki kwa matatizo ya kupumua chumbani kwake Hotelini Dar.
Msiba na presha za mjini kazi kweli kweli. Kwa wale dada zetu wenye kutoka life fasta fasta sijui watacheka, sijui watalia. Ninayo listi ya dada zetu hao. Naanza Na H na wapili A
pole dada hr, kazi ya mungu aina makosa. Ila kifo kinatukumbusha kumtegemea mungu na si mwanadamu
Smile...shwari?>?hajui hata yeye atakufa