Rest In Peace Mr Baguma of JB Belmont

Rest In Peace Mr Baguma of JB Belmont

Mbona ilikuwa thread ya kawaida tu ambazo zipo nyingi sana kama hizo? mtu akisikia story ya mtu fulani na hamjui zaidi huwa wanauliza humu. Na wengine huomba CV, wasifu na vitu kama hivyo.
 
Msaada tutani!
Huyu jamaa alikuwa ni nani na umauti umemkutaje kuna dalili za foul kwenye kifo chake?
 
Hata mimi nimesikia thr radio kwenye mapitio ya magazeti
 
Huyu ni nani. Hebu tupate background yake. Alikuwa anaishi Namtumbo? Anafanya kazi gani? Amekufa lini? Amekufa kufaje?
 
Masikini akifa, watu husema siku zake zimefika, lakini akifa tajiri lazima zitafutwe sababu zake. Mara kifo chake kina mkono wa mtu, mara utasikia marehemu alinyweshwa sumu! Kwa nini binadamu tunakwepa reality kuwa tulitoka kwenye udongo, tutarudi udongoni=mavumbini, kwa nini pia hatutaki kukubaliana n'a hali halisi kuwa kila nafsi itaonja umauti??!!
 
karibuni tu nilipata chakula hotelin kwake mwanza
inauma sana kusikia kifo cha mtu uliyemfahamu
RIP mr baguma ntakukumbuka sana ulivyokuwa ukinitania kuwa hutofanya kaz nami ikiwa cjanyoa ndevu(hapend ndevu cjui kwa nn)

kwenye hii picha yako..... Hiyo napkin ulivyoiweka umenikumbusha mbali....mtoto mdogo unamweka hivyo ili asimwagikiwe na uji....

Yaani umejifunika kabisa utadhani shuka.....
 
karibuni tu nilipata chakula hotelin kwake mwanza
inauma sana kusikia kifo cha mtu uliyemfahamu
RIP mr baguma ntakukumbuka sana ulivyokuwa ukinitania kuwa hutofanya kaz nami ikiwa cjanyoa ndevu(hapend ndevu cjui kwa nn)
samahani lakini!
umenifanya niccheke sana wakti na soma thread ya msiba!kwanini lakini jamani lol!
sa ukaona hatutakuamini mpka utuwekee na attachment kabisa!
ahahahahhahahhahahhahhahah! nisameheni bure mwenzenu!
lol! King'asti enh please!hebu kuja.
 
Last edited by a moderator:
kwenye hii picha yako..... Hiyo napkin ulivyoiweka umenikumbusha mbali....mtoto mdogo unamweka hivyo ili asimwagikiwe na uji....

Yaani umejifunika kabisa utadhani shuka.....
BT nini lakini?
yani mweh!mi mwenyewe hoi hapa jamani!
mpaka nasahahu kutoa R.I.P
ah!
 
REST IN PEACE MR BAGUMA,jamani sio vyema kum discuss marehemu kiasi hichi,hii ni njia yetu sote tuwe tumetenda mema au mabaya!!!!tumuombee tu aende kwa amani.
 
BT nini lakini?
yani mweh!mi mwenyewe hoi hapa jamani!
mpaka nasahahu kutoa R.I.P
ah!

my dear...ilibidi niikuze kabisa hiyo picha nikaishia kucheka ingawa thread ya kusikitisha........ Almanusura angeigeuza blanketi
 
hamna mtu ana picha yake atuwekee hapa ??
 
Back
Top Bottom