Rest In Peace Mr Baguma of JB Belmont

Rest In Peace Mr Baguma of JB Belmont

Bi. Senti 50

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2007
Posts
287
Reaction score
14
Mzee Baguma mwenye hizi hotel za JB Belmont Dar (Benjamin Mkapa Tower) posta mpya na ya Mwanza ametutoka ghafla hivi karibuni. Tupo kwenye mshtuko mkubwa.

Amefariki kwa matatizo ya kupumua chumbani kwake Hotelini Dar.
 
hivi karibuni au hivi punde? Ni lini exactly ?
 
Mzee Baguma mwenye hizi hotel za JB Belmont Dar (Benjamin Mkapa Tower) posta mpya na ya Mwanza ametutoka ghafla hivi karibuni. Tupo kwenye mshtuko mkubwa. Amefariki kwa matatizo ya kupumua chumbani kwake Hotelini Dar.

"ghafla hivi karibuni"!!!!

Apumzike kwa Amani (kama anastahili)
 
Mzee Baguma mwenye hizi hotel za JB Belmont Dar (Benjamin Mkapa Tower) posta mpya na ya Mwanza ametutoka ghafla hivi karibuni. Tupo kwenye mshtuko mkubwa. Amefariki kwa matatizo ya kupumua chumbani kwake Hotelini Dar.

Source plz!!!!!
 
Nini maana ya kuwa na hela au mamlaka sasa, iwapo tunakufa hata tukipelekwa India?
 
RIP...ndio maisha yetu chini ya jua yanavyoishia...
 
Alikuwa peke yake bila mwenzie hotelini? Mungu ailaze roho yake pale inapostahili.
 
unachekea nini sasa? hivi mtu kafa we unacheka, ama kweli maadili yameota mbawa! RIP mzee Baguma.

Samahani mkuu... Mie sijacheka mtu kufariki... Bali nimecheka hii kauli ya KakaJambazi
"Nini maana ya kuwa na hela au mamlaka sasa,
iwapo tunakufa hata tukipelekwa India?"
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom