Bi. Senti 50
JF-Expert Member
- Apr 17, 2007
- 287
- 14
Mzee Baguma mwenye hizi hotel za JB Belmont Dar (Benjamin Mkapa Tower) posta mpya na ya Mwanza ametutoka ghafla hivi karibuni. Tupo kwenye mshtuko mkubwa.
Amefariki kwa matatizo ya kupumua chumbani kwake Hotelini Dar.
Amefariki kwa matatizo ya kupumua chumbani kwake Hotelini Dar.