Rest In Peace Mr Baguma of JB Belmont

Rest In Peace Mr Baguma of JB Belmont

Nasikia hii hotel inatoa watu mhanga si ni hotel ya maomali?
 
Zile hotel sio za city garden zamani ndo ilikiwa inamililiwa na city garden wakauza kwa JB.
JB anamiliki Chirken hut,Savana longue Benjamini mkapa,Lemon tree restaurant quality plaza ,Savana longue quality plaza na ile bar pale tabata shule.
 
Tunawapa pole wafiwa wote na Waganda wote.Japo musaba sijui kama atauzunika maana JB aliwahi kuwa waziri wa fedha na walitibuana na musaba ndo maana akakimbilia kuishi uingereza na familia yake.Inasemekana aliimaliza serikali ua musaba kwa kuchota trilioni tatu alipokuwa waziri wa fedha.Aliwekeza uingereza na akanza kuwekeza kwenye miradi apa Tz.kiukweli hata robo ya fedha zake alizokwiba kwa msaba bado hajazitumia.
R.I.P JB
duuuh kumbe tungenufaika eeh?
 
Duh juzi tu hapa nilimuona hapa Hotelini kwake JB Mwanza........kweli kifo hakina huruma
RIP

wakat wa uzinduz wa jb ya mwanza mi ndiye nilipiga picha za vyumba vya hotel na mzee alinilipa pesa nzuri tu
na saiz niko hotelin kwake wafanya kazi wote ni kama wamestaki
,RIP mzee WETU
 
huyo kushoto
jb.jpg
naona hapa yuko na mstahiki meya...wa kino
 
Msiba na presha za mjini kazi kweli kweli. Kwa wale dada zetu wenye kutoka life fasta fasta sijui watacheka, sijui watalia. Ninayo listi ya dada zetu hao. Naanza Na H na wapili A
 
mzee baguma mwenye hizi hotel za jb belmont dar (benjamin mkapa tower) posta mpya na ya mwanza ametutoka ghafla hivi karibuni. Tupo kwenye mshtuko mkubwa. Amefariki kwa matatizo ya kupumua chumbani kwake hotelini dar.

nawapa pole wote wana ndugu na familia yote pamoja na wafanyakazi wake kwenye hotel zote hapa dar na mwanza
tuwe na tabia ya kumtegeme mungu na kumcha kila mara na tuwe tunakumbuka kutubu dhambi zetu kwa mungu maana hatujui saa wala siku
mwenzetu amekufa peke yake kama wanavyosema ni kweli na hata kama angekuwapo mpenzi wake mauti ikija imekuja inakuchukuwa hata mbele ya mke wako au mume wako
naomba mungu awafariji wana familia wote, amina
 
Hii habari haiaminiki kabisa. Hadi sasa sijaambiwa chanzo cha kuaminika cha hii habari.
 
Zile hotel sio za city garden zamani ndo ilikiwa inamililiwa na city garden wakauza kwa JB. JB anamiliki Chirken hut,Savana longue Benjamini mkapa,Lemon tree restaurant quality plaza ,Savana longue quality plaza na ile bar pale tabata shule.


Hapo kwenye nyekundu hujaeleweka hebu kuwa specific kwani pale tabata shule pana bar nyingi sana. Unamaanisha Dar West, Paris Pub au kwazulu natal, ama wapi?
 
Back
Top Bottom