Mwanamalundi
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 3,126
- 1,439
His photo.
Habari za kuaminika zilitufikia..ni kwamba mmiliki wa hoteli ya JB Belmonte, Ambassador Club, Savannah Lounge, maduka ya kutosha pale qlty centre na kumbi za mikutano, bwana JB amefariki dunia.
May he Rest In Peace
Duh!apumzike kwa amani!His photo.
![]()
He didnt go too soon, he lived his looong lifeGone too soon
Habari za kuaminika zilitufikia..ni kwamba mmiliki wa hoteli ya JB Belmonte, Ambassador Club, Savannah Lounge, maduka ya kutosha pale qlty centre na kumbi za mikutano, bwana JB amefariki dunia.
May he Rest In Peace
Habari za kuaminika zilitufikia..ni kwamba mmiliki wa hoteli ya JB Belmonte, Ambassador Club, Savannah Lounge, maduka ya kutosha pale qlty centre na kumbi za mikutano, bwana JB amefariki dunia.
May he Rest In Peace
hivi karibuni au hivi punde? Ni lini exactly ?
mzee baguma mwenye hizi hotel za jb belmont dar (benjamin mkapa tower) posta mpya na ya mwanza ametutoka ghafla hivi karibuni. Tupo kwenye mshtuko mkubwa. Amefariki kwa matatizo ya kupumua chumbani kwake hotelini dar.
Habari za kuaminika
zilitufikia..ni kwamba mmiliki wa hoteli ya JB Belmonte, Ambassador
Club, Savannah Lounge, maduka ya kutosha pale qlty centre na kumbi za
mikutano, bwana JB amefariki dunia.
May he Rest In Peace
Inamaana vidonge vya ARV vimeshindwa kufanya kazi, au alitumia vile vidonge FEKI vya madabida. By the way, angekuwa anabadili damu, mbona the BIG BOSS anadunda mpaka leo?
Duh juzi tu hapa nilimuona hapa Hotelini kwake JB Mwanza........kweli kifo hakina huruma
RIP
ile hotel sinasikia ni ya wasomali wamiliki city garden ! RIP BAGUMA aka MSOMALIAMzee Baguma mwenye hizi hotel za JB Belmont Dar (Benjamin Mkapa Tower) posta mpya na ya Mwanza ametutoka ghafla hivi karibuni. Tupo kwenye mshtuko mkubwa. Amefariki kwa matatizo ya kupumua chumbani kwake Hotelini Dar.