Noti bandia
JF-Expert Member
- May 3, 2020
- 2,145
- 3,358
Hv kweli mnatoaga point kwa kufikiria au mapenz ya timu. Nafikiri tujaribu kufikiria jinsi ya kuwekeza tupate marefa wenye afadhali coz ht huko ulaya wenya akili na mafanikio kuliko sisi waliliona Hilo ndio maana wakaamua kuja na VAR.Simba ndiyo inaifanya ligi ya NBC msimu huu chini ya tff ya karia kuwa ‘most corrupted league’ kwenye sayari hii na sijui ni kwanini NBC wamejiingiza kudhamini wizi na ifisadi kama huu,