Redd's Miss Tanzania 2013 ni sasa.........

Redd's Miss Tanzania 2013 ni sasa.........

huyu Michael Ross.....ni mdogo wake Rick Ross.......?
 
Kati ya vitu ninavyoviogopa in this world ni kukosa kujiamini mbele ya watu.
 
Wote wavivu wavivu kuanzia madansa mpaka mwimbaji! Wapi vijana wa Ruge, wanajitahidi kuburudishaga wale.
 
Yaani binti ametia aibu sana! Nelson Mandela Rais wa SA!? Nimetamani nimchape!
Unadhani ndugu zake waliokuja kumshangilia watamuacha? kawadhalilisha, maswali wiki nzima kashindwa kujipanga? Tena kwa Kiswahili yani ni mzembe kupitiliza.
 
huyu Michael Ross.....ni mdogo wake Rick Ross.......?

Hahaha ajikute tu! Ila kapamba jukwaa at least. Jide kanishangaza leo. Wangempa hata Diamond dili mbona wanapga hela nyng wameshndwa kumlipa hzo hela?
 
Wamejitahidi unafikiri kuongea in that crowd is an easy thing.
 
Yaani binti ametia aibu sana! Nelson Mandela Rais wa SA!? Nimetamani nimchape!

shost ulipotea....mpaka Miss aboronge ndio utokee.....haya niambie Boflo anatumia ID gani.....maana.....mmmh.......
 
Last edited by a moderator:
Hivi si wangeleta hata bend yoyote ya Dance........................wanatuletea watu toka uganda hamna kitu.....
 
Ila kwa ujumla huyo aliyewaandalia mavazi ya ufukweni kachesha sana maana mabint karibia wote wamavaa vazi la ufukweni na viatu virefu! Tangu lini high heels zikavaliwa beach?
 
Back
Top Bottom