Redd's Miss Tanzania 2013 ni sasa.........

Redd's Miss Tanzania 2013 ni sasa.........

Khaah ila Jide anapendwa aseh yani kuboa kote huko wanamshangilia?
 
Mhh hiki kituko, yani hadi jide anapafom back to back??
 
huo unaimbwa

haya sasa umefurahi, wimbo ndo huo hewani

furahi mkuu..mi lov the song pia..angeanzia huu bora

Big up kwake.... Ila kaacha Miwani na Koti!!!!!"

Atleast!

Yahaya kaingia.........


Acha chuki mkuu....

Yaani mtu hajaanza hata kuimba unasema anaboa?....

Au wimbo wa Yahaya unakugusa nn mkuu?....Joking.....lol

Dont generalize; Sema anakuboa wewe , mie haniboi . Good lady Jay dee- na Yahaya

Ha ha ha! Kuna watu ni ma-Anakonda damu! Ameboooooa!
 
Haya mabibi na mabwana wa JF tushamjua mshnd wa kwanza, vp khs wa pl na wa tatu?
 
:doh: Bado ana mashabiki bana.... :doh:
Ni mshabiki wake saaana lakini leo hata mimi kaniboa kwa kweli. Huo ni ubahili uliopitiliza. kama hela ndogo asingefanya kuliko kufanya chini ya kiwangi namna hiyo.....kha!
 
Ila kwa ujumla huyo aliyewaandalia mavazi ya ufukweni kachesha sana maana mabint karibia wote wamavaa vazi la ufukweni na viatu virefu! Tangu lini high heels zikavaliwa beach?
Height zitapotea!!
 
da Preta naomba uninunulie vibuti kama vya jidee..pleaase

well well.......ngoja niingie H&M.....New Look......Next....au River island....naweza nikapata.........Primark vitakuwa vya kichina........
 
Back
Top Bottom