wala sio Redds, hiyohiyo kamati, ukiona Proposal yao na matumizi halisi utachoka.Huyu Roz nae anaimba nini..
. redds hawana hela au ni mabahili
Haitakuwa mara ya kwanza shemeji....labda wabadili matokeo........lakini mpaka sasa Dodoma wamefanikiwa kutoa mshindi kwa mara ya kwanza.........
Voltage low!! Insufficient Voltage!! Hiki ni nini kwenye screen yangu?
Nasubiri aimbe wimbo wake wa "Omwana Yoyoo!" Otherwise aondoke tu, tumechoka.
Nasubiri aimbe wimbo wake wa "Omwana Yoyoo!" Otherwise aondoke tu, tumechoka.
Nasubiri aimbe wimbo wake wa "Omwana Yoyoo!" Otherwise aondoke tu, tumechoka.
Haitakuwa mara ya kwanza shemeji....
Emily Adolph mwanafunzi toka Dodoma alikuwa Miss Tanzania mwaka 1995
Yaani binti ametia aibu sana! Nelson Mandela Rais wa SA!? Nimetamani nimchape!
Sauda hana mwili wa nguo hata tone.........nini sasa kile amevaa.......ila nimefurahi kumuona Rashida Wanjara.....alinipotea muda sana......
That is the song I was just waiting. Jamaa anaimba kweli, maana JD alikuwa anafatisha CD yake tu.