Redd's Miss Tanzania 2013 ni sasa.........

Redd's Miss Tanzania 2013 ni sasa.........

sure..at least angekua na dancers then angeimba na her band

Jamaa hawajatoa mkwanja wa kutosha ndio maana hata JD kafanya vile, imagine hata Prof Jay hajaimba part yake kwenye Joto Hasira.

Angalia watu wa kamera washamba, red carpet kina sauda washamba, gari la mshindi IST used (2004).
 
Wakuu.....huyu wa Dodoma namuhisihisi kama atachukua......sijui kwa nini........
 
Jamaa hawajatoa mkwanja wa kutosha ndio maana hata JD kafanya vile, imagine hata Prof Jay hajaimba part yake kwenye Joto Hasira.

Angalia watu wa kamera washamba, red carpet kina sauda washamba, gari la mshindi IST used (2004).

naona toka voda wawatose hii miss Tz haisomeki..haya ma top fivee
 
Huyu nae wa wapi? Eti anataka kumwona Mandela,Rais wa SA.
 
Huyu demu anaitwa Eliza ni mshamba, haya maswali si wanapewaga mapema? Eti Nelson Mandela ni rais wa Africa Kusini.
 
wanasema wabongo tunashindwa interview za kazi kwa ajili ya viingereza, mbona huyo katumia lugha mama bado kachemka? mmh...
 
Back
Top Bottom