Mkuki mtamu kwa nguruwe, kwa Binadamu mchungu.Wachawi gani hao?utavuna ulichopanda kudadadeki
SayanHakika nimelia. Machozi yamenitoka. Nahisi bado moyo unalia. Sikutegemea siku hii itaisha hivi. Apumzike kwa amani JPM. Hakika taifa litakukumbuka. Ulikua na vision uliyoisimamia kwa msimamo thabit. Ni ngumu kuamini!
Na wanasema alikuwa mbishi kwelikweli kwenye Corona. Tuendelee kuchukua tahadhari corona haina msalia mtume wajameniDuh!
Habari za kifo cha Magufuli zimetawala Al Jazeera jioni hii. Zaidi ya dakika 10 wanamzungumzia Magufuli na Tanzania!
Hii kwa hakika ilitia uoga watu wengi, sio wewe peke yako.Akuna kitu kilikua kinanivunja moyo kama kumuongezea muda wa kutawala kwa miaka 7-7 tena.
Nilikata passport ya kusafilia kwenda nje ya TANZANIA.kuanza maisha ukouko. Ila sasa nitakua naenda na kurudi TANZANIA naipenda sana
Kwanini walikua wanaficha Sasa? Au ni siasaMzee h ishu ya moyo nilikuwa najua tangu akiwa Waziri
Kwani kipi kinakwepeka hapa au unahisi kufa kwake kutakupa utajiri we kama utafuti utaendelea kuwa mtumwa hamna kitu kitabadilika kwenye maisha yako mpaka kufaMkuki mtamu kwa nguruwe,kwa Binadamu mchungu.
Wapinzani waliishi Kama watumwa,
Kwa kila Aina ya mateso,vijamaa vilona sawa tu.leo mtumwa anakua huru vinasema wachawi.
Lakini katiba inamruhusu Rais kufanya jambo lolote hata bila ridhaa, ruksa au ushauri wa yeyoteMiradi yote isiyo na maana iliyoanzishwa kwa power yake yote itakufa...Kama ilishirikisha bunge na mamlaka zote itaendelea lakini kama alitumia nguvu yake basi itakufa kifo cha mende.
Hatari mkuu, eti walikuwa wanatuambia mheshimiwa anatusalimia Sasa jiulize kwanini salamu azitoe mwezi March tuu?Serikali imejaa waongo hii Mkuu kwanza ilitudanganya yuko poa kumbe kalazwa, sasa inatudanganya kwamba ni moyo kumbe ni COVID. Mkewe naye inasemekana yuko hoi.
Vyote vitakwenda na maji, reli hii mwisho Morogoro na hizo treni sijui kama zitakuja, kwa kifupi mambo sasa ni zigizagaMiradi yote isiyo na maana iliyoanzishwa kwa power yake yote itakufa...Kama ilishirikisha bunge na mamlaka zote itaendelea lakini kama alitumia nguvu yake basi itakufa kifo cha mende.
Wazungu na Waafrika wametoa Madukuduku yao juu ya hali ya Tanzania ( hasa Kiutawala, Kidemokrasia, Kiustawi na Kimwenendo wake ) mzima kuliko vile ambavyo Sisi tuliopo hapa hapa nchini tungeweza Kuelezea ( Kuchambua ) Kiundani zaidi.Kwani wamesemaje
Lakini katiba inamruhusu rais kufanya jambo lolote hata bila ridhaa, ruksa au ushauri wa yeyote