DOKEZO Rais Samia, Watumishi Wastaafu wa Jeshi tunaomba utusaidie kupata stahiki zetu, tunateseka

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Unamuomba Raisi akusaidie!!
Mama halipendi jeshi lenu la polisi. Lia kimya kimya mkuu. Kuna wenzenu tunaongea nao wansema wamestaafu wakidai pesa ya kusafisha mizigo, nights na malipo ya uhamisho na hajui watalipwa lini. Mlifaidi kuiingiza ccm kwa nguvu madarakani kwa kutupiga virungu kwa sasa nyie ni used condoms zoeeni tu.
 
➤ Sisi ni Watumishi wa Umma Wastaafu tuliokuwa tunafanyia kazi vikosi mbalimbali vya Jeshi, tuliajiriwa kila mtu na CV namba yake na kila mtu alipewa barua ya kuajiriwa pia kila Mwajiriwa alikuwa na C/NO yake ya kupatia Mshahara kutoka Hazina (Pay Slip tunazo).

➤ Tukiwa katika ajira tulikuwa tunapandishwa Vyeo na pia tukapewa barua za kuthibitishwa kazini.

➤ Pamoja na hayo tulifanya kazi katika mazingira magumu, miaka ya mwanzo tulipoanza kazi tulikuwa tunapewa ‘unform’, Viatu na Pesa na Likizo.

➤ Kuanzia Miaka ya 1998 mambo yakabadilika tukawa hatupewi tena, ikawa inapita hadi miaka mitatu au minne ndio mnapewa tena ya mwaka mmoja.

➤ Kabla ya kustaafu tuliandika barua kuomba tupatiwe haki hizo lakini mpaka leo (Agosti 11, 2023) hatujajibiwa.

Baadhi yetu tulikuwa katika Mifuko ya NPF, tukahamishiwa NSSF baadaye tukahamishiwa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF).

➤ Mfano kuna Mtumishi ambaye ametumikia miezi 495 lakini kwenye malipo akapewa miezi 272, kisha miezi 223 iliyosalia haijulikani malipo yake yamepotelea wapi, hata alipouliza hakupata majibu ya kueleweka zaidi ya kuambiwa amuulize Mwajiri wake.

➤ Muda wa Kustaafu ulipofika tukawekwa kwenye kikokotoo, pesa tulizojiwekea kwenye Mifuko ya Hifadhi tukakuta zimekatwa, tukapewa nusu ya kile kilichokuwa tumechangia.

➤ Tulipohoji mbona pesa zetu zimekatwa tukajibiwa kuwa ‘ndizo mtakazo kuwa mnalipwa kwa mwezi’. Yote tumevumilia lakini maisha yanazidi kuwa magumu.

➤ Wakati tumelipwa malipo pungufu kutoka katika Mifuko ya Hifadhi ya Jamii pia malipo ya Kiinua Mgongo hatujapata kabisa, tulipouliza tukaambiwa hatutapewa, tulipohoji tukaambiwa ni maelekezo kutoka juu, kwamba hatutakiwi kulipwa na Hazina.

➤ Tumeenda kwa Afisa Utumishi ili atuandalie malipo ya Kiinua Mgongo tukaambiwa hatupaswi kulipwa kiinua mgongo kwa kuwa sisi ni vibarua.

➤ Tunapatwa na mshangao wa majibu hayo, tukamuuliza Afisa Utumishi wetu kuwa ‘mbona tulikuwa tunapanda vyeo na Pay Slip tunazo’, akatujibu ‘tusihangaike hii ndio amri imetolewa’.

➤ Cha kushangaza waliopewa barua za kutokulipwa ni wachache zinazoonyesha hawastahili kulipwa Kiinua Mgongo, tukahoji mbona wengine hawajapewa hizo barua, wala hatujajulishwa, tulijibiwa tufuate barua walizotumiwa wenzetu.

➤ Tumebaki na mshangao wala hatujui hatima yetu.

➤ Tumefanya jitihada nyingi za kukutana na Waziri wa Ulinzi kupitia wasaidizi wake lakini imeshindikana.

➤ Tulipotaka kulalamika kwenye Vyombo vya Habari, wakasema masuala yetu hayatolewi kwenye Vyombo vya Habari.

➤ Aprili 2023 tulikutana na Mbunge mmoja, akaahidi kutusaidia kutukutanisha na Waziri wa Ulinzi lakini tangu wakati huo mchakato haujafanikiwa, tukijulishwa kuwa ratiba za Waziri zinambana.

➤ Wastaafu tuko wengi kuanzia wa Mwaka 2019.

➤ Wastaafu wenzetu wa miaka ya nyuma walilipwa vizuri kwenye Mifuko ya Hifadhi na kiinua mgongo wakapewa, leo sisi tunaambiwa vibarua Je? Kibarua anapata mshahara wa Hazina na anapandishwa cheo na kuthibitishwa kazini?

➤ Tunapewa majibu ya mdomo, kinachoumiza zaidi ni kuwa wakati wa kuajiriwa tulipewa barua, leo tunajibiwa mdomoni tu kwamba sisi ni vibarua, ukiuliza zaidi wanasema kuna wenzetu wachache wametumiwa barua, hivyo wengine wote tufuate kile kilichoandikwa katika barua za wenzetu wachache, hii si sawa.

➤ Tunaomba huruma yako kuna Watumishi wa Umma waliumwa maradhi mbalimbali wakiwa kazini mfano, TB, HIV na Corona hawakulipwa chochote na muda wa kustaafu umefika walivumilia yote hayo walijua watafika mwisho wa ajira yao watalipwa, leo wanaambiwa hawapaswi kulipwa kiinua mgongo je, hii ni haki?

➤ Mheshimiwa Rais, kwa nafasi yako tunaomba utusaidie; maisha yetu sasa yamekuwa magumu kwa mtihani huu tulioupata.
nyie si ndio mnailinda CCM kwa udi na uvumba....tulieni muilambe dawa simbilisi nyie, tena mfe midomo wazi kabisa
 
Mleta Uzi alitegemea atapata msaada AU ushauri.
Kumbe anaambulia matusi.

Vyombo vya ulinzi badala villnde nchi Wao wanalinda wanasiasa.

Vyombo vya ulinzi na usalama vinajenga chuki na wananchi.

CCM mnalaana mbw@ nyie.
Mmeifanya nchi imekuwa ya hovyo sana
 
Kuna watumishi wanaofanya kazi jeshini mfano baadhi ya waalimu, kada ya afya, baadhi ya makarani n.k nadhani hawa ndiyo wahanga wa hili swala. Kwenye mifuko ya jamii wanajeshi hawachangii ila watumishi wa kiraia wanachangia. Mtoa mada angeweka wazi ili watu wajue pa kuanzia kusaidia kuokoa jahazi.
 
Safi sana hakuna cha mjeda wala nani mwendo ni uleule
IMG_20231016_152502.jpg

Nimepata taarifa kutoka kule "LOCATION" wapo kimya na wanaendelea kujitafakari..😂
 
Kweli hawa ni wajeda au sound tu?

Sasa unamchelewesheaje mjeda haki yake???

Kweli fahari ya vijana ni nguvu zao

Hawa jamaa nao wanawekwa kati kweli maisha duara najuaga hawa hawadai chochote
Ni polisi hao
Na sio jw
 
➤ Sisi ni Watumishi wa Umma Wastaafu tuliokuwa tunafanyia kazi vikosi mbalimbali vya Jeshi, tuliajiriwa kila mtu na CV namba yake na kila mtu alipewa barua ya kuajiriwa pia kila Mwajiriwa alikuwa na C/NO yake ya kupatia Mshahara kutoka Hazina (Pay Slip tunazo).

➤ Tukiwa katika ajira tulikuwa tunapandishwa Vyeo na pia tukapewa barua za kuthibitishwa kazini.

➤ Pamoja na hayo tulifanya kazi katika mazingira magumu, miaka ya mwanzo tulipoanza kazi tulikuwa tunapewa ‘unform’, Viatu na Pesa na Likizo.

➤ Kuanzia Miaka ya 1998 mambo yakabadilika tukawa hatupewi tena, ikawa inapita hadi miaka mitatu au minne ndio mnapewa tena ya mwaka mmoja.

➤ Kabla ya kustaafu tuliandika barua kuomba tupatiwe haki hizo lakini mpaka leo (Agosti 11, 2023) hatujajibiwa.

Baadhi yetu tulikuwa katika Mifuko ya NPF, tukahamishiwa NSSF baadaye tukahamishiwa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF).

➤ Mfano kuna Mtumishi ambaye ametumikia miezi 495 lakini kwenye malipo akapewa miezi 272, kisha miezi 223 iliyosalia haijulikani malipo yake yamepotelea wapi, hata alipouliza hakupata majibu ya kueleweka zaidi ya kuambiwa amuulize Mwajiri wake.

➤ Muda wa Kustaafu ulipofika tukawekwa kwenye kikokotoo, pesa tulizojiwekea kwenye Mifuko ya Hifadhi tukakuta zimekatwa, tukapewa nusu ya kile kilichokuwa tumechangia.

➤ Tulipohoji mbona pesa zetu zimekatwa tukajibiwa kuwa ‘ndizo mtakazo kuwa mnalipwa kwa mwezi’. Yote tumevumilia lakini maisha yanazidi kuwa magumu.

➤ Wakati tumelipwa malipo pungufu kutoka katika Mifuko ya Hifadhi ya Jamii pia malipo ya Kiinua Mgongo hatujapata kabisa, tulipouliza tukaambiwa hatutapewa, tulipohoji tukaambiwa ni maelekezo kutoka juu, kwamba hatutakiwi kulipwa na Hazina.

➤ Tumeenda kwa Afisa Utumishi ili atuandalie malipo ya Kiinua Mgongo tukaambiwa hatupaswi kulipwa kiinua mgongo kwa kuwa sisi ni vibarua.

➤ Tunapatwa na mshangao wa majibu hayo, tukamuuliza Afisa Utumishi wetu kuwa ‘mbona tulikuwa tunapanda vyeo na Pay Slip tunazo’, akatujibu ‘tusihangaike hii ndio amri imetolewa’.

➤ Cha kushangaza waliopewa barua za kutokulipwa ni wachache zinazoonyesha hawastahili kulipwa Kiinua Mgongo, tukahoji mbona wengine hawajapewa hizo barua, wala hatujajulishwa, tulijibiwa tufuate barua walizotumiwa wenzetu.

➤ Tumebaki na mshangao wala hatujui hatima yetu.

➤ Tumefanya jitihada nyingi za kukutana na Waziri wa Ulinzi kupitia wasaidizi wake lakini imeshindikana.

➤ Tulipotaka kulalamika kwenye Vyombo vya Habari, wakasema masuala yetu hayatolewi kwenye Vyombo vya Habari.

➤ Aprili 2023 tulikutana na Mbunge mmoja, akaahidi kutusaidia kutukutanisha na Waziri wa Ulinzi lakini tangu wakati huo mchakato haujafanikiwa, tukijulishwa kuwa ratiba za Waziri zinambana.

➤ Wastaafu tuko wengi kuanzia wa Mwaka 2019.

➤ Wastaafu wenzetu wa miaka ya nyuma walilipwa vizuri kwenye Mifuko ya Hifadhi na kiinua mgongo wakapewa, leo sisi tunaambiwa vibarua Je? Kibarua anapata mshahara wa Hazina na anapandishwa cheo na kuthibitishwa kazini?

➤ Tunapewa majibu ya mdomo, kinachoumiza zaidi ni kuwa wakati wa kuajiriwa tulipewa barua, leo tunajibiwa mdomoni tu kwamba sisi ni vibarua, ukiuliza zaidi wanasema kuna wenzetu wachache wametumiwa barua, hivyo wengine wote tufuate kile kilichoandikwa katika barua za wenzetu wachache, hii si sawa.

➤ Tunaomba huruma yako kuna Watumishi wa Umma waliumwa maradhi mbalimbali wakiwa kazini mfano, TB, HIV na Corona hawakulipwa chochote na muda wa kustaafu umefika walivumilia yote hayo walijua watafika mwisho wa ajira yao watalipwa, leo wanaambiwa hawapaswi kulipwa kiinua mgongo je, hii ni haki?

➤ Mheshimiwa Rais, kwa nafasi yako tunaomba utusaidie; maisha yetu sasa yamekuwa magumu kwa mtihani huu tulioupata.
Wewe utakuwa huna akili kabisa,una bunduki halafu bado unaomba kwa unyonge.
 
➤ Sisi ni Watumishi wa Umma Wastaafu tuliokuwa tunafanyia kazi vikosi mbalimbali vya Jeshi, tuliajiriwa kila mtu na CV namba yake na kila mtu alipewa barua ya kuajiriwa pia kila Mwajiriwa alikuwa na C/NO yake ya kupatia Mshahara kutoka Hazina (Pay Slip tunazo).

➤ Tukiwa katika ajira tulikuwa tunapandishwa Vyeo na pia tukapewa barua za kuthibitishwa kazini.

➤ Pamoja na hayo tulifanya kazi katika mazingira magumu, miaka ya mwanzo tulipoanza kazi tulikuwa tunapewa ‘unform’, Viatu na Pesa na Likizo.

➤ Kuanzia Miaka ya 1998 mambo yakabadilika tukawa hatupewi tena, ikawa inapita hadi miaka mitatu au minne ndio mnapewa tena ya mwaka mmoja.

➤ Kabla ya kustaafu tuliandika barua kuomba tupatiwe haki hizo lakini mpaka leo (Agosti 11, 2023) hatujajibiwa.

Baadhi yetu tulikuwa katika Mifuko ya NPF, tukahamishiwa NSSF baadaye tukahamishiwa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF).

➤ Mfano kuna Mtumishi ambaye ametumikia miezi 495 lakini kwenye malipo akapewa miezi 272, kisha miezi 223 iliyosalia haijulikani malipo yake yamepotelea wapi, hata alipouliza hakupata majibu ya kueleweka zaidi ya kuambiwa amuulize Mwajiri wake.

➤ Muda wa Kustaafu ulipofika tukawekwa kwenye kikokotoo, pesa tulizojiwekea kwenye Mifuko ya Hifadhi tukakuta zimekatwa, tukapewa nusu ya kile kilichokuwa tumechangia.

➤ Tulipohoji mbona pesa zetu zimekatwa tukajibiwa kuwa ‘ndizo mtakazo kuwa mnalipwa kwa mwezi’. Yote tumevumilia lakini maisha yanazidi kuwa magumu.

➤ Wakati tumelipwa malipo pungufu kutoka katika Mifuko ya Hifadhi ya Jamii pia malipo ya Kiinua Mgongo hatujapata kabisa, tulipouliza tukaambiwa hatutapewa, tulipohoji tukaambiwa ni maelekezo kutoka juu, kwamba hatutakiwi kulipwa na Hazina.

➤ Tumeenda kwa Afisa Utumishi ili atuandalie malipo ya Kiinua Mgongo tukaambiwa hatupaswi kulipwa kiinua mgongo kwa kuwa sisi ni vibarua.

➤ Tunapatwa na mshangao wa majibu hayo, tukamuuliza Afisa Utumishi wetu kuwa ‘mbona tulikuwa tunapanda vyeo na Pay Slip tunazo’, akatujibu ‘tusihangaike hii ndio amri imetolewa’.

➤ Cha kushangaza waliopewa barua za kutokulipwa ni wachache zinazoonyesha hawastahili kulipwa Kiinua Mgongo, tukahoji mbona wengine hawajapewa hizo barua, wala hatujajulishwa, tulijibiwa tufuate barua walizotumiwa wenzetu.

➤ Tumebaki na mshangao wala hatujui hatima yetu.

➤ Tumefanya jitihada nyingi za kukutana na Waziri wa Ulinzi kupitia wasaidizi wake lakini imeshindikana.

➤ Tulipotaka kulalamika kwenye Vyombo vya Habari, wakasema masuala yetu hayatolewi kwenye Vyombo vya Habari.

➤ Aprili 2023 tulikutana na Mbunge mmoja, akaahidi kutusaidia kutukutanisha na Waziri wa Ulinzi lakini tangu wakati huo mchakato haujafanikiwa, tukijulishwa kuwa ratiba za Waziri zinambana.

➤ Wastaafu tuko wengi kuanzia wa Mwaka 2019.

➤ Wastaafu wenzetu wa miaka ya nyuma walilipwa vizuri kwenye Mifuko ya Hifadhi na kiinua mgongo wakapewa, leo sisi tunaambiwa vibarua Je? Kibarua anapata mshahara wa Hazina na anapandishwa cheo na kuthibitishwa kazini?

➤ Tunapewa majibu ya mdomo, kinachoumiza zaidi ni kuwa wakati wa kuajiriwa tulipewa barua, leo tunajibiwa mdomoni tu kwamba sisi ni vibarua, ukiuliza zaidi wanasema kuna wenzetu wachache wametumiwa barua, hivyo wengine wote tufuate kile kilichoandikwa katika barua za wenzetu wachache, hii si sawa.

➤ Tunaomba huruma yako kuna Watumishi wa Umma waliumwa maradhi mbalimbali wakiwa kazini mfano, TB, HIV na Corona hawakulipwa chochote na muda wa kustaafu umefika walivumilia yote hayo walijua watafika mwisho wa ajira yao watalipwa, leo wanaambiwa hawapaswi kulipwa kiinua mgongo je, hii ni haki?

➤ Mheshimiwa Rais, kwa nafasi yako tunaomba utusaidie; maisha yetu sasa yamekuwa magumu kwa mtihani huu tulioupata.
Mkivaa yale magwanda mnajionaga miungu watu,pambaneni na hali zenu wazee wangu
 
➤ Sisi ni Watumishi wa Umma Wastaafu tuliokuwa tunafanyia kazi vikosi mbalimbali vya Jeshi, tuliajiriwa kila mtu na CV namba yake na kila mtu alipewa barua ya kuajiriwa pia kila Mwajiriwa alikuwa na C/NO yake ya kupatia Mshahara kutoka Hazina (Pay Slip tunazo).

➤ Tukiwa katika ajira tulikuwa tunapandishwa Vyeo na pia tukapewa barua za kuthibitishwa kazini.

➤ Pamoja na hayo tulifanya kazi katika mazingira magumu, miaka ya mwanzo tulipoanza kazi tulikuwa tunapewa ‘unform’, Viatu na Pesa na Likizo.

➤ Kuanzia Miaka ya 1998 mambo yakabadilika tukawa hatupewi tena, ikawa inapita hadi miaka mitatu au minne ndio mnapewa tena ya mwaka mmoja.

➤ Kabla ya kustaafu tuliandika barua kuomba tupatiwe haki hizo lakini mpaka leo (Agosti 11, 2023) hatujajibiwa.

Baadhi yetu tulikuwa katika Mifuko ya NPF, tukahamishiwa NSSF baadaye tukahamishiwa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF).

➤ Mfano kuna Mtumishi ambaye ametumikia miezi 495 lakini kwenye malipo akapewa miezi 272, kisha miezi 223 iliyosalia haijulikani malipo yake yamepotelea wapi, hata alipouliza hakupata majibu ya kueleweka zaidi ya kuambiwa amuulize Mwajiri wake.

➤ Muda wa Kustaafu ulipofika tukawekwa kwenye kikokotoo, pesa tulizojiwekea kwenye Mifuko ya Hifadhi tukakuta zimekatwa, tukapewa nusu ya kile kilichokuwa tumechangia.

➤ Tulipohoji mbona pesa zetu zimekatwa tukajibiwa kuwa ‘ndizo mtakazo kuwa mnalipwa kwa mwezi’. Yote tumevumilia lakini maisha yanazidi kuwa magumu.

➤ Wakati tumelipwa malipo pungufu kutoka katika Mifuko ya Hifadhi ya Jamii pia malipo ya Kiinua Mgongo hatujapata kabisa, tulipouliza tukaambiwa hatutapewa, tulipohoji tukaambiwa ni maelekezo kutoka juu, kwamba hatutakiwi kulipwa na Hazina.

➤ Tumeenda kwa Afisa Utumishi ili atuandalie malipo ya Kiinua Mgongo tukaambiwa hatupaswi kulipwa kiinua mgongo kwa kuwa sisi ni vibarua.

➤ Tunapatwa na mshangao wa majibu hayo, tukamuuliza Afisa Utumishi wetu kuwa ‘mbona tulikuwa tunapanda vyeo na Pay Slip tunazo’, akatujibu ‘tusihangaike hii ndio amri imetolewa’.

➤ Cha kushangaza waliopewa barua za kutokulipwa ni wachache zinazoonyesha hawastahili kulipwa Kiinua Mgongo, tukahoji mbona wengine hawajapewa hizo barua, wala hatujajulishwa, tulijibiwa tufuate barua walizotumiwa wenzetu.

➤ Tumebaki na mshangao wala hatujui hatima yetu.

➤ Tumefanya jitihada nyingi za kukutana na Waziri wa Ulinzi kupitia wasaidizi wake lakini imeshindikana.

➤ Tulipotaka kulalamika kwenye Vyombo vya Habari, wakasema masuala yetu hayatolewi kwenye Vyombo vya Habari.

➤ Aprili 2023 tulikutana na Mbunge mmoja, akaahidi kutusaidia kutukutanisha na Waziri wa Ulinzi lakini tangu wakati huo mchakato haujafanikiwa, tukijulishwa kuwa ratiba za Waziri zinambana.

➤ Wastaafu tuko wengi kuanzia wa Mwaka 2019.

➤ Wastaafu wenzetu wa miaka ya nyuma walilipwa vizuri kwenye Mifuko ya Hifadhi na kiinua mgongo wakapewa, leo sisi tunaambiwa vibarua Je? Kibarua anapata mshahara wa Hazina na anapandishwa cheo na kuthibitishwa kazini?

➤ Tunapewa majibu ya mdomo, kinachoumiza zaidi ni kuwa wakati wa kuajiriwa tulipewa barua, leo tunajibiwa mdomoni tu kwamba sisi ni vibarua, ukiuliza zaidi wanasema kuna wenzetu wachache wametumiwa barua, hivyo wengine wote tufuate kile kilichoandikwa katika barua za wenzetu wachache, hii si sawa.

➤ Tunaomba huruma yako kuna Watumishi wa Umma waliumwa maradhi mbalimbali wakiwa kazini mfano, TB, HIV na Corona hawakulipwa chochote na muda wa kustaafu umefika walivumilia yote hayo walijua watafika mwisho wa ajira yao watalipwa, leo wanaambiwa hawapaswi kulipwa kiinua mgongo je, hii ni haki?

➤ Mheshimiwa Rais, kwa nafasi yako tunaomba utusaidie; maisha yetu sasa yamekuwa magumu kwa mtihani huu tulioupata.
Wastaafu gani walilipwa vizuri miaka hiyo ya 1990 ndugu yangu?
 
Back
Top Bottom