1. Abdul alikwenda kama nani?
2. Wasanii na wengine wa aina hiyo walikwenda kufanya nini?
3. Mawaziri lukuki wa nini?
4. Na wengine wengi ambao hawana tija katika safari hiyo
Pesa zimepondeka kisawasawa
HAPO HAPO TUNALIA
1. Maiti za watanzania zinazuiwa hospitali kwa ndugu kukosa hela ya kulipa
2. Mikopo kwa wanafunzi ni ya ubaguzi...eti hakuna hela
3. Hospitali hazina dawa
4. Kodi mbele na nyuma
5. Tozo lukuki
7. Giza kila mahali
8. Shule hazina madawati
9. Stahiki za wafanyakazi hazilipi, hasa waliostaafu
ongezeni mengine ya kuudhi!
2. Wasanii na wengine wa aina hiyo walikwenda kufanya nini?
3. Mawaziri lukuki wa nini?
4. Na wengine wengi ambao hawana tija katika safari hiyo
Pesa zimepondeka kisawasawa
HAPO HAPO TUNALIA
1. Maiti za watanzania zinazuiwa hospitali kwa ndugu kukosa hela ya kulipa
2. Mikopo kwa wanafunzi ni ya ubaguzi...eti hakuna hela
3. Hospitali hazina dawa
4. Kodi mbele na nyuma
5. Tozo lukuki
7. Giza kila mahali
8. Shule hazina madawati
9. Stahiki za wafanyakazi hazilipi, hasa waliostaafu
ongezeni mengine ya kuudhi!