Rais Samia Suluhu ashangaza wengi kasi ya Ukuaji Uchumi Tanzania

Rais Samia aifikisha Tanzania ukuaji wa Uchumi wa 5.2% kutoka 2.1%,Heko Tanzania,​

According to National Bureau of Statistics (NBS) Pato la Tanzania Tanzania Gross Domestic Product GDP limekua kwa kasi ya ajabu na kufikia asilimia 5.2 robo ya tatu ya mwaka kutoka asilimia 4.1 robo ya kwanza wakati Rais Samia Suluhu Hassan alipoingia madarakani yaani kuanzia tarehe 19|03|2021 takribani miezi tisa sasa,

Kwa lughal rahisi tunaweza kusema Rais Samia Suluhu Hassan kwa miezi hii michache amekuza Pato la nchi nzima kwa ukuaji "Chanya" wa Uchumi wa asilimia 5.2 wakati huu huu ambapo majirani zetu wakishuhudia ukuaji "Hasi " wa Uchumi wao,

Mtakumbuka,hali ilikuwa mbaya zaidi mwaka 2019 pale ambapo AfDB waliikadiria Tanzania Pato lake kushuka kutoka wastani wa ukuaji wa asilimia 7 hadi ukuaji wa asilimia 2.1 mwaka 2019|2020 na sababu ikiwa ni Covid 19,

Wakati huohuo baadhi ya nchi za Africa Mashariki walishuhudia ukuaji hasi wa Uchumi mathalani Rwanda ilirekodi ukuaji hasi wa asilimia 3 & 6 huku Kenya wakishuhudia ukuaji hasi wa asilimia -2.1 robo ya pili ya mwaka 2021 wakati Tanzania chini ya Rais Samia Suluhu Hassan tulirekodi ukuaji Chanja wa asilimia 4.4,

Kuimarika kwa kasi kwa Utalii na uwekezaji mkubwa toka nje na kilimo vimetajwa kuwa ni sababu za kukua kwa kasi kwa Uchumi wa Tanzania hasa katika robo ya tatu ya mwaka 2021 uliofikia TZS 32 trilioni kutoka TZS 30.3 trilioni katika robo ya tatu ya mwaka 2020.

Katika robo ya tatu ( Q3 ) mwaka 2020 Tanzania ilipokea Jumla ya Watalii 72,147 pekee wakati katika kipindi kama hicho mwaka 2021 Tanzania imepokea Jumla ya Watalii 243,565 sawa na ongezeko la Watalii 171,418 ambao ni sawa na asilimia 338

Utalii katika robo hii ya tatu ( Q3 ) umechangia asilimia 18.1 kwenye Uchumi wa Taifa na hii inachagizwa zaidi utengenezaji wa "Royal Tour Film " itakayozinduliwa rasmi 22|04|2022 huku kilimo kikichangia asilimia 15,

View attachment 2069362
VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
Kazi iendelee kufanyika,
 
Mipango na utekelezaji

Screenshot_20220202-213301.png


Screenshot_20220202-213312.png


Screenshot_20220202-212405.png


Screenshot_20220202-212145.png


Screenshot_20220202-212156.png


Screenshot_20220202-211737.png


Screenshot_20220202-211553.png


Screenshot_20220202-210910.png


Screenshot_20220202-210930.png


Screenshot_20220202-210728.png
 
😆😆 Wivu huu sasa kama sio nongwa,wapike data Ili wavumbue nini?

Zama za Giza zimepita.Hebu angalia performance ya sekta ya Utalii yangu awamu ya 6 imeingia yaani ni ♨️♨️.

Au na hizi zimepikwa? 👇

View attachment 2096154

View attachment 2096155

View attachment 2096156

View attachment 2096157

View attachment 2096158

View attachment 2096159

View attachment 2096160

View attachment 2096161

View attachment 2096162

View attachment 2096163

View attachment 2096164

View attachment 2096165
Kazi nzuri sana Mama Samia,
 
Siku Tz ifikie tu hata uchumi wa Kenya, kuna watu mtatembea uchi huku mkisifia watawala waliopo

Eti 5.2, yaaani tathimini mjifanyie nyingi na mawazili na wakuu wa mikoa halafu useme tuko vizuri kiuchumi?

Umewahi fika vijijini wewe? Utatokwa machozi jinsi wananchi wanavyoshinda njaa siku nzima bila kula
Kwa kasi hii soon tunaufikia mkuu wangu
 

View attachment 2107390

====​

Rais Samia aifikisha Tanzania ukuaji wa Uchumi wa 5.2% kutoka 2.1%,Heko Tanzania,​


According to National Bureau of Statistics (NBS) Pato la Taifa yaani Tanzania Gross Domestic Product- GDP limekua kwa kasi ya ajabu katika kipindi hiki kifupi cha Rais Samia Suluhu Hassan,

Pato letu Watanzania limekua na kufikia asilimia 5.2 robo ya tatu ya mwaka kutoka asilimia 4.1 robo ya kwanza,

Mtakumbuka wakati Rais Samia Suluhu Hassan alipoingia madarakani yaani kuanzia tarehe 19|03|2021 ukuaji wa Pato la Taifa ulikuwa asilimia 4.1,

Kwa lughal rahisi tunaweza kusema Rais Samia Suluhu Hassan kwa miezi hii michache amekuza Pato la nchi kwa ukuaji "Chanya" wa Uchumi,

Rais Samia Suluhu amekuza uchumi wa Tanzania kwa asilimia 5.2 wakati huu huu ambao majirani zetu wengi wakishuhudia ukuaji "Hasi " wa Uchumi katika nchi zao,

Mtakumbuka,hali ilikuwa mbaya zaidi mwaka 2019 pale ambapo AfDB waliikadiria Tanzania Pato lake kushuka kutoka wastani wa ukuaji wa asilimia 7 hadi ukuaji wa asilimia 2.1 mwaka 2019|2020 na sababu ikiwa ni Covid 19,

Wakati huohuo baadhi ya nchi za Africa Mashariki walishuhudia ukuaji hasi wa Uchumi Tanzania chini ya Rais Samia mambo ni Safi,

Kwamfano,Rwanda ilirekodi ukuaji hasi wa asilimia 3 & 6 huku Kenya wao wakishuhudia ukuaji hasi wa asilimia 2.1 katika robo ya pili ya mwaka 2021,

Wakati wenzetu wakirekodi ukuaji hasi Tanzania chini ya Rais Samia Suluhu Hassan tulirekodi ukuaji Chanja wa asilimia 4.4 katika kipindi kama hicho,

Kuimarika kwa kasi kwa Utalii na uwekezaji mkubwa toka nje pamoja na kilimo vimetajwa kuwa ni sababu za kukua kwa kasi kwa Uchumi wa Tanzania hasa katika robo ya tatu ya mwaka 2021,

Ukuaji huu wa uchumi ulifikia TZS 32 trilioni kutoka TZS 30.3 trilioni katika robo ya tatu ya mwaka 2020.

Katika robo ya tatu ( Q3 ) mwaka 2020 Tanzania ilipokea Jumla ya Watalii 72,147 pekee,

Hali ni tofauti katika kipindi kama hicho mwaka 2021 kwani Tanzania imepokea Jumla ya Watalii 243,565 sawa na ongezeko la Watalii wapya 171,418 ambao ni sawa na asilimia 338

Utalii katika robo hii ya tatu ( Q3 ) umechangia asilimia 18.1 kwenye Uchumi wa Taifa na hii inachagizwa zaidi utengenezaji wa "Royal Tour Film " itakayozinduliwa rasmi 22|04|2022 huku kilimo kikichangia asilimia 15,
Mods muwe mnafuta nyuzi takataka Kama hizi,nyie mnaona Uchumi umekua wapi?
 

View attachment 2107390

====​

Rais Samia aifikisha Tanzania ukuaji wa Uchumi wa 5.2% kutoka 2.1%,Heko Tanzania,​


According to National Bureau of Statistics (NBS) Pato la Taifa yaani Tanzania Gross Domestic Product- GDP limekua kwa kasi ya ajabu katika kipindi hiki kifupi cha Rais Samia Suluhu Hassan,

Pato letu Watanzania limekua na kufikia asilimia 5.2 robo ya tatu ya mwaka kutoka asilimia 4.1 robo ya kwanza,

Mtakumbuka wakati Rais Samia Suluhu Hassan alipoingia madarakani yaani kuanzia tarehe 19|03|2021 ukuaji wa Pato la Taifa ulikuwa asilimia 4.1,

Kwa lughal rahisi tunaweza kusema Rais Samia Suluhu Hassan kwa miezi hii michache amekuza Pato la nchi kwa ukuaji "Chanya" wa Uchumi,

Rais Samia Suluhu amekuza uchumi wa Tanzania kwa asilimia 5.2 wakati huu huu ambao majirani zetu wengi wakishuhudia ukuaji "Hasi " wa Uchumi katika nchi zao,

Mtakumbuka,hali ilikuwa mbaya zaidi mwaka 2019 pale ambapo AfDB waliikadiria Tanzania Pato lake kushuka kutoka wastani wa ukuaji wa asilimia 7 hadi ukuaji wa asilimia 2.1 mwaka 2019|2020 na sababu ikiwa ni Covid 19,

Wakati huohuo baadhi ya nchi za Africa Mashariki walishuhudia ukuaji hasi wa Uchumi Tanzania chini ya Rais Samia mambo ni Safi,

Kwamfano,Rwanda ilirekodi ukuaji hasi wa asilimia 3 & 6 huku Kenya wao wakishuhudia ukuaji hasi wa asilimia 2.1 katika robo ya pili ya mwaka 2021,

Wakati wenzetu wakirekodi ukuaji hasi Tanzania chini ya Rais Samia Suluhu Hassan tulirekodi ukuaji Chanja wa asilimia 4.4 katika kipindi kama hicho,

Kuimarika kwa kasi kwa Utalii na uwekezaji mkubwa toka nje pamoja na kilimo vimetajwa kuwa ni sababu za kukua kwa kasi kwa Uchumi wa Tanzania hasa katika robo ya tatu ya mwaka 2021,

Ukuaji huu wa uchumi ulifikia TZS 32 trilioni kutoka TZS 30.3 trilioni katika robo ya tatu ya mwaka 2020.

Katika robo ya tatu ( Q3 ) mwaka 2020 Tanzania ilipokea Jumla ya Watalii 72,147 pekee,

Hali ni tofauti katika kipindi kama hicho mwaka 2021 kwani Tanzania imepokea Jumla ya Watalii 243,565 sawa na ongezeko la Watalii wapya 171,418 ambao ni sawa na asilimia 338

Utalii katika robo hii ya tatu ( Q3 ) umechangia asilimia 18.1 kwenye Uchumi wa Taifa na hii inachagizwa zaidi utengenezaji wa "Royal Tour Film " itakayozinduliwa rasmi 22|04|2022 huku kilimo kikichangia asilimia 15,
Baada ya blah blah hizi, tuelezee position ya Tanzania kwenye levels za uchumi wa dunia.

Pia tupe ukokotozi wa uchumi na mzunguko wa fedha.

Mwisho tuombe radhi kwa kutudanganya
 
Back
Top Bottom