Rais Samia Suluhu ashangaza wengi kasi ya Ukuaji Uchumi Tanzania

Asante mkuu Jf lazima tuheshimu kila mtu na tupishane kwa hoja tu kwani sote ni watanzania,

Ila Mama hajawahi kuniangusha mkuu wangu,

Hii nchi ilikuwa inaelelekea shimoni lazima tuwe wa kweli na Mungu atatubariki kwa ukweli wetu,
Kwa sasa ndio inaelekea kaburini kabisa! Watu wanateseka na njaa mitaani nyie mkikaa kwenye vyumba vyenye ac na kupewa posho mnahisi maisha ni mazuri kwa wote. Ipo siku kitatokea kitu cha kustaajabisha sana.

Mtaani vitu bei juu pesa haipatikani
 
CM 1774858. Kila siku yuko kwenye STK na nyumba ya bure na Kila mwezi kwenye ATM Kuchukua chake.
Namuangaliaga humu na ngonjera zake za mapambio! Unajua siku zote mwenye shibe humdharau mwenye njaa na mbaya zaidi humuona kama vile hana akili😅 ila ipo siku yaja watu wataamua tugawane mbao tu!

Naiombea sana hio siku ifike kabla sijaenda kwenye futi 6! Inachosha ifikie mahali wote tuone balaa zito ili tuweze kukaa katika vikao vya maridhiano. Ubinafsi ndo unatumaliza kabisa mkuu maana sikuhizi tatizo lako ni lako tu jamii inajifanya haina habari kabisa hasa wenye ahueni ya maisha wao wanaona mradi ada zinalipwa wanakula na kusaza wao inawatosha.
 
Namuangaliaga humu na ngonjera zake za mapambio! Unajua siku zote mwenye shibe humdharau mwenye njaa na mbaya zaidi humuona kama vile hana akili😅 ila ipo siku yaja watu wataamua tugawane mbao tu!

Naiombea sana hio siku ifike kabla sijaenda kwenye futi 6! Inachosha ifikie mahali wote tuone balaa zito ili tuweze kukaa katika vikao vya maridhiano. Ubinafsi ndo unatumaliza kabisa mkuu maana sikuhizi tatizo lako ni lako tu jamii inajifanya haina habari kabisa hasa wenye ahueni ya maisha wao wanaona mradi ada zinalipwa wanakula na kusaza wao inawatosha.
Haya mawazo ya kishetani Tanzania Mungu anailinda mno najua unalijua hili
 
awesomefully,

Niliwaambia huyu Mama atafanya maajabu makubwa sana Tanzania baadhi yenu hamkunielewa, Nadhani kwa sasa mmeanza kuelewa taratibu, Hongera Sana Mama Samia,
Kama tungempata Mama Samia miaka mitano iliyopita tungekuwa mbali sana
 
===
According to National Bureau of Statistics (NBS) Pato la Tanzania Tanzania Gross Domestic Product GDP limekua kwa kasi ya ajabu na kufikia asilimia 5.2 robo ya tatu ya mwaka kutoka asilimia 4.1 robo ya kwanza wakati Rais Samia Suluhu Hassan alipoingia madarakani yaani kuanzia tarehe 19|03|2021 takribani miezi tisa sasa,

Kwa lughal rahisi tunaweza kusema Rais Samia Suluhu Hassan kwa miezi hii michache amekuza Pato la nchi nzima kwa ukuaji "Chanya" wa Uchumi wa asilimia 5.2 wakati huu huu ambapo majirani zetu wakishuhudia ukuaji "Hasi " wa Uchumi wao,

Mtakumbuka,hali ilikuwa mbaya zaidi mwaka 2019 pale ambapo AfDB waliikadiria Tanzania Pato lake kushuka kutoka wastani wa ukuaji wa asilimia 7 hadi ukuaji wa asilimia 2.1 mwaka 2019|2020 na sababu ikiwa ni Covid 19,

Wakati huohuo baadhi ya nchi za Africa Mashariki walishuhudia ukuaji hasi wa Uchumi mathalani Rwanda ilirekodi ukuaji hasi wa asilimia 3 & 6 huku Kenya wakishuhudia ukuaji hasi wa asilimia -2.1 robo ya pili ya mwaka 2021 wakati Tanzania chini ya Rais Samia Suluhu Hassan tulirekodi ukuaji Chanja wa asilimia 4.4,

Kuimarika kwa kasi kwa Utalii na uwekezaji mkubwa toka nje na kilimo vimetajwa kuwa ni sababu za kukua kwa kasi kwa Uchumi wa Tanzania hasa katika robo ya tatu ya mwaka 2021 uliofikia TZS 32 trilioni kutoka TZS 30.3 trilioni katika robo ya tatu ya mwaka 2020.

Katika robo ya tatu ( Q3 ) mwaka 2020 Tanzania ilipokea Jumla ya Watalii 72,147 pekee wakati katika kipindi kama hicho mwaka 2021 Tanzania imepokea Jumla ya Watalii 243,565 sawa na ongezeko la Watalii 171,418 ambao ni sawa na asilimia 338

Utalii katika robo hii ya tatu ( Q3 ) umechangia asilimia 18.1 kwenye Uchumi wa Taifa na hii inachagizwa zaidi utengenezaji wa "Royal Tour Film " itakayozinduliwa rasmi 22|04|2022 huku kilimo kikichangia asilimia 15,


VIVA TANZANIA || VIVA SAMIA VIVA
Chawa
 
===
According to National Bureau of Statistics (NBS) Pato la Tanzania Tanzania Gross Domestic Product GDP limekua kwa kasi ya ajabu na kufikia asilimia 5.2 robo ya tatu ya mwaka kutoka asilimia 4.1 robo ya kwanza wakati Rais Samia Suluhu Hassan alipoingia madarakani yaani kuanzia tarehe 19|03|2021 takribani miezi tisa sasa,

Kwa lughal rahisi tunaweza kusema Rais Samia Suluhu Hassan kwa miezi hii michache amekuza Pato la nchi nzima kwa ukuaji "Chanya" wa Uchumi wa asilimia 5.2 wakati huu huu ambapo majirani zetu wakishuhudia ukuaji "Hasi " wa Uchumi wao,

Mtakumbuka,hali ilikuwa mbaya zaidi mwaka 2019 pale ambapo AfDB waliikadiria Tanzania Pato lake kushuka kutoka wastani wa ukuaji wa asilimia 7 hadi ukuaji wa asilimia 2.1 mwaka 2019|2020 na sababu ikiwa ni Covid 19,

Wakati huohuo baadhi ya nchi za Africa Mashariki walishuhudia ukuaji hasi wa Uchumi mathalani Rwanda ilirekodi ukuaji hasi wa asilimia 3 & 6 huku Kenya wakishuhudia ukuaji hasi wa asilimia -2.1 robo ya pili ya mwaka 2021 wakati Tanzania chini ya Rais Samia Suluhu Hassan tulirekodi ukuaji Chanja wa asilimia 4.4,

Kuimarika kwa kasi kwa Utalii na uwekezaji mkubwa toka nje na kilimo vimetajwa kuwa ni sababu za kukua kwa kasi kwa Uchumi wa Tanzania hasa katika robo ya tatu ya mwaka 2021 uliofikia TZS 32 trilioni kutoka TZS 30.3 trilioni katika robo ya tatu ya mwaka 2020.

Katika robo ya tatu ( Q3 ) mwaka 2020 Tanzania ilipokea Jumla ya Watalii 72,147 pekee wakati katika kipindi kama hicho mwaka 2021 Tanzania imepokea Jumla ya Watalii 243,565 sawa na ongezeko la Watalii 171,418 ambao ni sawa na asilimia 338

Utalii katika robo hii ya tatu ( Q3 ) umechangia asilimia 18.1 kwenye Uchumi wa Taifa na hii inachagizwa zaidi utengenezaji wa "Royal Tour Film " itakayozinduliwa rasmi 22|04|2022 huku kilimo kikichangia asilimia 15,


VIVA TANZANIA || VIVA SAMIA VIVA
 
Huwezi amini mimi ni mkulima tu huku maporini hata Mungu anajua Mimi sina cheo chochote ila ni Mzalendo sana kwa Taifa na Rais wangu,

#Vijana tuweni Wazalendo kwa nchi yetu na Rais wetu,
Unasemaje kuhusu kauli yake ya kuleni kwa urefu wa kamba yenu
 
Kama mambo ndio haya basi Tanzania kama kuna wakati tumepata Rais bora na wa kweli nadhani ni sasa,Tufanye kazi kwa bidii sana,

Hakika huyu Mama ni Mpango wa Mungu,

#WATANZANIA TUFANYE KAZI KWA BIDII
 
Hiyo principle ipo dunia nzima, Wewe unakula kulingana na nini?
Sikuelewi, na misifa unayommwagia mama humu kila siku kumbe wapo pale kupiga tuu na kwa baraka za mama, kama unaweza support Raisi wa namna hiyo utakuwa na matatizo na wewe pia
 
" Kwa mwendo huu Tanzania tutafika tunakotaka kwenda tena kwa kuwahi sana, Hongera Mama Samia, Watanzania tuko nyuma yako We chapa kazi achana na Wasio na jema "
 

Rais Samia aifikisha Tanzania ukuaji wa Uchumi wa 5.2% kutoka 2.1%,Heko Tanzania,​

According to National Bureau of Statistics (NBS) Pato la Tanzania Tanzania Gross Domestic Product GDP limekua kwa kasi ya ajabu na kufikia asilimia 5.2 robo ya tatu ya mwaka kutoka asilimia 4.1 robo ya kwanza wakati Rais Samia Suluhu Hassan alipoingia madarakani yaani kuanzia tarehe 19|03|2021 takribani miezi tisa sasa,

Kwa lughal rahisi tunaweza kusema Rais Samia Suluhu Hassan kwa miezi hii michache amekuza Pato la nchi nzima kwa ukuaji "Chanya" wa Uchumi wa asilimia 5.2 wakati huu huu ambapo majirani zetu wakishuhudia ukuaji "Hasi " wa Uchumi wao,

Mtakumbuka,hali ilikuwa mbaya zaidi mwaka 2019 pale ambapo AfDB waliikadiria Tanzania Pato lake kushuka kutoka wastani wa ukuaji wa asilimia 7 hadi ukuaji wa asilimia 2.1 mwaka 2019|2020 na sababu ikiwa ni Covid 19,

Wakati huohuo baadhi ya nchi za Africa Mashariki walishuhudia ukuaji hasi wa Uchumi mathalani Rwanda ilirekodi ukuaji hasi wa asilimia 3 & 6 huku Kenya wakishuhudia ukuaji hasi wa asilimia -2.1 robo ya pili ya mwaka 2021 wakati Tanzania chini ya Rais Samia Suluhu Hassan tulirekodi ukuaji Chanja wa asilimia 4.4,

Kuimarika kwa kasi kwa Utalii na uwekezaji mkubwa toka nje na kilimo vimetajwa kuwa ni sababu za kukua kwa kasi kwa Uchumi wa Tanzania hasa katika robo ya tatu ya mwaka 2021 uliofikia TZS 32 trilioni kutoka TZS 30.3 trilioni katika robo ya tatu ya mwaka 2020.

Katika robo ya tatu ( Q3 ) mwaka 2020 Tanzania ilipokea Jumla ya Watalii 72,147 pekee wakati katika kipindi kama hicho mwaka 2021 Tanzania imepokea Jumla ya Watalii 243,565 sawa na ongezeko la Watalii 171,418 ambao ni sawa na asilimia 338

Utalii katika robo hii ya tatu ( Q3 ) umechangia asilimia 18.1 kwenye Uchumi wa Taifa na hii inachagizwa zaidi utengenezaji wa "Royal Tour Film " itakayozinduliwa rasmi 22|04|2022 huku kilimo kikichangia asilimia 15,

View attachment 2069362
VIVA TANZANIA || VIVA SAMIA VIVA
Kaziiendelee Tanzania na Rais Samia
 

Similar Discussions

18 Reactions
Reply
Back
Top Bottom