Rais Samia Suluhu ashangaza wengi kasi ya Ukuaji Uchumi Tanzania

View attachment 2107390

====​

Rais Samia aifikisha Tanzania ukuaji wa Uchumi wa 5.2% kutoka 2.1%,Heko Tanzania,​


According to National Bureau of Statistics (NBS) Pato la Taifa yaani Tanzania Gross Domestic Product- GDP limekua kwa kasi ya ajabu katika kipindi hiki kifupi cha Rais Samia Suluhu Hassan,

Pato letu Watanzania limekua na kufikia asilimia 5.2 robo ya tatu ya mwaka kutoka asilimia 4.1 robo ya kwanza,

Mtakumbuka wakati Rais Samia Suluhu Hassan alipoingia madarakani yaani kuanzia tarehe 19|03|2021 ukuaji wa Pato la Taifa ulikuwa asilimia 4.1,

Kwa lughal rahisi tunaweza kusema Rais Samia Suluhu Hassan kwa miezi hii michache amekuza Pato la nchi kwa ukuaji "Chanya" wa Uchumi,

Rais Samia Suluhu amekuza uchumi wa Tanzania kwa asilimia 5.2 wakati huu huu ambao majirani zetu wengi wakishuhudia ukuaji "Hasi " wa Uchumi katika nchi zao,

Mtakumbuka,hali ilikuwa mbaya zaidi mwaka 2019 pale ambapo AfDB waliikadiria Tanzania Pato lake kushuka kutoka wastani wa ukuaji wa asilimia 7 hadi ukuaji wa asilimia 2.1 mwaka 2019|2020 na sababu ikiwa ni Covid 19,

Wakati huohuo baadhi ya nchi za Africa Mashariki walishuhudia ukuaji hasi wa Uchumi Tanzania chini ya Rais Samia mambo ni Safi,

Kwamfano,Rwanda ilirekodi ukuaji hasi wa asilimia 3 & 6 huku Kenya wao wakishuhudia ukuaji hasi wa asilimia 2.1 katika robo ya pili ya mwaka 2021,

Wakati wenzetu wakirekodi ukuaji hasi Tanzania chini ya Rais Samia Suluhu Hassan tulirekodi ukuaji Chanja wa asilimia 4.4 katika kipindi kama hicho,

Kuimarika kwa kasi kwa Utalii na uwekezaji mkubwa toka nje pamoja na kilimo vimetajwa kuwa ni sababu za kukua kwa kasi kwa Uchumi wa Tanzania hasa katika robo ya tatu ya mwaka 2021,

Ukuaji huu wa uchumi ulifikia TZS 32 trilioni kutoka TZS 30.3 trilioni katika robo ya tatu ya mwaka 2020.

Katika robo ya tatu ( Q3 ) mwaka 2020 Tanzania ilipokea Jumla ya Watalii 72,147 pekee,

Hali ni tofauti katika kipindi kama hicho mwaka 2021 kwani Tanzania imepokea Jumla ya Watalii 243,565 sawa na ongezeko la Watalii wapya 171,418 ambao ni sawa na asilimia 338

Utalii katika robo hii ya tatu ( Q3 ) umechangia asilimia 18.1 kwenye Uchumi wa Taifa na hii inachagizwa zaidi utengenezaji wa "Royal Tour Film " itakayozinduliwa rasmi 22|04|2022 huku kilimo kikichangia asilimia 15,
Tunakukubali Sana Mama yetu, Chapa kazi Mungu atakuwa na wewe,
 
Hiyo principle ipo dunia nzima, Wewe unakula kulingana na nini?

A2828746-6237-489F-AD76-C2046773AEBE.jpeg
 
Namuangaliaga humu na ngonjera zake za mapambio! Unajua siku zote mwenye shibe humdharau mwenye njaa na mbaya zaidi humuona kama vile hana akili😅 ila ipo siku yaja watu wataamua tugawane mbao tu!

Naiombea sana hio siku ifike kabla sijaenda kwenye futi 6! Inachosha ifikie mahali wote tuone balaa zito ili tuweze kukaa katika vikao vya maridhiano. Ubinafsi ndo unatumaliza kabisa mkuu maana sikuhizi tatizo lako ni lako tu jamii inajifanya haina habari kabisa hasa wenye ahueni ya maisha wao wanaona mradi ada zinalipwa wanakula na kusaza wao inawatosha.

C57BDAD3-A7C4-4EAE-A708-E17ED4818BF7.jpeg
 
Kwa sasa ndio inaelekea kaburini kabisa! Watu wanateseka na njaa mitaani nyie mkikaa kwenye vyumba vyenye ac na kupewa posho mnahisi maisha ni mazuri kwa wote. Ipo siku kitatokea kitu cha kustaajabisha sana.

Mtaani vitu bei juu pesa haipatikani
Uchochezi
 

View attachment 2107390

====​

Rais Samia aifikisha Tanzania ukuaji wa Uchumi wa 5.2% kutoka 2.1%,Heko Tanzania,​


According to National Bureau of Statistics (NBS) Pato la Taifa yaani Tanzania Gross Domestic Product- GDP limekua kwa kasi ya ajabu katika kipindi hiki kifupi cha Rais Samia Suluhu Hassan,

Pato letu Watanzania limekua na kufikia asilimia 5.2 robo ya tatu ya mwaka kutoka asilimia 4.1 robo ya kwanza,

Mtakumbuka wakati Rais Samia Suluhu Hassan alipoingia madarakani yaani kuanzia tarehe 19|03|2021 ukuaji wa Pato la Taifa ulikuwa asilimia 4.1,

Kwa lughal rahisi tunaweza kusema Rais Samia Suluhu Hassan kwa miezi hii michache amekuza Pato la nchi kwa ukuaji "Chanya" wa Uchumi,

Rais Samia Suluhu amekuza uchumi wa Tanzania kwa asilimia 5.2 wakati huu huu ambao majirani zetu wengi wakishuhudia ukuaji "Hasi " wa Uchumi katika nchi zao,

Mtakumbuka,hali ilikuwa mbaya zaidi mwaka 2019 pale ambapo AfDB waliikadiria Tanzania Pato lake kushuka kutoka wastani wa ukuaji wa asilimia 7 hadi ukuaji wa asilimia 2.1 mwaka 2019|2020 na sababu ikiwa ni Covid 19,

Wakati huohuo baadhi ya nchi za Africa Mashariki walishuhudia ukuaji hasi wa Uchumi Tanzania chini ya Rais Samia mambo ni Safi,

Kwamfano,Rwanda ilirekodi ukuaji hasi wa asilimia 3 & 6 huku Kenya wao wakishuhudia ukuaji hasi wa asilimia 2.1 katika robo ya pili ya mwaka 2021,

Wakati wenzetu wakirekodi ukuaji hasi Tanzania chini ya Rais Samia Suluhu Hassan tulirekodi ukuaji Chanja wa asilimia 4.4 katika kipindi kama hicho,

Kuimarika kwa kasi kwa Utalii na uwekezaji mkubwa toka nje pamoja na kilimo vimetajwa kuwa ni sababu za kukua kwa kasi kwa Uchumi wa Tanzania hasa katika robo ya tatu ya mwaka 2021,

Ukuaji huu wa uchumi ulifikia TZS 32 trilioni kutoka TZS 30.3 trilioni katika robo ya tatu ya mwaka 2020.

Katika robo ya tatu ( Q3 ) mwaka 2020 Tanzania ilipokea Jumla ya Watalii 72,147 pekee,

Hali ni tofauti katika kipindi kama hicho mwaka 2021 kwani Tanzania imepokea Jumla ya Watalii 243,565 sawa na ongezeko la Watalii wapya 171,418 ambao ni sawa na asilimia 338

Utalii katika robo hii ya tatu ( Q3 ) umechangia asilimia 18.1 kwenye Uchumi wa Taifa na hii inachagizwa zaidi utengenezaji wa "Royal Tour Film " itakayozinduliwa rasmi 22|04|2022 huku kilimo kikichangia asilimia 15,
Watalii 243,565 walikuja kwa ungoo??? Hatuna detail za ndege zilizowaleta watalii hao,,, mtoaji uongo huu unaweza kutuambia ni ndege ngapi na za ukubwa gani ziliwaleta hao watalii au wengine walikuja kwa miguu??
 

View attachment 2107390

====​

Rais Samia aifikisha Tanzania ukuaji wa Uchumi wa 5.2% kutoka 2.1%,Heko Tanzania,​


According to National Bureau of Statistics (NBS) Pato la Taifa yaani Tanzania Gross Domestic Product- GDP limekua kwa kasi ya ajabu katika kipindi hiki kifupi cha Rais Samia Suluhu Hassan,

Pato letu Watanzania limekua na kufikia asilimia 5.2 robo ya tatu ya mwaka kutoka asilimia 4.1 robo ya kwanza,

Mtakumbuka wakati Rais Samia Suluhu Hassan alipoingia madarakani yaani kuanzia tarehe 19|03|2021 ukuaji wa Pato la Taifa ulikuwa asilimia 4.1,

Kwa lughal rahisi tunaweza kusema Rais Samia Suluhu Hassan kwa miezi hii michache amekuza Pato la nchi kwa ukuaji "Chanya" wa Uchumi,

Rais Samia Suluhu amekuza uchumi wa Tanzania kwa asilimia 5.2 wakati huu huu ambao majirani zetu wengi wakishuhudia ukuaji "Hasi " wa Uchumi katika nchi zao,

Mtakumbuka,hali ilikuwa mbaya zaidi mwaka 2019 pale ambapo AfDB waliikadiria Tanzania Pato lake kushuka kutoka wastani wa ukuaji wa asilimia 7 hadi ukuaji wa asilimia 2.1 mwaka 2019|2020 na sababu ikiwa ni Covid 19,

Wakati huohuo baadhi ya nchi za Africa Mashariki walishuhudia ukuaji hasi wa Uchumi Tanzania chini ya Rais Samia mambo ni Safi,

Kwamfano,Rwanda ilirekodi ukuaji hasi wa asilimia 3 & 6 huku Kenya wao wakishuhudia ukuaji hasi wa asilimia 2.1 katika robo ya pili ya mwaka 2021,

Wakati wenzetu wakirekodi ukuaji hasi Tanzania chini ya Rais Samia Suluhu Hassan tulirekodi ukuaji Chanja wa asilimia 4.4 katika kipindi kama hicho,

Kuimarika kwa kasi kwa Utalii na uwekezaji mkubwa toka nje pamoja na kilimo vimetajwa kuwa ni sababu za kukua kwa kasi kwa Uchumi wa Tanzania hasa katika robo ya tatu ya mwaka 2021,

Ukuaji huu wa uchumi ulifikia TZS 32 trilioni kutoka TZS 30.3 trilioni katika robo ya tatu ya mwaka 2020.

Katika robo ya tatu ( Q3 ) mwaka 2020 Tanzania ilipokea Jumla ya Watalii 72,147 pekee,

Hali ni tofauti katika kipindi kama hicho mwaka 2021 kwani Tanzania imepokea Jumla ya Watalii 243,565 sawa na ongezeko la Watalii wapya 171,418 ambao ni sawa na asilimia 338

Utalii katika robo hii ya tatu ( Q3 ) umechangia asilimia 18.1 kwenye Uchumi wa Taifa na hii inachagizwa zaidi utengenezaji wa "Royal Tour Film " itakayozinduliwa rasmi 22|04|2022 huku kilimo kikichangia asilimia 15,
Kipimo cha kukua kwa uchumi ni kuangalia maisha ya watu wako tu? Ukiona bado wananchi wako wanasaka mlo 1 wa chakula jua uchumi umekuwa kwa ndani ya makaratasi tu
 

View attachment 2107390

====​

Rais Samia aifikisha Tanzania ukuaji wa Uchumi wa 5.2% kutoka 2.1%,Heko Tanzania,​


According to National Bureau of Statistics (NBS) Pato la Taifa yaani Tanzania Gross Domestic Product- GDP limekua kwa kasi ya ajabu katika kipindi hiki kifupi cha Rais Samia Suluhu Hassan,

Pato letu Watanzania limekua na kufikia asilimia 5.2 robo ya tatu ya mwaka kutoka asilimia 4.1 robo ya kwanza,

Mtakumbuka wakati Rais Samia Suluhu Hassan alipoingia madarakani yaani kuanzia tarehe 19|03|2021 ukuaji wa Pato la Taifa ulikuwa asilimia 4.1,

Kwa lughal rahisi tunaweza kusema Rais Samia Suluhu Hassan kwa miezi hii michache amekuza Pato la nchi kwa ukuaji "Chanya" wa Uchumi,

Rais Samia Suluhu amekuza uchumi wa Tanzania kwa asilimia 5.2 wakati huu huu ambao majirani zetu wengi wakishuhudia ukuaji "Hasi " wa Uchumi katika nchi zao,

Mtakumbuka,hali ilikuwa mbaya zaidi mwaka 2019 pale ambapo AfDB waliikadiria Tanzania Pato lake kushuka kutoka wastani wa ukuaji wa asilimia 7 hadi ukuaji wa asilimia 2.1 mwaka 2019|2020 na sababu ikiwa ni Covid 19,

Wakati huohuo baadhi ya nchi za Africa Mashariki walishuhudia ukuaji hasi wa Uchumi Tanzania chini ya Rais Samia mambo ni Safi,

Kwamfano,Rwanda ilirekodi ukuaji hasi wa asilimia 3 & 6 huku Kenya wao wakishuhudia ukuaji hasi wa asilimia 2.1 katika robo ya pili ya mwaka 2021,

Wakati wenzetu wakirekodi ukuaji hasi Tanzania chini ya Rais Samia Suluhu Hassan tulirekodi ukuaji Chanja wa asilimia 4.4 katika kipindi kama hicho,

Kuimarika kwa kasi kwa Utalii na uwekezaji mkubwa toka nje pamoja na kilimo vimetajwa kuwa ni sababu za kukua kwa kasi kwa Uchumi wa Tanzania hasa katika robo ya tatu ya mwaka 2021,

Ukuaji huu wa uchumi ulifikia TZS 32 trilioni kutoka TZS 30.3 trilioni katika robo ya tatu ya mwaka 2020.

Katika robo ya tatu ( Q3 ) mwaka 2020 Tanzania ilipokea Jumla ya Watalii 72,147 pekee,

Hali ni tofauti katika kipindi kama hicho mwaka 2021 kwani Tanzania imepokea Jumla ya Watalii 243,565 sawa na ongezeko la Watalii wapya 171,418 ambao ni sawa na asilimia 338

Utalii katika robo hii ya tatu ( Q3 ) umechangia asilimia 18.1 kwenye Uchumi wa Taifa na hii inachagizwa zaidi utengenezaji wa "Royal Tour Film " itakayozinduliwa rasmi 22|04|2022 huku kilimo kikichangia asilimia 15,
Kazi iendelee, Tanzania iko vizuri Sana,
 
Back
Top Bottom