Rais Samia Suluhu aongeza bajeti kwa asilimia 230 Ujenzi wa JN-HPP

JPM alikuwa muafaka kwa kipindi kile. Ndio maana alikuwa Rais. Uzuri ni kuwa kila mtu anaruhusiwa kuitazama dunia na mambo yake, vile anavyoona inafaa.
Kwenye maendeleo na kutuvuruga vichwa ili tufikirie maendeleo, he was the man. Kudai kodi...siasa za mbadala...he wasn't meant for that 😂 😂 😂 😂 😂

Kwa hiyo mkuu una maana we are better off without him?
 
Tuombe Uzima nitakukera sana,


#KAZI IENDELEE KWA KASI &WELEDI ZAIDI
Ni kweli naona na kibaraka February Marope ameshaanza kujipendekeza kwa wanaume wa USA na Uholanzi ili waje kufanya upumbavu uliomtoa Lowassa kwenye kiti mnamo mwaka 2007!

Wacha tuendelee kutafuna popcorn taratibu! Dowans & Richmond Season 2 iko njiani!
 
Hakika....

Jukumu hilo anaendelea kulifanya mh.SSH....

Ndani ya MUDA mfupi amewapa fedha Arab Contractors kuukamilisha huo mradi wa Mwalimu Nyerere......

Ndani ya MUDA mfupi tu amewapandisha madaraja watumishi wa umma baada ya miaka 6 kupita.....

Ndani ya MUDA mfupi mno amefuta tozo ya "RETENTION FEE" 6% kwa wanufaika wa bodi ya mikopo ya elimu ya juu(HESLB)......

Ndani ya MUDA mfupi mno AMEWAAHIDI NYONGEZA ZA MISHAHARA kwa wafanyakazi ifikapo mwaka wa fedha 2022-2023(fiscal year).........

Ndani ya MUDA mfupi amewakumbusha MAHAKAMA kuharakisha michakato ya maamuzi ya kesi kuanzia mahakama za mwanzo mpaka mahakama ya rufani......

SIEMPRE JMT
Safi sana mkuu wangu
 

Ujenzi wa JNHPP na Usambazaji wa umeme Rais Samia aongeza bajeti kwa 230% kutoka TZS 1.01T FY2020|22 hadi TZS 2.34T FY2021|22 mnaoshangaa endeleeni kushangaa,​


" Hakuna kama Samia "​


Lengo la Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan ifikapo mwaka 2026 Tanzania iwe na umeme wa Uhakika unaofikia Jumla ya 5,000MW hapa anamaanisha tunakwenda kuwa electricity donor country hakika Watanzania kesho yetu ni bora sana kuliko leo,

Sote tunafahamu mahitaji ya Umeme Tanzania yanaongezeka siku hata siku kwa mfano mwaka 2020 mahitaji ya Umeme yalikuwa 1,151.66MW lakini hadi kufikia mwezi May 2021 mahitaji ya Umeme yalifikia 1,183.28MW sawa na ongezeko la 3% kwa mwaka. Lakini pia, kwa mwaka huku umeme wetu umetajwa kuwa ndio umeme wenye bei chee zaidi African ya Mashariki kwani tunauuza kwa $0.099/KWh,Kwahakika Tanzania ya Rais Samia ni raha sana natutegemee bei hii kushuka zaidi baada ya JNHPP kukamilika,

Faida ya mradi huu sio umeme tu kwani tayari mradi huu pia umeajiri Jumla ya wafanyakazi 7,243 huku wazawa wakiwa ni 6,452 na wageni ni 791,Mradi huu utakapokamilika unatarajiwa kuzalisha Jumla ya MW 2,115 kamwe tusiache kumwomba Mungu,

Mpaka Rais Samia Suluhu Hassan anaingia madarakani ni 38% tu ya fedha zote za mradi huu wa Tshs 6.55trilioni ndio zilikuwa zimelipwa kwa mkandarasi ambayo jumla yake ni Tshs 2.495trilioni sawa na Pungufu ya Tshs 4.055trilioni, Hii ni sawa na kusema Rais Samia Suluhu Hassan hadi mwisho wa mradi huu atakuwa ameujenga mradi kwa 62%,Hakika Mama huyu anastahili pongezi sana kwa kiwango hiki cha kizalendo kwa nchi yake,

Zikiwa zimesalia miezi kumi ( 10 ) tu kumalizika kwa mkataba huu Rais Samia Suluhu Hassan kupitia bajeti yake hii ya kwanza tayari ameshatenga 58% ya deni lote lililosalia kwani ametoa Tshs 2.34trilioni kwaajili ya usambazaji wa umeme na ukamilishaji wa mradi huu wa JNHPP,Pesa hii ni sawa na pesa yote iliyotolewa tangu kuanza kwa mradi huu wa JNHPP,Unaweza kusema "Bajeti moja ya Rais Samia kwenye usambazaji wa umeme na ujenzi wa JNHPP ni sawa na bajeti zote zilizotolewa kujenga JNHPP tangu ianze May 2019 " Watanzania,Kama kuna mtu wa kuombewa kwa nguvu kubwa kwa sasa basi ni Rais Samia Suluhu Hassan


Hakuna kama Samia
 
Mkuu, tutegemee vipi Bei ya umeme kushuka ili Hali hata mradi utakuwa bado haujaanza kutulipa ( payback period)?. Ningependa ueleze theory behind itakayopelekea bei ya umeme kushuka baada ya mradi kuanza kufanya kazi.

Shukrani.
 
🤣🤣 Ha ha ha

Huo mradi unakwenda kukamilika haraka mno....mwezi wa 7 serikali imewapa TRILIONI 2.5 Arab Contractors Kati ya TRILIONI 6.5 za kuukamilisha mradi....mhandisi mkazi Mushubila Kamuhabwa anasema kuwa WAMESHAKAMILISHA HATUA ZOTE 8 kuuendea huo mradi....

Kufikia Juni 2022 Arab Contractors wataukamilisha wote 💪
Jiongopeeni tu😂😂😂
 

Ujenzi wa JNHPP na Usambazaji wa umeme Rais Samia aongeza bajeti kwa 230% kutoka TZS 1.01T FY2020|22 hadi TZS 2.34T FY2021|22 mnaoshangaa endeleeni kushangaa,​


" Hakuna kama Samia "​


Lengo la Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan ifikapo mwaka 2026 Tanzania iwe na umeme wa Uhakika unaofikia Jumla ya 5,000MW hapa anamaanisha tunakwenda kuwa electricity donor country hakika Watanzania kesho yetu ni bora sana kuliko leo,

Sote tunafahamu mahitaji ya Umeme Tanzania yanaongezeka siku hata siku kwa mfano mwaka 2020 mahitaji ya Umeme yalikuwa 1,151.66MW lakini hadi kufikia mwezi May 2021 mahitaji ya Umeme yalifikia 1,183.28MW sawa na ongezeko la 3% kwa mwaka. Lakini pia, kwa mwaka huku umeme wetu umetajwa kuwa ndio umeme wenye bei chee zaidi African ya Mashariki kwani tunauuza kwa $0.099/KWh,Kwahakika Tanzania ya Rais Samia ni raha sana natutegemee bei hii kushuka zaidi baada ya JNHPP kukamilika,

Faida ya mradi huu sio umeme tu kwani tayari mradi huu pia umeajiri Jumla ya wafanyakazi 7,243 huku wazawa wakiwa ni 6,452 na wageni ni 791,Mradi huu utakapokamilika unatarajiwa kuzalisha Jumla ya MW 2,115 kamwe tusiache kumwomba Mungu,

Mpaka Rais Samia Suluhu Hassan anaingia madarakani ni 38% tu ya fedha zote za mradi huu wa Tshs 6.55trilioni ndio zilikuwa zimelipwa kwa mkandarasi ambayo jumla yake ni Tshs 2.495trilioni sawa na Pungufu ya Tshs 4.055trilioni, Hii ni sawa na kusema Rais Samia Suluhu Hassan hadi mwisho wa mradi huu atakuwa ameujenga mradi kwa 62%,Hakika Mama huyu anastahili pongezi sana kwa kiwango hiki cha kizalendo kwa nchi yake,

Zikiwa zimesalia miezi kumi ( 10 ) tu kumalizika kwa mkataba huu Rais Samia Suluhu Hassan kupitia bajeti yake hii ya kwanza tayari ameshatenga 58% ya deni lote lililosalia kwani ametoa Tshs 2.34trilioni kwaajili ya usambazaji wa umeme na ukamilishaji wa mradi huu wa JNHPP,Pesa hii ni sawa na pesa yote iliyotolewa tangu kuanza kwa mradi huu wa JNHPP,Unaweza kusema "Bajeti moja ya Rais Samia kwenye usambazaji wa umeme na ujenzi wa JNHPP ni sawa na bajeti zote zilizotolewa kujenga JNHPP tangu ianze May 2019 " Watanzania,Kama kuna mtu wa kuombewa kwa nguvu kubwa kwa sasa basi ni Rais Samia Suluhu Hassan


Umeharibu kumuweka Kikwete hapa, huyu si rais wa maana na hatakiwi kukumbukwa kwa chochote kile hapa nchini
 
Hivi kwanini tusiwaze kukamilisha bwawa letu la Nyerere ili tuuze umeme nchi za nje??????

Haya maswali jiulizeni wakuu. Yaani hivi ni kwanini tusiwaze kukamilisha bwawa letu la Nyerere ili tuuze umeme nchi za nje?????
 
Umeharibu kumuweka Kikwete hapa, huyu si rais wa maana na hatakiwi kukumbukwa kwa chochote kile hapa nchini
Duh kwa nini Kikwete asiwekwe? Ni kweli hatakiwi kukumbukwa kwa lolote?

Unataka kumkumbuka DIKTETA wa Chato tu kwa kuua akina Ben Saanane?
 
Hivi kwanini tusiwaze kukamilisha bwawa letu la Nyerere ili tuuze umeme nchi za nje??????

Haya maswali jiulizeni wakuu. Yaani hivi ni kwanini tusiwaze kukamilisha bwawa letu la Nyerere ili tuuze umeme nchi za nje?????
Wahenga walisema, "kuishi karibu na bahari au mto, siyo kujua kupiga mbizi"

Ona sasa zaidi ya miaka 60 ya uhuru tunajifariji tu kuwa TZ ina rasilimali tele, kumbe ni changa la macho tu kwa wanyonge lakini wanaokula keki ya nchi ni 0.001%.....
 
Back
Top Bottom