JPM alikuwa muafaka kwa kipindi kile. Ndio maana alikuwa Rais. Uzuri ni kuwa kila mtu anaruhusiwa kuitazama dunia na mambo yake, vile anavyoona inafaa.
Kwenye maendeleo na kutuvuruga vichwa ili tufikirie maendeleo, he was the man. Kudai kodi...siasa za mbadala...he wasn't meant for that 😂 😂 😂 😂 😂
Kwa hiyo mkuu una maana we are better off without him?