Rais Samia Suluhu aongeza bajeti kwa asilimia 230 Ujenzi wa JN-HPP

Tatizo liko wapi?
Mambo kama haya huonekana no mama kaamua pekee kumbe Kuna cabinet kubwa nyuma take, akifanya poa inaomekana mama kafanya POA ila akizingua somewhere itaonekana jau Zaid,zingatia ishu ya mikopo ilivokuwa...napendekeza tutumie serikali ime na sio mama ame
 
Mambo kama haya huonekana no mama kaamua pekee kumbe Kuna cabinet kubwa nyuma take, akifanya poa inaomekana mama kafanya POA ila akizingua somewhere itaonekana jau Zaid,zingatia ishu ya mikopo ilivokuwa...napendekeza tutumie serikali ime na sio mama ame
Sawa ila maana ni ileile mkuu wangu
 

Ujenzi wa bwawa la JNHPP pamoja na Usambazaji wa umeme vijijini Rais Samia ameongeza bajeti kwa 230% kutoka TZS 1.01T FY2020|21 hadi TZS 2.34T FY2021|22,


" Hakuna kama Samia "


Lengo la Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan ifikapo mwaka 2026 Tanzania iwe na umeme wa Uhakika unaofikia Jumla ya 5,000MW hapa anamaanisha tunakwenda kuwa electricity donor country hakika Watanzania kesho yetu ni bora sana kuliko leo,
===
Sote tunafahamu mahitaji ya Umeme Tanzania yanaongezeka siku hata siku kwa mfano mwaka 2020 mahitaji ya Umeme yalikuwa 1,151.66MW lakini hadi kufikia mwezi mei 2021 mahitaji ya Umeme yalifikia 1,183.28MW sawa na ongezeko la 3% kwa mwaka.

===
Lakini pia, kwa mwaka huku umeme wetu umetajwa kuwa ndio umeme wenye bei chee zaidi African ya Mashariki kwani tunauuza kwa $0.099/KWh,Kwahakika Tanzania ya Rais Samia ni raha natutegemee bei hii kushuka zaidi baada ya JNHPP kukamilika na kuanza kufanya kazi,
===
Faida ya mradi huu sio umeme tu hata utekelezaji wa Ilani ya CCM ya 2020|25 ya kuzalisha ajira 8M ifikapo 2025 kwani tayari mradi huu umeajiri Jumla ya wafanyakazi 7,243 wazawa wakiwa ni 6,452 na wageni ni 791,Mradi huu utakapokamilika unatarajiwa kuzalisha Jumla ya MW 2,115 kamwe tusiache kumwomba Mungu,
===
Mpaka Rais Samia Suluhu Hassan anaingia madarakani ni 38% tu ya fedha zote za mradi huu wa Tshs 6.55trilioni ndio zilikuwa zimelipwa kwa mkandarasi ambayo Jumla yake ni Tshs 2.495trilioni sawa na Pungufu ya Tshs 4.055trilioni,

===
Hii ni sawa na kusema Rais Samia Suluhu Hassan hadi mwisho wa mradi huu atakuwa ameujenga mradi kwa zaidi ya 62%,Hakika Mama huyu anastahili pongezi sana kwa kiwango hiki cha kizalendo kwa nchi yake,
===
Zikiwa zimesalia miezi kumi ( 10 ) tu kumalizika kwa mkataba huu Rais Samia Suluhu Hassan kupitia bajeti yake hii ya kwanza tayari ameshatenga 58% ya deni lote lililosalia kwani ametoa Tshs 2.34trilioni kwaajili ya usambazaji wa umeme na ukamilishaji wa mradi huu wa JNHPP,

===
Pesa hii ni sawa na pesa yote iliyotolewa tangu kuanza kwa mradi huu wa JNHPP, Unaweza kusema "Bajeti moja ya Rais Samia kwenye usambazaji wa umeme na ujenzi wa JNHPP ni sawa na bajeti zote zilizotolewa kujenga JNHPP tangu ianze Mei 2019 " Watanzania,Kama kuna mtu wa kuombewa kwa nguvu kubwa kwa sasa basi ni Rais Samia Suluhu Hassan.



|
RAIS SAMIA SULUHU HASSAN YUKO BEGA KWA BEGA NA VIONGOZI WALIOMTANGULIA|

awesome
 
Tatizo lako wengi wanakurekebisha ila unashupaza singo ukijua mama anacheka na kufurahi akisoma hizi maandishi yako kumbe oo1.
Wewe unatakaje mkuu, Unataka nikae kimya kama wewe?

Siku wewe CHADEMA ukinishauri nikafanya unavyotaka jua sitaandika tena chochote hapa JF,
 

Ujenzi wa bwawa la JNHPP pamoja na Usambazaji wa umeme vijijini Rais Samia ameongeza bajeti kwa 230% kutoka TZS 1.01T FY2020|21 hadi TZS 2.34T FY2021|22,


" Hakuna kama Samia "


Lengo la Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan ifikapo mwaka 2026 Tanzania iwe na umeme wa Uhakika unaofikia Jumla ya 5,000MW hapa anamaanisha tunakwenda kuwa electricity donor country hakika Watanzania kesho yetu ni bora sana kuliko leo,
===
Sote tunafahamu mahitaji ya Umeme Tanzania yanaongezeka siku hata siku kwa mfano mwaka 2020 mahitaji ya Umeme yalikuwa 1,151.66MW lakini hadi kufikia mwezi mei 2021 mahitaji ya Umeme yalifikia 1,183.28MW sawa na ongezeko la 3% kwa mwaka.

===
Lakini pia, kwa mwaka huku umeme wetu umetajwa kuwa ndio umeme wenye bei chee zaidi African ya Mashariki kwani tunauuza kwa $0.099/KWh,Kwahakika Tanzania ya Rais Samia ni raha natutegemee bei hii kushuka zaidi baada ya JNHPP kukamilika na kuanza kufanya kazi,
===
Faida ya mradi huu sio umeme tu hata utekelezaji wa Ilani ya CCM ya 2020|25 ya kuzalisha ajira 8M ifikapo 2025 kwani tayari mradi huu umeajiri Jumla ya wafanyakazi 7,243 wazawa wakiwa ni 6,452 na wageni ni 791,Mradi huu utakapokamilika unatarajiwa kuzalisha Jumla ya MW 2,115 kamwe tusiache kumwomba Mungu,
===
Mpaka Rais Samia Suluhu Hassan anaingia madarakani ni 38% tu ya fedha zote za mradi huu wa Tshs 6.55trilioni ndio zilikuwa zimelipwa kwa mkandarasi ambayo Jumla yake ni Tshs 2.495trilioni sawa na Pungufu ya Tshs 4.055trilioni,

===
Hii ni sawa na kusema Rais Samia Suluhu Hassan hadi mwisho wa mradi huu atakuwa ameujenga mradi kwa zaidi ya 62%,Hakika Mama huyu anastahili pongezi sana kwa kiwango hiki cha kizalendo kwa nchi yake,
===
Zikiwa zimesalia miezi kumi ( 10 ) tu kumalizika kwa mkataba huu Rais Samia Suluhu Hassan kupitia bajeti yake hii ya kwanza tayari ameshatenga 58% ya deni lote lililosalia kwani ametoa Tshs 2.34trilioni kwaajili ya usambazaji wa umeme na ukamilishaji wa mradi huu wa JNHPP,

===
Pesa hii ni sawa na pesa yote iliyotolewa tangu kuanza kwa mradi huu wa JNHPP, Unaweza kusema "Bajeti moja ya Rais Samia kwenye usambazaji wa umeme na ujenzi wa JNHPP ni sawa na bajeti zote zilizotolewa kujenga JNHPP tangu ianze Mei 2019 " Watanzania,Kama kuna mtu wa kuombewa kwa nguvu kubwa kwa sasa basi ni Rais Samia Suluhu Hassan.



|
RAIS SAMIA SULUHU HASSAN YUKO BEGA KWA BEGA NA VIONGOZI WALIOMTANGULIA|

maajabu
 
Wewe unatakaje mkuu, Unataka nikae kimya kama wewe?

Siku wewe CHADEMA ukinishauri nikafanya unavyotaka jua sitaandika tena chochote hapa JF,
Ugonjwa unaowasumbua ni pale mtu anapopinga uongo wako na wengine kuonekana ni mpinzani, NO!.

Siyo kila anayekupigia makofi yupo na wewe, anakupa moyo uendelee kuongea aone udhaifu wako. (handle that!)
 
Ugonjwa unaowasumbua ni pale mtu anapopinga uongo wako na wengine kuonekana ni mpinzani, NO!.

Siyo kila anayekupigia makofi yupo na wewe, anakupa moyo uendelee kuongea aone udhaifu wako. (handle that!)
Wewe kwani ulishahama CHADEMA?
 
Ugonjwa unaowasumbua ni pale mtu anapopinga uongo wako na wengine kuonekana ni mpinzani, NO!.

Siyo kila anayekupigia makofi yupo na wewe, anakupa moyo uendelee kuongea aone udhaifu wako. (handle that!)
Kweli huu unaweza kuwa ni Ujinga?
 

Ujenzi wa bwawa la JNHPP pamoja na Usambazaji wa umeme vijijini Rais Samia ameongeza bajeti kwa 230% kutoka TZS 1.01T FY2020|21 hadi TZS 2.34T FY2021|22,


" Hakuna kama Samia "


Lengo la Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan ifikapo mwaka 2026 Tanzania iwe na umeme wa Uhakika unaofikia Jumla ya 5,000MW hapa anamaanisha tunakwenda kuwa electricity donor country hakika Watanzania kesho yetu ni bora sana kuliko leo,
===
Sote tunafahamu mahitaji ya Umeme Tanzania yanaongezeka siku hata siku kwa mfano mwaka 2020 mahitaji ya Umeme yalikuwa 1,151.66MW lakini hadi kufikia mwezi mei 2021 mahitaji ya Umeme yalifikia 1,183.28MW sawa na ongezeko la 3% kwa mwaka.

===
Lakini pia, kwa mwaka huku umeme wetu umetajwa kuwa ndio umeme wenye bei chee zaidi African ya Mashariki kwani tunauuza kwa $0.099/KWh,Kwahakika Tanzania ya Rais Samia ni raha natutegemee bei hii kushuka zaidi baada ya JNHPP kukamilika na kuanza kufanya kazi,
===
Faida ya mradi huu sio umeme tu hata utekelezaji wa Ilani ya CCM ya 2020|25 ya kuzalisha ajira 8M ifikapo 2025 kwani tayari mradi huu umeajiri Jumla ya wafanyakazi 7,243 wazawa wakiwa ni 6,452 na wageni ni 791,Mradi huu utakapokamilika unatarajiwa kuzalisha Jumla ya MW 2,115 kamwe tusiache kumwomba Mungu,
===
Mpaka Rais Samia Suluhu Hassan anaingia madarakani ni 38% tu ya fedha zote za mradi huu wa Tshs 6.55trilioni ndio zilikuwa zimelipwa kwa mkandarasi ambayo Jumla yake ni Tshs 2.495trilioni sawa na Pungufu ya Tshs 4.055trilioni,

===
Hii ni sawa na kusema Rais Samia Suluhu Hassan hadi mwisho wa mradi huu atakuwa ameujenga mradi kwa zaidi ya 62%,Hakika Mama huyu anastahili pongezi sana kwa kiwango hiki cha kizalendo kwa nchi yake,
===
Zikiwa zimesalia miezi kumi ( 10 ) tu kumalizika kwa mkataba huu Rais Samia Suluhu Hassan kupitia bajeti yake hii ya kwanza tayari ameshatenga 58% ya deni lote lililosalia kwani ametoa Tshs 2.34trilioni kwaajili ya usambazaji wa umeme na ukamilishaji wa mradi huu wa JNHPP,

===
Pesa hii ni sawa na pesa yote iliyotolewa tangu kuanza kwa mradi huu wa JNHPP, Unaweza kusema "Bajeti moja ya Rais Samia kwenye usambazaji wa umeme na ujenzi wa JNHPP ni sawa na bajeti zote zilizotolewa kujenga JNHPP tangu ianze Mei 2019 " Watanzania,Kama kuna mtu wa kuombewa kwa nguvu kubwa kwa sasa basi ni Rais Samia Suluhu Hassan.



|
RAIS SAMIA SULUHU HASSAN YUKO BEGA KWA BEGA NA VIONGOZI WALIOMTANGULIA|

Nzuri pia
 
Ni Kazi tuu 👇

Screenshot_20220127-205645.png


Screenshot_20220125-214011.png


Screenshot_20220124-145603.png
 
Huyu CM 1774858 ni mzalendo sana, Fanya utafiti wako
Uzalendo huwa unagusia nyanja zote za nchi, ukiona hicho unachosema uzalendo unaegemea upande mmoja huo siyo bali ni kitu kingine kabisa hata sijui kinaitwaje!.

Unataka kusema nikiwa namzunguzia babu yangu tuu kwa mambo yote kuwa pasipo yeye was nothing, then unasahau kuwa pasipo baba yake na huyo babu unayemsifia also nothing was existed.

Huyo mzalendo anazungumzia raia wanaouliwa na polisi au polisi wanaouliwa na raia?.

👉🏾 Tufuatilie kwa pamoja.
 
kwanza watujibu ile mifuniko ndo imeshindikana kupachikwa mahala pake!!?,au hiyo mihela ndo yakuagiza huo mu winch wa kupachikia hiyo mifuniko!!?,

Tuwakumbushe tu,wasivimbiwe wajipimie!!
 
Back
Top Bottom