Jesusie
JF-Expert Member
- Aug 29, 2021
- 1,376
- 724
Yuko vizuri sana kabisaMh, hakika mama yetu yuko vizuri,ila napasubiri kwa hamu hapo kwenye kusambaza umeme maana kilio changu siku zote kiko hapo kwani watu wa huko vitongojini hawana umeme bado. Akifanikiwa kusambaza umeme kwenye vitongoji vyote basi atakuwa amemaliza mchezo woote