Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,819
- 156,962
Watu mnakosea sana, mnategemea aseme yuko kinyume naye aamshe mjadala mkubwa na asiungwe mkono na wafuasi wa Magu?Mheshimiwa mama Samia ana nafasi kubwa ya kurekebisha yote mabaya yaliyofanywa katika uongozi wa Magufuli, ila anakosea kusema yeye na Magufuli ni kitu kimoja. Mheshimiwa Mbowe ameandika vizuri kwamba, “...kivuli cha Magufuli bado kinamtesa mama Samia...”. Je mama Samia atawezaje kurekebisha makosa ya utawala uliopita ilhali yeye ni kitu kimoja na utawala uliopita? Maneno haya yanamfunga mama Samia kiutendaji.
Kuna wakati ukiwa KIONGOZI unapaswa kuwa mnafiki kidogo.
Ki matendo mama na Magu ni vitu viwili tofauti