Bekabundime
JF-Expert Member
- Aug 6, 2014
- 2,016
- 1,732
Rais mama Samia Suluhu Hassan, amewachana tena bunge la mheshimiwa Ndugai binge lake halina Afya ikimaanisha ni dhaifu, sasa hii inaonesha ni kiasi ganii mhashimiwa Ndugai ameshindwa kusimamia uhai wa bunge ukilinganisha na wenzake waliopita akina mama ANNA mzee wetu marehemu Sitta na wengineo.
Sasa tunachotaka kuwaambia Mataga acheni kutoa kejeli kwa watu wanaposema ukweli kama Prof. Assad aliposema ukweli tena aliongeza juzi kwa kusema hata watendaji wa serikali baadhi ni dhaifuu kwenye kutoa na kusimamia maamuzi, tujadili hili wadau.
Sasa tunachotaka kuwaambia Mataga acheni kutoa kejeli kwa watu wanaposema ukweli kama Prof. Assad aliposema ukweli tena aliongeza juzi kwa kusema hata watendaji wa serikali baadhi ni dhaifuu kwenye kutoa na kusimamia maamuzi, tujadili hili wadau.