GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,848
- 109,556
Halafu wakiwa nawe katika Hafla zako wanajifanya Kukupenda na Kukusifu.
Na ni hawa hawa wakipelekewa tu Mic na Waandishi wa Habari wanajitutumua Kukupongeza huku wakisema kuwa Unaupifa mwingi.
Tena kuna hawa Saba (7) kila nikibahatika Kuwasikia wakiwa Vijiweni Kwao (Mwao) pale Bahari Beach, Mbezi kwa Zena, Mbweni, Msasani, Makumbusho, Oysterbay na Mikocheni wanakusema vibaya kuliko Wewe unavyowapenda na Kuwaamini tena kuwa Wawili hadi Mipango yako ya 2025 na Kuila vyema Keki ya Tanzania huwa unawashirikisha.
Kuwa makini mno na hawa.....
1. Mr. Naipenda Tanzania yangu
2. Mr. Mtaalam wa Kuiba Kura
3. Mr. Nisamehe Baba Nimekosa
4. Mr. Matege ya Mpira
5. Mr. Sitaki Mvi Super Black Daima
6. Mr. Kama Baba kama Mwana
7. Mr. Suti hazinipendezi kamwe
Kuwa nao makini sana hawa sawa?
Na ni hawa hawa wakipelekewa tu Mic na Waandishi wa Habari wanajitutumua Kukupongeza huku wakisema kuwa Unaupifa mwingi.
Tena kuna hawa Saba (7) kila nikibahatika Kuwasikia wakiwa Vijiweni Kwao (Mwao) pale Bahari Beach, Mbezi kwa Zena, Mbweni, Msasani, Makumbusho, Oysterbay na Mikocheni wanakusema vibaya kuliko Wewe unavyowapenda na Kuwaamini tena kuwa Wawili hadi Mipango yako ya 2025 na Kuila vyema Keki ya Tanzania huwa unawashirikisha.
Kuwa makini mno na hawa.....
1. Mr. Naipenda Tanzania yangu
2. Mr. Mtaalam wa Kuiba Kura
3. Mr. Nisamehe Baba Nimekosa
4. Mr. Matege ya Mpira
5. Mr. Sitaki Mvi Super Black Daima
6. Mr. Kama Baba kama Mwana
7. Mr. Suti hazinipendezi kamwe
Kuwa nao makini sana hawa sawa?