Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,813
11,991
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika tukio la kushuhudia ufungaji wa lango la handaki mchepuko (diversion tunnel) ili kuruhusu maji kuanza kujaa katika bwawa la kufua umeme la Julius Nyerere litakalofanyika siku ya Alhamis, 22 Disemba 2022.

Akizungumza na waandishi wa Habari katika eneo la mradi wa umeme wa Mto Rufiji, Waziri wa Nishati, January Makamba amesema mradi huo una hatua kubwa mbili ambazo zina hadhi ya kushuhudiwa, hatua ya kwanza ni kufunga lango la njia ya mchepusho wa maji na ya pili ni kuwasha mitambo ya kufua umeme.
IMG_ORG_1671423228990.jpeg

"Kwa jumla hadi leo (Disemba 18, 2022) mradi huu umefikia hatua ya 78%, ni hatua kubwa katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita.

“Tumemaliza kujenga tuta, barabara, tumemaliza kujenga nyumba za wafanyakazi kwa hiyo kuna mafanikio katika kipindi chote, sasa tumefikia kwenye mafanikio makubwa tangu tuanze ujenzi wa mradi huu na yenyewe ni kujaza maji kwenye bwawa, kazi ya kujenga handaki la kuchepusha maji ilifanyika miaka mitatu iliyopita na handaki hilo lina urefu wa mita 700 na ujenzi uligharimu Tsh. Bilioni 235.”

Waziri Makamba amesema kutokana na umuhimu wa hatua hiyo ya mradi ulipofikia wakati wa uzinduzi Rais atabonyeza kitufe ambacho kitashusha geti la kuziba handaki lilikuwa linachepusha maji na rasmi maji yataanza kujaa kwenye bwawa.

Ameongeza kuwa Shughuli hiyo itauzuliwa na watu takribani 2,000 wakiwamo viongozi mbalimbali wa Serikali pamoja na viongozi wengine kama Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mawaziri, Makatibu Wakuu, wakuu wa Mikoa na Wilaya zinazozunguka Bonde la Mto Rufiji, viongozi wa dini, Viongozi wa Chama na Wananchi

Pia Serikali ya Misri ambapo ndipo wanatoka wakandarasi wanaojenga mradi huo, mawaziri, viongozi wa Serikali pamoja na Vyombo vya Habari vya nchi hiyo watahudhuria wakiongozwa na Waziri wa Mambo ya Nje Nchini Misri.
IMG_ORG_1671423138827.jpeg

Akizungumzia faida za mradi huo Makamba amesema ndani ya Serikali mradi huu ni mpana zaidi na utasaidia pia katika masuala ya Kilimo chini ya Mto Rufiji, uvuvi, kuondoa mafuriko, Upatikanaji wa huduma za maji wa uhakika kwa Jiji la Dar es Salaam, Utalii, miundombinu na usafirishaji pamoja na kupata umeme wa uhakika.

Naye Mkurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Maharage Chande ameeleza kuwa inakadiriwa kwamba misimu miwili ya mvua itaweza kufanya bwawa Hilo la Julius Nyerere kujaa maji, hivyo zinatazamiwa mvua za masika Machi 2023 na 2024 kuweza kujaza Bwawa hilo.

Mradi wa kufua umeme kwa njia ya maji wa Julius Nyerere unakadiriwa kuzalisha Megawati 2115, ulianza kujengwa mwaka 2019 na unatarajiwa kukamilika Juni 2024 na umegharimu kiasi cha Shilingi Trilioni 6.5 ukiwa umebakisha 22% kukamilika.

Chanzo: Beatrice Sanga-MAELEZO
 
Hapa tumepigwa! Yaani rais :-
*anaenda kuzindua kujaza maji bwawani. Na litajazwa kwa miaka 2 (hadi December 2024)
*Halafu ataenda kuhitimisha zoezi la kujaza maji!!?
*baada ya miaka 2 ya matazamio rais ataenda kuzindua uzalishaji wa umeme wenyewe (hadi December 2026).

*Baadaye ataenda kuzindua uunganishwaji wa umeme kwenye gridi ya taifa baada ya miaka 2 tena (hadi December 2028).
.
*Mara baada ya uzinduzi huo bwawa litahitaji ukarabati wa kuta zake na kuondoa tope kwa miaka 2. Kazi itakamilika (hadi 2030)

*Bwawa litawekwa kwenye matazamio kwa miaka 3 halafu rais ataenda kuzindua usambazaji wa umeme wa JNHPP (hadi December 2033).

Unayesoma uzi humu JF leo, ukija kuutumia umeme wa bwawa hili uniite mbwa
 
Wakati wa Mwendazake mlisema mradi umefika 90%, na mkandarasi mkawa mmemlipa hela yote ya mradi, leo mnasema umefikia 78%.

Tuamini lipi hapo.
 
Rais Samia Suluhu Desemba 22, 2022 anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika tukio la kushuhudia ufungaji wa lango la handaki mchepuko (diversion tunnel) ili kuruhusu maji yaanze kujaa katika bwawa la kufua umeme la Julius Nyerere.

Waziri wa Nishati amesema mpaka sasa ujenzi wa bwawa hilo umefikia 78.68% ambayo ni hatua ya awali ya kuanza kujaza maji na inategemewa kuchukua misimu miwili ya mvua.

Waziri wa Nishati amesema "Handaki la kuchepusha maji lina urefu wa mita mia saba (700), yaani viwanja saba vya mpira wa miguu na lilijengwa miaka mitatu iliyopita kwa gharama ya shilingi takribani Bilioni 235."

Vilevile bwawa hilo lina uwezo wa kuhifadhi maji Lita Bilioni 33.2 za maji na kama zikitumika na mitambo yote, itaweza kuendesha mitambo kwa kipindi cha mwaka mmkoja

Lakini pia kuna faida mbalimbali zitokanazo na ujazwaji maji katika bwawa la Julius Nyerere
1. Kilimo chini ya mto Rufiji kama tunavyojua sasa serikali inawekeza katika kilimo cha umwagiliaji
2. Kuondoa mafuriko na kupata umeme wa uhakika sasa hakutakuwa na mgao wa umeme tena baada ya kujazwa maji katika bwawa
 
Hakika Rais wetu Dr. Samia anajituma sana kufanya kazi kwa bidii na maarifa.
kila kona mambo yanaenda kwa kasi ya hali ya juu. Walio kuwa wanabeza na kudhihaki sasa wanabaki wameduwaa!

tunamuombea Rais wetu Mungu aiendelee kumlonda na ampe nguvu ya kuendelea kutupambania, kamwe asisikilize kelele za wazandiki hao wapo huwa hawakosekani kwani lengo lao ni kutaka afeli.
 
Hakika Rais wetu Dr. Samia anajituma sana kufanya kazi kwa bidii na maarifa.
kila kona mambo yanaenda kwa kasi ya hali ya juu. Walio kuwa wanabeza na kudhihaki sasa wanabaki wameduwaa!

tunamuombea Rais wetu Mungu aiendelee kumlonda na ampe nguvu ya kuendelea kutupambania, kamwe asisikilize kelele za wazandiki hao wapo huwa hawakosekani kwani lengo lao ni kutaka afeli.
Bahati nzuri Rais Samia Suluhu hajawai kusikiliza maneno ya wapinga maendeleo yeye anafanya kile alichopanga afanye kikubwa ni maendeleo ya taifa letu
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika tukio la kushuhudia ufungaji wa lango la handaki mchepuko (diversion tunnel) ili kuruhusu maji kuanza kujaa katika bwawa la kufua umeme la Julius Nyerere litakalofanyika siku ya Alhamis, 22 Disemba 2022.

Akizungumza na waandishi wa Habari katika eneo la mradi wa umeme wa Mto Rufiji, Waziri wa Nishati, January Makamba amesema mradi huo una hatua kubwa mbili ambazo zina hadhi ya kushuhudiwa, hatua ya kwanza ni kufunga lango la njia ya mchepusho wa maji na ya pili ni kuwasha mitambo ya kufua umeme.
View attachment 2451416
"Kwa jumla hadi leo (Disemba 18, 2022) mradi huu umefikia hatua ya 78%, ni hatua kubwa katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita.

“Tumemaliza kujenga tuta, barabara, tumemaliza kujenga nyumba za wafanyakazi kwa hiyo kuna mafanikio katika kipindi chote, sasa tumefikia kwenye mafanikio makubwa tangu tuanze ujenzi wa mradi huu na yenyewe ni kujaza maji kwenye bwawa, kazi ya kujenga handaki la kuchepusha maji ilifanyika miaka mitatu iliyopita na handaki hilo lina urefu wa mita 700 na ujenzi uligharimu Tsh. Bilioni 235.”

Waziri Makamba amesema kutokana na umuhimu wa hatua hiyo ya mradi ulipofikia wakati wa uzinduzi Rais atabonyeza kitufe ambacho kitashusha geti la kuziba handaki lilikuwa linachepusha maji na rasmi maji yataanza kujaa kwenye bwawa.

Ameongeza kuwa Shughuli hiyo itauzuliwa na watu takribani 2,000 wakiwamo viongozi mbalimbali wa Serikali pamoja na viongozi wengine kama Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mawaziri, Makatibu Wakuu, wakuu wa Mikoa na Wilaya zinazozunguka Bonde la Mto Rufiji, viongozi wa dini, Viongozi wa Chama na Wananchi

Pia Serikali ya Misri ambapo ndipo wanatoka wakandarasi wanaojenga mradi huo, mawaziri, viongozi wa Serikali pamoja na Vyombo vya Habari vya nchi hiyo watahudhuria wakiongozwa na Waziri wa Mambo ya Nje Nchini Misri.
View attachment 2451418
Akizungumzia faida za mradi huo Makamba amesema ndani ya Serikali mradi huu ni mpana zaidi na utasaidia pia katika masuala ya Kilimo chini ya Mto Rufiji, uvuvi, kuondoa mafuriko, Upatikanaji wa huduma za maji wa uhakika kwa Jiji la Dar es Salaam, Utalii, miundombinu na usafirishaji pamoja na kupata umeme wa uhakika.

Naye Mkurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Maharage Chande ameeleza kuwa inakadiriwa kwamba misimu miwili ya mvua itaweza kufanya bwawa Hilo la Julius Nyerere kujaa maji, hivyo zinatazamiwa mvua za masika Machi 2023 na 2024 kuweza kujaza Bwawa hilo.

Mradi wa kufua umeme kwa njia ya maji wa Julius Nyerere unakadiriwa kuzalisha Megawati 2115, ulianza kujengwa mwaka 2019 na unatarajiwa kukamilika Juni 2024 na umegharimu kiasi cha Shilingi Trilioni 6.5 ukiwa umebakisha 22% kukamilika.

Chanzo: Beatrice Sanga-MAELEZO
Waziri Mwongo alochukua mapesa kununulia crane la 26 tonnes,

Crane Amna, pesa zimeliwa, saiz wanajaza maji!!!!
 
Ni upotevu tu wa pesa za umma.mradi ulishazinduliwa kipindi unaanza kujengwa tena unaenda kuzindua kujazwa maji?tunaviongozi wa hovyo sana.
Hapana ni muhimu kufanya huo uzinduzi ili kuondoa wasiwasi kwamba Mh.Samia katelekeza mradi huu na kinachoendelea ni hujuma huku kiuhalisia anafanya kazi nzuri sana.
Nampa heko mama Samia Mungu amlinde daima.
 
cc
Nyakarungu
Luhaga mpina
sukuma gang wote kwa ujumla wenu mkiwa mmejikunyata hapo pembeni ya KABURI CHATO
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika tukio la kushuhudia ufungaji wa lango la handaki mchepuko (diversion tunnel) ili kuruhusu maji kuanza kujaa katika bwawa la kufua umeme la Julius Nyerere litakalofanyika siku ya Alhamis, 22 Disemba 2022.

Akizungumza na waandishi wa Habari katika eneo la mradi wa umeme wa Mto Rufiji, Waziri wa Nishati, January Makamba amesema mradi huo una hatua kubwa mbili ambazo zina hadhi ya kushuhudiwa, hatua ya kwanza ni kufunga lango la njia ya mchepusho wa maji na ya pili ni kuwasha mitambo ya kufua umeme.
View attachment 2451416
"Kwa jumla hadi leo (Disemba 18, 2022) mradi huu umefikia hatua ya 78%, ni hatua kubwa katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita.

“Tumemaliza kujenga tuta, barabara, tumemaliza kujenga nyumba za wafanyakazi kwa hiyo kuna mafanikio katika kipindi chote, sasa tumefikia kwenye mafanikio makubwa tangu tuanze ujenzi wa mradi huu na yenyewe ni kujaza maji kwenye bwawa, kazi ya kujenga handaki la kuchepusha maji ilifanyika miaka mitatu iliyopita na handaki hilo lina urefu wa mita 700 na ujenzi uligharimu Tsh. Bilioni 235.”

Waziri Makamba amesema kutokana na umuhimu wa hatua hiyo ya mradi ulipofikia wakati wa uzinduzi Rais atabonyeza kitufe ambacho kitashusha geti la kuziba handaki lilikuwa linachepusha maji na rasmi maji yataanza kujaa kwenye bwawa.

Ameongeza kuwa Shughuli hiyo itauzuliwa na watu takribani 2,000 wakiwamo viongozi mbalimbali wa Serikali pamoja na viongozi wengine kama Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mawaziri, Makatibu Wakuu, wakuu wa Mikoa na Wilaya zinazozunguka Bonde la Mto Rufiji, viongozi wa dini, Viongozi wa Chama na Wananchi

Pia Serikali ya Misri ambapo ndipo wanatoka wakandarasi wanaojenga mradi huo, mawaziri, viongozi wa Serikali pamoja na Vyombo vya Habari vya nchi hiyo watahudhuria wakiongozwa na Waziri wa Mambo ya Nje Nchini Misri.
View attachment 2451418
Akizungumzia faida za mradi huo Makamba amesema ndani ya Serikali mradi huu ni mpana zaidi na utasaidia pia katika masuala ya Kilimo chini ya Mto Rufiji, uvuvi, kuondoa mafuriko, Upatikanaji wa huduma za maji wa uhakika kwa Jiji la Dar es Salaam, Utalii, miundombinu na usafirishaji pamoja na kupata umeme wa uhakika.

Naye Mkurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Maharage Chande ameeleza kuwa inakadiriwa kwamba misimu miwili ya mvua itaweza kufanya bwawa Hilo la Julius Nyerere kujaa maji, hivyo zinatazamiwa mvua za masika Machi 2023 na 2024 kuweza kujaza Bwawa hilo.

Mradi wa kufua umeme kwa njia ya maji wa Julius Nyerere unakadiriwa kuzalisha Megawati 2115, ulianza kujengwa mwaka 2019 na unatarajiwa kukamilika Juni 2024 na umegharimu kiasi cha Shilingi Trilioni 6.5 ukiwa umebakisha 22% kukamilika.

Chanzo: Beatrice Sanga-MAELEZO
Sio umeme wa uwakika tu, magufuli wakati akiunguwa aliosema na galama zitashuka za umeme,Ili ndio lengo kuu ukimsikiliza Kwa making alitaka kushusha galama za maisha kwasababu alikuwa galama za maisha zinasababishwa na umeme na mafuta kwaiyo ilikuwa lazima kitafutwe chanzo kimpya Ili viwanda vikubwa na vidogo vinavyotumia ,umeme mfano ,vya Maji,soda,kusaga,mafuta yakula ,nk ghalama zishuke za umeme Ili galama za mwananchi zishuke ,uu nimfano mtu kijijini ana saga Kwa unga Kwa Sh1000 galama ya umeme ikishuka Ina maana atasaga Kwa 500 basi iyo miatano nyingine atapata baadhi ya unit za umeme na atapikia joko LA umeme, uwo nimfano Kwa Kila kitu kinachozalishwa Tanzania, ndio maana alikuwa anasambaza umeme Kwa kasi vijijini ili
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika tukio la kushuhudia ufungaji wa lango la handaki mchepuko (diversion tunnel) ili kuruhusu maji kuanza kujaa katika bwawa la kufua umeme la Julius Nyerere litakalofanyika siku ya Alhamis, 22 Disemba 2022.

Akizungumza na waandishi wa Habari katika eneo la mradi wa umeme wa Mto Rufiji, Waziri wa Nishati, January Makamba amesema mradi huo una hatua kubwa mbili ambazo zina hadhi ya kushuhudiwa, hatua ya kwanza ni kufunga lango la njia ya mchepusho wa maji na ya pili ni kuwasha mitambo ya kufua umeme.
View attachment 2451416
"Kwa jumla hadi leo (Disemba 18, 2022) mradi huu umefikia hatua ya 78%, ni hatua kubwa katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita.

“Tumemaliza kujenga tuta, barabara, tumemaliza kujenga nyumba za wafanyakazi kwa hiyo kuna mafanikio katika kipindi chote, sasa tumefikia kwenye mafanikio makubwa tangu tuanze ujenzi wa mradi huu na yenyewe ni kujaza maji kwenye bwawa, kazi ya kujenga handaki la kuchepusha maji ilifanyika miaka mitatu iliyopita na handaki hilo lina urefu wa mita 700 na ujenzi uligharimu Tsh. Bilioni 235.”

Waziri Makamba amesema kutokana na umuhimu wa hatua hiyo ya mradi ulipofikia wakati wa uzinduzi Rais atabonyeza kitufe ambacho kitashusha geti la kuziba handaki lilikuwa linachepusha maji na rasmi maji yataanza kujaa kwenye bwawa.

Ameongeza kuwa Shughuli hiyo itauzuliwa na watu takribani 2,000 wakiwamo viongozi mbalimbali wa Serikali pamoja na viongozi wengine kama Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mawaziri, Makatibu Wakuu, wakuu wa Mikoa na Wilaya zinazozunguka Bonde la Mto Rufiji, viongozi wa dini, Viongozi wa Chama na Wananchi

Pia Serikali ya Misri ambapo ndipo wanatoka wakandarasi wanaojenga mradi huo, mawaziri, viongozi wa Serikali pamoja na Vyombo vya Habari vya nchi hiyo watahudhuria wakiongozwa na Waziri wa Mambo ya Nje Nchini Misri.
View attachment 2451418
Akizungumzia faida za mradi huo Makamba amesema ndani ya Serikali mradi huu ni mpana zaidi na utasaidia pia katika masuala ya Kilimo chini ya Mto Rufiji, uvuvi, kuondoa mafuriko, Upatikanaji wa huduma za maji wa uhakika kwa Jiji la Dar es Salaam, Utalii, miundombinu na usafirishaji pamoja na kupata umeme wa uhakika.

Naye Mkurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Maharage Chande ameeleza kuwa inakadiriwa kwamba misimu miwili ya mvua itaweza kufanya bwawa Hilo la Julius Nyerere kujaa maji, hivyo zinatazamiwa mvua za masika Machi 2023 na 2024 kuweza kujaza Bwawa hilo.

Mradi wa kufua umeme kwa njia ya maji wa Julius Nyerere unakadiriwa kuzalisha Megawati 2115, ulianza kujengwa mwaka 2019 na unatarajiwa kukamilika Juni 2024 na umegharimu kiasi cha Shilingi Trilioni 6.5 ukiwa umebakisha 22% kukamilika.

Chanzo: Beatrice Sanga-MAELEZO
K
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika tukio la kushuhudia ufungaji wa lango la handaki mchepuko (diversion tunnel) ili kuruhusu maji kuanza kujaa katika bwawa la kufua umeme la Julius Nyerere litakalofanyika siku ya Alhamis, 22 Disemba 2022.

Akizungumza na waandishi wa Habari katika eneo la mradi wa umeme wa Mto Rufiji, Waziri wa Nishati, January Makamba amesema mradi huo una hatua kubwa mbili ambazo zina hadhi ya kushuhudiwa, hatua ya kwanza ni kufunga lango la njia ya mchepusho wa maji na ya pili ni kuwasha mitambo ya kufua umeme.
View attachment 2451416
"Kwa jumla hadi leo (Disemba 18, 2022) mradi huu umefikia hatua ya 78%, ni hatua kubwa katika kipindi cha mwaka mmoja uliopita.

“Tumemaliza kujenga tuta, barabara, tumemaliza kujenga nyumba za wafanyakazi kwa hiyo kuna mafanikio katika kipindi chote, sasa tumefikia kwenye mafanikio makubwa tangu tuanze ujenzi wa mradi huu na yenyewe ni kujaza maji kwenye bwawa, kazi ya kujenga handaki la kuchepusha maji ilifanyika miaka mitatu iliyopita na handaki hilo lina urefu wa mita 700 na ujenzi uligharimu Tsh. Bilioni 235.”

Waziri Makamba amesema kutokana na umuhimu wa hatua hiyo ya mradi ulipofikia wakati wa uzinduzi Rais atabonyeza kitufe ambacho kitashusha geti la kuziba handaki lilikuwa linachepusha maji na rasmi maji yataanza kujaa kwenye bwawa.

Ameongeza kuwa Shughuli hiyo itauzuliwa na watu takribani 2,000 wakiwamo viongozi mbalimbali wa Serikali pamoja na viongozi wengine kama Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mawaziri, Makatibu Wakuu, wakuu wa Mikoa na Wilaya zinazozunguka Bonde la Mto Rufiji, viongozi wa dini, Viongozi wa Chama na Wananchi

Pia Serikali ya Misri ambapo ndipo wanatoka wakandarasi wanaojenga mradi huo, mawaziri, viongozi wa Serikali pamoja na Vyombo vya Habari vya nchi hiyo watahudhuria wakiongozwa na Waziri wa Mambo ya Nje Nchini Misri.
View attachment 2451418
Akizungumzia faida za mradi huo Makamba amesema ndani ya Serikali mradi huu ni mpana zaidi na utasaidia pia katika masuala ya Kilimo chini ya Mto Rufiji, uvuvi, kuondoa mafuriko, Upatikanaji wa huduma za maji wa uhakika kwa Jiji la Dar es Salaam, Utalii, miundombinu na usafirishaji pamoja na kupata umeme wa uhakika.

Naye Mkurugenzi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Maharage Chande ameeleza kuwa inakadiriwa kwamba misimu miwili ya mvua itaweza kufanya bwawa Hilo la Julius Nyerere kujaa maji, hivyo zinatazamiwa mvua za masika Machi 2023 na 2024 kuweza kujaza Bwawa hilo.

Mradi wa kufua umeme kwa njia ya maji wa Julius Nyerere unakadiriwa kuzalisha Megawati 2115, ulianza kujengwa mwaka 2019 na unatarajiwa kukamilika Juni 2024 na umegharimu kiasi cha Shilingi Trilioni 6.5 ukiwa umebakisha 22% kukamilika.

Chanzo: Beatrice Sanga-MAELEZO
Sio upatikanaji tu wa umeme wa uwakika lengo lengine LA jpm nikupunguza garama za maisha Kwa watanzania, ndio maana ukimsikiliza Siku ya kuweka jiwe la msngi utagundua ni kupunguza ghalama za umeme Ili Kila kwenye kiwanda kinachotumia umeme mfano machine za kukamua mafuta ya kula, kusaga ,ata maji ya kunywa,soda ,bia zote kubwa na ndogo zikipunguziwa ghalama automaticaly zitapunguza ghalama ,mfano mdogo mtu anasaga Kwa 1000 ukipunguwa mwenye mashine ata punguza adi 500 apo inamaana itabaki 500 iyo miatano Kwa Kila bizaa inayozaliashwa Kwa umeme kwaiyo anaweza kujikuta amesevu pesa inayomwezesha kununua unit ambazo Zina zitamuwezesha kupikia jiko LA umeme sababu name umeme ITAKUWA ananunua unit nyingi Kwa bei ileile ,ndio maana alisambaza Sana umeme vijijini ili mtu afaidike na viwanda vidogo viwe bingo mpaka vijijini, unalima alafu unachakata ,MiMi ndivyo nilivyo elewa Ii akili kubwa ya magufuli
 
Alishazindua zoezi la kuhakikisha kuwa nchi inatafunwa kupitia ufisadi pia
 
cc
Nyakarungu
Luhaga mpina
sukuma gang wote kwa ujumla wenu mkiwa mmejikunyata hapo pembeni ya KABURI CHATO
Asingekuwa hiyo uliyemtaja kweli pangekuwa na huo ufungaji wa geti? Dah binadamu ni kweli tulilaaniwa sio bure.
 
Back
Top Bottom