kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 6,458
- 12,555
Kipenzi cha nani huyo dikteta!Safi Sana mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani Mama wa Demokrasia na kipenzi Cha watanzania,
Kipenzi cha nani huyo dikteta!Safi Sana mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani Mama wa Demokrasia na kipenzi Cha watanzania,
Wasinge kwenda mahakamani!Ni aibu sana kwa kiongozi wa Nchi INAYOMINYA DEMOKRASIA Kuhudhuria uapisho wa Rais aliyeshinda kwa haki kabisa, tena bila Mabegi ya kura za wizi kama chaguzi za Tanzania zinavyokuwa.
Sasa alieminya demokrasia ni magu au mama samia?Ni aibu sana kwa kiongozi wa Nchi INAYOMINYA DEMOKRASIA Kuhudhuria uapisho wa Rais aliyeshinda kwa haki kabisa, tena bila Mabegi ya kura za wizi kama chaguzi za Tanzania zinavyokuwa.
Mkuu,kama ni kweli Kenya ni nchi ya Kidemokrasia mbona Odinga amekataa kihudhuria Uapisho wa Rais mpya? JITAKAFALISHE!!!Ni aibu sana kwa kiongozi wa Nchi INAYOMINYA DEMOKRASIA Kuhudhuria uapisho wa Rais aliyeshinda kwa haki kabisa, tena bila Mabegi ya kura za wizi kama chaguzi za Tanzania zinavyokuwa.
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏UVCCM_ TAIFA
SEPT. 13, 2022
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. SAMIA SULUHU HASSAN anatarajia kuhudhuria hafla ya uapisho wa Rais Mteule wa
Jamhuri ya Kenya Mhe. WILLIAM SAMOEI RUTO.
Aidha, Mhe. Rais SAMIA atahudhuria uapisho huo wa Rais Ruto
utakaofanyika leo jijini Nairobi.
Mhe. Rais SAMIA ataambatana na baadhi ya Viongozi wa Serikali
akiwemo Mhe. Balozi Liberata Mulamula, Waziri wa Mambo ya Nje
na Ushirikiano wa Afrika Mashariki; Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji, Waziri
wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara na Mhe.Harusi Said
Suleiman Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.
#AlipoMamaVijanaTupo
#2022ShirikiUchaguziKwaUadilifu
#VijanaGreenMarathon
#KaziIendeleeView attachment 2355189
Eti alipo mama vijana tupo! Pambaf nyie, yuko Kasarani nyie mpo Lumumba mnaimba mapambio huku mmechoka kwa tozo hadi mnanuka puh!UVCCM_ TAIFA
SEPT. 13, 2022
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. SAMIA SULUHU HASSAN anatarajia kuhudhuria hafla ya uapisho wa Rais Mteule wa
Jamhuri ya Kenya Mhe. WILLIAM SAMOEI RUTO.
Aidha, Mhe. Rais SAMIA atahudhuria uapisho huo wa Rais Ruto
utakaofanyika leo jijini Nairobi.
Mhe. Rais SAMIA ataambatana na baadhi ya Viongozi wa Serikali
akiwemo Mhe. Balozi Liberata Mulamula, Waziri wa Mambo ya Nje
na Ushirikiano wa Afrika Mashariki; Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji, Waziri
wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara na Mhe.Harusi Said
Suleiman Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar.
#AlipoMamaVijanaTupo
#2022ShirikiUchaguziKwaUadilifu
#VijanaGreenMarathon
#KaziIendeleeView attachment 2355189
Na tozoHayo ndio miongoni mwa machache ayawezayo.
Mhe Samia naomba umwambie Mhe Ruto kwamba wafanyabiashara wa kenya wawe wananunulia mazao kwenye masoko ya kimataifa na sio kwenda vijijini.
Hii ndio demokrasia isiyo na unafiki.Kenyatta atakuwa na shida si bure maana si kwa hizi chuki za waziwazi.....anasema kiongozi wake ataendelea kuwa baba, sijui ni kwa utaratibu upi!
Kenya ni taifa kubwa sana sio kwa ugeni huo.Yule wa tozo naye yumo?