"kwa hiyo wewe una uchungu sana kumzidi mwenye mke wake. Kwanza sisi watu wa pwani kufumaniwa ni heshima" - Marehemu Ukiwaona Ditpile wa Mzuzuri akimjibu mtangazaji aliyemwuliza, "nasikia umewahi kufumaniwa na mke wa mtu"Salaam
Kitendo cha Kumnyeshwa Mwanaume Juice kwa glasi anayotumia na yeye akatumia hapo hapo mwanaume alipotoa Mdomo, imetufedhehesha sana Sisi Waisilam na Jamii ya Afrika Mashariki
Haya angeyafanya nje ya Camera. Mahaba gani haya jamani?
Kumbuka rais wetu ni Mke wa Mtu.
View attachment 2365501
Kiprotocal hii imekaaje?
View attachment 2365516
Najiuliza, Baba yetu Hafidh Ameir Hafidh amemfanyia baya gani rais wetu hadi alipize kwa kumuuliza kiasi hiki?
Sema kamuwahi kijanja, aje ajaribu hii kwa Kagame tuone
ILa nyieeeeeHuyo ndio baba mdogo???
Kwani ni chapombe?Mama akishapiga Vant huwa hana control
Kwa hiyo tunaingia mchumbiji/ Msumbiji bila passportHuyo ndio ba mdogo???
THIS IS VERY BAD INDEED!Salaam
Kitendo cha Kumnyeshwa Mwanaume Juice kwa glasi anayotumia na yeye akatumia hapo hapo mwanaume alipotoa Mdomo, imetufedhehesha sana Sisi Waisilam na Jamii ya Afrika Mashariki
Haya angeyafanya nje ya Camera. Mahaba gani haya jamani?
Kumbuka rais wetu ni Mke wa Mtu.
View attachment 2365501
Kiprotocal hii imekaaje?
View attachment 2365516
Najiuliza, Baba yetu Hafidh Ameir Hafidh amemfanyia baya gani rais wetu hadi alipize kwa kumuuliza kiasi hiki?
Video ipo mbona kawekaUngeweka picha ingependeza zaidi.
Mama KVKwani ni chapombe?
Mtake radhi mama wa wana Lumumba street
Huyu aliejifunga kitenge cha mama.Bamdogo alonyweshwa au aloshikwa mikono?
Nafikiri ndo baba mwenyewe huyo si unaona hana unyama wa kushtua wamwacheni tu mama aenjoyHuyu aliejifunga kitenge cha mama.